1 Nyakati 20 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 20:1-8

Kutekwa Kwa Raba

(2 Samweli 12:26-31)

120:1 Kum 3:11; 2Sam 12:26; Amo 1:13-15; 2Nya 36:10; Mhu 3:8; Yer 49:2; 1Sam 11:1; 1Fal 20:22; Eze 21:20Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu. 220:2 2Sam 12:30-31Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu,20:2 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo. 320:3 Kum 29:11Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.

Vita Na Wafilisti

(2 Samweli 21:15-22)

420:4 Yos 10:33; Mwa 14:5Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai,20:4 Yaani majitu. nao Wafilisti wakashindwa.

520:5 1Sam 17:7Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.

6Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai. 7Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.

8Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

La Bible du Semeur

1 Chroniques 20:1-8

La défaite complète des Ammonites

(2 S 11.1 ; 12.29-31)

1Au printemps suivant, à l’époque où les rois ont coutume de partir en guerre, Joab mena une forte armée ravager le pays des Ammonites. Il alla mettre le siège devant Rabba. David était resté à Jérusalem. Joab conquit Rabba et la détruisit20.1 2 S 12.26-29 précise que Joab se contenta de ravager la ville basse, laissant à David l’honneur de s’emparer de la citadelle.. 2David prit la couronne qui se trouvait sur la tête de leur roi20.2 L’ancienne version grecque a compris : leur dieu Milkom.. Il trouva que cette couronne, qui était en or, pesait une trentaine de kilos. De plus, elle était garnie d’une pierre précieuse. Elle vint orner la tête de David. Le roi emporta de la ville un immense butin. 3Quant aux habitants, il les emmena et les affecta à diverses corvées pour manier la scie, les herses de fer et la hache. David agit de même avec les populations de toutes les villes des Ammonites. Après cela, David et toute son armée rentrèrent à Jérusalem.

La lutte contre les Philistins

(2 S 21.15-22)

4Plus tard, lorsqu’eut lieu une nouvelle bataille avec les Philistins, à Guézer, Sibbekaï le Houshatite tua Sippaï, l’un des géants descendant de Rapha20.4 Les Rephaïm étaient des hommes de haute taille installés déjà avant Abraham dans ce qui devait devenir le pays d’Israël et dans les pays environnants (Gn 14.5 ; 15.20 ; Dt 2.11, 20 ; 3.11 ; Jos 17.15). Lors de la conquête par les Israélites, ils se réfugièrent chez les Philistins (2 S 21.16, 18, 20, 21)., et les Philistins furent humiliés.

5Lors d’un autre combat contre les Philistins, Elhanân, fils de Yaïr, tua Lahmi le frère de Goliath, de Gath, qui avait une lance dont le bois était aussi gros que le cylindre d’un métier à tisser. 6Dans une autre bataille à Gath, un homme de haute stature, lui aussi descendant de Rapha et qui avait six doigts à chaque main et à chaque pied, c’est-à-dire vingt-quatre en tout, 7lança un défi à Israël. Jonathan, fils de Shimea, le frère de David, le tua. 8Ces descendants de Rapha, nés à Gath, succombèrent devant David et ses hommes.