1 Nyakati 22 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 22:1-19

122:1 Kum 12:5; Mwa 28:17; 1Nya 21:18-28; 2Nya 3:1; Kum 12:5; 2Sam 24:18Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya Bwana Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”

Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu

222:2 Kum 20:11; 1Fal 9:21; 5:17-18; Ezr 3:7Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu. 322:3 1Fal 7:47Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika. 422:4 1Fal 5:6Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.

522:5 1Fal 3:7; 1Nya 29:1Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya Bwana inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.

622:6 Mdo 7:47Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli. 722:7 1Nya 17:2; 2Sam 7:2; 1Fal 8:17; Kum 12:5-11; Mdo 7:48Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu. 822:8 1Fal 5:3; 1Nya 28:3Lakini neno hili la Bwana likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu. 922:9 Yos 14:15; 2Sam 12:24; 1Fal 4:20; 5:4; 1Nya 28:5Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake. 1022:10 1Nya 17:12; 2Sam 7:13-14; 2Nya 6:15; 1Fal 5:5; 1Nya 28:6; Za 89:26-27; Ebr 1:5Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’

1122:11 1Sam 18:12; Rum 8:31“Sasa, mwanangu, Bwana awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya Bwana Mungu wako, kama alivyosema utafanya. 1222:12 1Fal 3:11; 2Nya 1:10; Kum 4:6Bwana na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Bwana Mungu wako. 1322:13 1Nya 28:7; Kum 31:6-7; Yos 1:6-9; 1Fal 6:12-13; 9:4-5; Isa 3:10; 1Nya 28:20Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria Bwana alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.

1422:14 1Nya 29:2-5, 19“Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la Bwana: talanta 100,00022:14 Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750. za dhahabu, talanta 1,000,00022:14 Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500. za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza. 15Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi 16wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye Bwana awe pamoja nawe.”

1722:17 1Nya 28:1-6Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe. 1822:18 1Fal 8:6; Kum 12:10; Yos 22:4Akawaambia, “Je, Bwana Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya Bwana na watu wake. 1922:19 2Nya 20:3; 1Fal 8:6; 2Nya 5:7; 6:11Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta Bwana Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya Bwana Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la Bwana na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la Bwana.”

La Bible du Semeur

1 Chroniques 22:1-19

1David dit donc : C’est ici que se trouvera le sanctuaire de l’Eternel Dieu, et ici sera l’autel pour les holocaustes d’Israël.

Les préparatifs pour la construction du Temple

2Il ordonna de rassembler tous les étrangers établis en Israël22.2 Ces étrangers étaient les descendants des Cananéens qui avaient habité le pays avant la conquête par les Israélites (voir 2 Ch 2.16-17 ; 8.7-10). et il leur imposa la tâche d’extraire et de tailler des pierres en vue de la construction du temple de Dieu. 3David prépara aussi une grande quantité de fer destiné à la fabrication des clous et des charnières pour les battants des portes, ainsi qu’une masse incalculable de bronze 4et de bois de cèdre que les Sidoniens et les Tyriens lui fournissaient en abondance. 5Il se disait : Mon fils Salomon est encore jeune et inexpérimenté22.5 Salomon a accédé au pouvoir en 970 av. J.-C. ; il est né vers 991 av. J.-C. ; or, le temple qu’il s’agit de bâtir à l’Eternel devra être d’une grandeur, d’une splendeur et d’une gloire telles que sa renommée s’étendra dans tous les pays. Je vais donc commencer à faire des préparatifs pour lui. Ainsi David prépara beaucoup de matériaux de construction avant sa mort.

Salomon construira le Temple

6Puis il fit venir son fils Salomon et lui ordonna de construire un temple pour l’Eternel, le Dieu d’Israël.

7Il lui dit22.7 Pour les v. 7-10, voir 1 Ch 17.1-14 ; 2 S 7.1-16. : Mon fils, j’avais à cœur de bâtir moi-même un temple en l’honneur de l’Eternel, mon Dieu. 8Mais l’Eternel m’a parlé en ces termes : « Tu as fait couler beaucoup de sang, et tu as fait de grandes guerres. A cause de tout le sang que tu as répandu devant moi sur la terre, ce n’est pas toi qui bâtiras un temple en mon honneur. 9Mais il te naîtra un fils qui sera un homme de paix : je lui assurerai la paix avec tous ses ennemis d’alentour ; il s’appellera Salomon (le Pacifique) et, durant toute sa vie, j’accorderai la paix et la tranquillité à Israël. 10Ce sera lui qui bâtira un temple en mon honneur. Il sera pour moi un fils et je serai pour lui un père ; je maintiendrai pour toujours le trône de sa royauté sur Israël. »

11Maintenant, mon fils, que l’Eternel soit avec toi, afin que tu réussisses à bâtir le temple de l’Eternel, ton Dieu, comme il l’a dit à ton sujet. 12Oh ! que l’Eternel t’accorde de la sagesse et de l’intelligence pour obéir à la Loi de l’Eternel ton Dieu lorsqu’il t’établira sur Israël ! 13Oui, tu réussiras, si tu veilles à obéir aux ordonnances et aux lois que l’Eternel a prescrites à Moïse pour Israël. Prends courage et tiens bon, ne crains rien et ne te laisse pas effrayer22.13 Voir Dt 31.7-8 ; Jos 1.6-9. !

14Vois, à force de peine, j’ai préparé pour le temple de l’Eternel plus de 3 000 tonnes d’or et 30 000 tonnes d’argent, ainsi qu’une quantité incalculable de bronze et de fer. J’ai aussi préparé du bois et des pierres, et tu en ajouteras encore. 15Tu as auprès de toi suffisamment d’ouvriers, des tailleurs de pierres, des sculpteurs sur bois et sur pierre et des artisans experts pour tous les travaux. 16Tu disposes d’une quantité incalculable d’or, d’argent, de bronze et de fer. Mets-toi donc à l’ouvrage et que l’Eternel soit avec toi !

17Puis David ordonna à tous les chefs d’Israël de prêter leur concours à son fils Salomon.

18– L’Eternel, votre Dieu, leur dit-il, est manifestement avec vous : il vous assure la paix sur toutes vos frontières. En effet, il a mis sous ma coupe les anciens habitants du pays, et maintenant le pays est soumis devant l’Eternel et devant son peuple. 19A présent, appliquez-vous donc de tout votre cœur et de tout votre être à vous attacher à l’Eternel votre Dieu ! Mettez-vous au travail et bâtissez le sanctuaire de l’Eternel Dieu, afin d’installer le coffre de l’alliance de l’Eternel et les objets du sanctuaire22.19 Autre traduction : les objets sacrés. de Dieu dans le temple qui doit être construit en l’honneur de l’Eternel22.19 Le coffre de l’alliance se trouvait encore sous une tente sur la colline de Sion (16.1). !