1 Nyakati 14 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 14:1-17

Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake

(2 Samweli 5:11-16)

114:1 1Fal 5:6; Hag 1:8; 2Sam 5:11Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme. 214:2 Hes 24:7; Kum 26:19Naye Daudi akatambua kwamba Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.

314:3 1Nya 3:1; Kum 17:14-17Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi. 414:4 2Sam 5:14; 1Nya 3:5Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni, 5Ibihari, Elishua, Elpeleti, 6Noga, Nefegi, Yafia, 7Elishama, Beeliada na Elifeleti.

Daudi Awashinda Wafilisti

(2 Samweli 5:17-25)

814:8 1Nya 11:1; 2Sam 5:17; Za 2:1-5Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao. 914:9 Yos 15:8; 1Nya 11:15Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai, 10Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?”

Bwana akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”

1114:11 Za 94:16; Isa 28:21Hivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu,14:11 Maana yake ni Bwana Afurikae. akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu. 1214:12 Kut 32:20; Yos 7:15Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto.

1314:13 2Sam 5:22Kwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde; 1414:14 Yos 8:6-7; 2Sam 5:23hivyo Daudi akamuuliza Mungu tena, naye Mungu akamjibu, “Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya miforosadi. 15Mara usikiapo sauti ya kwenda juu ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la Wafilisti.” 1614:16 Yos 9:3; 10:33; 2Sam 5:25Kwa hiyo Daudi akafanya kama alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri.

1714:17 Yos 6:27; 2Nya 26:8; Kum 2:25; Za 2:1-12Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika kila nchi, naye Bwana akayafanya mataifa yote kumwogopa Daudi.

New Russian Translation

1 Паралипоменон 14:1-17

Давид в Иерусалиме

(2 Цар. 5:11-16; 1 Пар. 3:5-8)

1Хирам, царь Тира, отправил к Давиду послов, кедровые бревна, каменщиков и плотников, чтобы построить ему дворец. 2Давид понял, что Господь утвердил его царем над Израилем и что царство его высоко вознесено ради Своего народа Израиля.

3В Иерусалиме Давид взял себе еще жен, и у него родились еще сыновья и дочери. 4Вот имена детей, которые родились у него в Иерусалиме:

Шаммуа, Шовав, Нафан, Соломон, 5Ивхар, Элишуа, Элифелет, 6Ногах, Нефег, Иафия, 7Элишама, Веелиада14:7 Вариант имени Элиада (ср. ст. 3:8). и Элифелет.

Поражения филистимлян

(2 Цар. 5:17-25)

8Услышав о том, что Давид помазан в цари над всем Израилем, все филистимляне отправились искать его, но Давид узнал об этом и выступил против них. 9Филистимляне пришли и принялись разбойничать в долине Рефаим. 10Давид спросил Бога:

– Идти ли мне на филистимлян? Отдашь ли Ты их мне?

Господь ответил ему:

– Иди, Я отдам их в твои руки.

11Давид со своими воинами пошел к Баал-Перациму и разбил их там. Он сказал:

– Бог разбил моих врагов моей рукой, как прорвавшаяся вода.

Поэтому то место и было названо Баал-Перацим14:11 Баал-Перацим – по-еврейски это название означает «Господин прорыва».. 12Филистимляне бросили там своих богов, и по приказу Давида их сожгли.

13Филистимляне снова принялись разбойничать в долине. 14Давид вновь спросил Бога, и Бог ответил ему:

– Не нападай на них отсюда, но обойди их с тыла и напади на них со стороны бальзамовых деревьев. 15Как только ты услышишь в вершинах бальзамовых деревьев шум, как от шагов, тотчас же вступай в бой, потому что Бог вышел перед тобой, чтобы разбить войско филистимлян.

16Давид сделал так, как повелел ему Бог, и они разили филистимское войско всю дорогу от Гаваона до Гезера. 17Слава Давида прошла по всем странам, и Господь навел страх перед ним на все народы.