1 Nyakati 1 – NEN & NTLR

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 1:1-54

Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu

(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)

Adamu Hadi Wana Wa Noa

11:1 Mwa 5:1-32; Lk 3:36-38Adamu, Sethi, Enoshi, 21:2 Mwa 5:9; 5:12; 5:15Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 31:3 Mwa 5:18; Yud 14; Mwa 5:21; 5:25; 5:29Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

41:4 Mwa 6:10; 10:1; 5:32Wana wa Noa walikuwa:

Shemu, Hamu na Yafethi.

Wana Wa Yafethi

5Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

6Wana wa Gomeri walikuwa:

Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

7Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Wana Wa Hamu

81:8 Mwa 16:10Wana wa Hamu walikuwa:

Kushi, Misraimu,1:8 Yaani Misri. Putu na Kanaani.

9Wana wa Kushi walikuwa:

Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:

Sheba na Dedani.

101:10 Mwa 10:8, 13Kushi akamzaa

Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.

11Misraimu akawazaa:

Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 121:12 Mwa 10:14; Kum 2:23; Yer 47:4; Amo 9:7Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

13Wana wa Kanaani walikuwa:

Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, 14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 15Wahivi, Waariki, Wasini, 16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

Wana Wa Shemu

171:17 Mwa 9:23-26; 10:22; 11:10Wana wa Shemu walikuwa:

Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

Wana wa Aramu walikuwa:

Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

18Arfaksadi akamzaa Shela,

Shela akamzaa Eberi.

19Eberi alipata wana wawili:

Mmoja wao aliitwa Pelegi,1:19 Pelegi maana yake Mgawanyiko. kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

20Wana wa Yoktani walikuwa:

Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli, Sheba, 23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.

241:24 Mwa 10:21-29; Lk 3:34-36Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,

251:25 Mwa 11:15; Hes 24:24; Lk 3:35Eberi, Pelegi, Reu,

26Serugi, Nahori, Tera,

271:27 Mwa 17:5; 2Nya 20:7; Isa 41:8; 51:2; Rum 4:16Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).

Jamaa Ya Abrahamu

281:28 Mwa 21:2-3; 16:11, 15Abrahamu alikuwa na wana wawili:

Isaki na Ishmaeli.

Wazao Wa Hagari

(Mwanzo 25:12-16)

291:29 Mwa 25:13-26Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:

Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

Wazao Wa Ketura

321:32 Mwa 22:24; 10:7Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:

Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Wana wa Yokshani walikuwa:

Sheba na Dedani.

33Wana wa Midiani walikuwa:

Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.

Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.

Wazao Wa Sara

341:34 Lk 3:34; Mwa 21:2-3; Mdo 7:8; Mwa 18:5; 25:25-26Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.

Wana wa Isaki walikuwa:

Esau na Israeli.

Wana Wa Esau

(Mwanzo 36:1-19)

351:35 Mwa 36:19; 36:4; Kum 2:22; Rum 9:13; Ebr 12:16; Mal 1:2-3Wana wa Esau walikuwa:

Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

361:36 Kut 17:14; Mwa 36:11Wana wa Elifazi walikuwa:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;

Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

371:37 Mwa 36:17Wana wa Reueli walikuwa:

Nahathi, Zera, Shama na Miza.

Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu

(Mwanzo 36:20-30)

381:38 Mwa 36:20Wana wa Seiri walikuwa:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.

391:39 Mwa 36:22Wana wa Lotani walikuwa wawili:

Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

401:40 Mwa 36:2Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani,1:40 Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian. Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana.

411:41 Mwa 36:25-26Mwana wa Ana alikuwa:

Dishoni.

Nao wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

42Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

Watawala Wa Edomu

(Mwanzo 36:31-43)

431:43 Mwa 36:31; 49:10Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:

Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.

44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

451:45 Mwa 36:11Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

461:46 1Fal 11:14Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

481:48 Mwa 36:37Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

501:50 Mwa 36:39Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. 511:51 Mwa 36:40; Kut 15:15Naye Hadadi pia akafa.

Wakuu wa Edomu walikuwa:

Timna, Alva, Yethethi, 52Oholibama, Ela, Pinoni, 53Kenazi, Temani, Mibsari, 54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

Nouă Traducere În Limba Română

1 Cronici 1:1-54

Părinții omenirii

(Gen. 5:1-32)

1Adam, Set, Enoș,

2Chenan, Mahalalel, Iared,

3Enoh, Metușelah, Lameh,

4Noe, Sem, Ham și Iafet.

Urmașii lui Iafet

(Gen. 10:2-4)

5Fiii5 Termenul fiii poate însemna și urmașii; peste tot în capitol. lui Iafet au fost: Gomer, Magog, Madai, Iavan5 Grecia., Tubal, Meșek și Tiras.

6Fiii lui Gomer au fost: Așchenaz, Rifat și Togarma.

7Fiii lui Iavan au fost: Elișa, Tarșiș, Chitim și Rodanim.

Urmașii lui Ham

(Gen. 10:6-20)

8Fiii lui Ham au fost: Cuș, Mițrayim8, 11 Egipt., Put și Canaan.

9Fiii lui Cuș au fost: Seba, Havila, Sabta, Rama și Sabteca.

Fiii lui Rama au fost: Șeba și Dedan.

10Lui Cuș i s‑a născut Nimrod. Acesta a început să fie un om viteaz pe pământ.

11Din Mițrayim provin ludiții, anamiții, lehabiții, naftuhiții,

12patrusiții, casluhiții și caftoriții; din casluhiți provin filistenii.

13Lui Canaan i s‑a născut Sidon, întâiul său născut, și Het;

14din Canaan provin și iebusiții, amoriții, ghirgașiții,

15hiviții, archiții, siniții,

16arvadiții, țemariții și hamatiții.

Urmașii lui Sem

(Gen. 10:21-29; 11:10-26)

17Fiii lui Sem au fost: Elam, Așur, Arpahșad, Lud și Aram.

Fiii lui Aram au fost: Uț, Hul, Gheter și Meșek.

18Lui Arpahșad i s‑a născut Șelah,

iar lui Șelah i s‑a născut Eber.

19Lui Eber i s‑au născut doi fii: numele unuia era Peleg19 Peleg înseamnă împărțire., pentru că în timpul vieții lui a fost împărțit pământul, iar numele fratelui său era Ioktan.

20Lui Ioktan i s‑au născut Almodad, Șelef, Hațar-Mavet, Iarah,

21Hadoram, Uzal, Dikla,

22Ebal22 Cele mai multe mss TM. Câteva mss TM, Siriacă (vezi și Gen. 10:28): Obal., Abimael, Șeba,

23Ofir, Havila și Iobab. Toți aceștia au fost fiii lui Ioktan.

24Sem, Arpahșad, Șelah,

25Eber, Peleg, Reu,

26Serug, Nahor, Terah și

27Avram (cu referire la Avraam27 Vezi Gen. 17:4-6.).

Urmașii lui Avraam

(Gen. 25:1-4, 12-16; 36:4-28)

28Fiii lui Avraam au fost: Isaac și Ismael.

29Iată care sunt genealogiile29 Vezi Gen. 25:13 și nota de la Gen. 2:4. lor:

Nebaiot, întâiul născut al lui Ismael, Chedar, Adbeel, Mibsam,

30Mișma, Duma, Masa, Hadad, Tema,

31Ietur, Nafiș și Chedma. Aceștia au fost fiii lui Ismael.

32Fiii pe care i‑a născut Chetura, țiitoarea lui Avraam, au fost:

Zimran, Iokșan, Medan, Midian, Ișbak și Șuah.

Lui Iokșan i s‑au născut Șeba și Dedan.

33Fiii lui Midian au fost:

Efa, Efer, Hanoh, Abida și Eldaa.

Toți aceștia au fost urmașii Cheturei.

34Lui Avraam i s‑a născut Isaac.

Fiii lui Isaac au fost: Esau și Israel.

Urmașii lui Esau

(Gen. 36:10-14)

35Fiii lui Esau au fost:

Elifaz, Reuel, Ieuș, Ialam și Korah.

36Fiii lui Elifaz au fost:

Teman, Omar, Țefo, Gatam, Chenaz;

din Timna s‑a născut Amalek.

37Fiii lui Reuel au fost:

Nahat, Zerah, Șama și Miza.

Urmașii lui Seir

(Gen. 36:20-28)

38Fiii lui Seir au fost:

Lotan, Șobal, Țivon, Ana, Dișon, Ețer și Dișan.

39Fiii lui Lotan au fost:

Hori și Homam39 TM. Gen. 36:22 conține Hemam.. Sora lui Lotan a fost Timna.

40Fiii lui Șobal au fost:

Alvan, Manahat, Ebal, Șefi și Onam.

Fiii lui Țivon au fost:

Aia și Ana.

41Fiul lui Ana a fost:

Dișon.

Fiii lui Dișon au fost:

Hemdan, Eșban, Itran și Cheran.

42Fiii lui Ețer au fost:

Bilhan, Zaavan și Iaakan.

Fiii lui Dișan au fost:

Uț și Aran.

Dinastia edomită

(Gen. 36:31-43)

43Regii care au domnit în Edom, înainte ca vreun rege să domnească peste fiii lui Israel43 Sau: înainte ca vreun rege israelit să domnească peste ei,, au fost:

Bela, fiul lui Beor; numele cetății sale era Dinhaba.

44Când Bela a murit, Iobab, fiul lui Zerah, din Boțra, a domnit în locul lui.

45Când Iobab a murit, Hușam, din țara temaniților, a domnit în locul lui.

46Când Hușam a murit, Hadad, fiul lui Bedad, cel care i‑a învins pe midianiți la Moab, a domnit în locul lui. Numele cetății sale era Avit.

47Când Hadad a murit, Samla, din Masreka, a domnit în locul lui.

48Când Samla a murit, Saul din Rehobotul de lângă râu48 Probabil fluviul Eufrat. a domnit în locul lui.

49Când Saul a murit, Baal-Hanan, fiul lui Acbor, a domnit în locul lui.

50Când Baal-Hanan a murit, Hadad a domnit în locul lui; numele

cetății sale era Pau. Numele soției sale era Mehetabeel, fiica lui Matred, fiica lui Me‑Zahab.

51Hadad însă a murit și el.

Căpeteniile Edomului au fost:

căpetenia Timna, căpetenia Alva, căpetenia Ietet, 52căpetenia Oholibama, căpetenia Ela, căpetenia Pinon, 53căpetenia Chenaz, căpetenia Teman, căpetenia Mibțar, 54căpetenia Magdiel și căpetenia Iram. Acestea au fost căpeteniile Edomului.