Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu
(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)
Adamu Hadi Wana Wa Noa
11:1 Mwa 5:1-32; Lk 3:36-38Adamu, Sethi, Enoshi, 21:2 Mwa 5:9; 5:12; 5:15Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 31:3 Mwa 5:18; Yud 14; Mwa 5:21; 5:25; 5:29Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
41:4 Mwa 6:10; 10:1; 5:32Wana wa Noa walikuwa:
Shemu, Hamu na Yafethi.
Wana Wa Yafethi
5Wana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7Wana wa Yavani walikuwa:
Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Wana Wa Hamu
81:8 Mwa 16:10Wana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misraimu,1:8 Yaani Misri. Putu na Kanaani.
9Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.
101:10 Mwa 10:8, 13Kushi akamzaa
Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11Misraimu akawazaa:
Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 121:12 Mwa 10:14; Kum 2:23; Yer 47:4; Amo 9:7Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13Wana wa Kanaani walikuwa:
Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, 14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 15Wahivi, Waariki, Wasini, 16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Wana Wa Shemu
171:17 Mwa 9:23-26; 10:22; 11:10Wana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Wana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18Arfaksadi akamzaa Shela,
Shela akamzaa Eberi.
19Eberi alipata wana wawili:
Mmoja wao aliitwa Pelegi,1:19 Pelegi maana yake Mgawanyiko. kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20Wana wa Yoktani walikuwa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli, Sheba, 23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
241:24 Mwa 10:21-29; Lk 3:34-36Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
251:25 Mwa 11:15; Hes 24:24; Lk 3:35Eberi, Pelegi, Reu,
26Serugi, Nahori, Tera,
271:27 Mwa 17:5; 2Nya 20:7; Isa 41:8; 51:2; Rum 4:16Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Jamaa Ya Abrahamu
281:28 Mwa 21:2-3; 16:11, 15Abrahamu alikuwa na wana wawili:
Isaki na Ishmaeli.
Wazao Wa Hagari
(Mwanzo 25:12-16)
291:29 Mwa 25:13-26Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:
Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Wazao Wa Ketura
321:32 Mwa 22:24; 10:7Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:
Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
Wana wa Yokshani walikuwa:
Sheba na Dedani.
33Wana wa Midiani walikuwa:
Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.
Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Wazao Wa Sara
341:34 Lk 3:34; Mwa 21:2-3; Mdo 7:8; Mwa 18:5; 25:25-26Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.
Wana wa Isaki walikuwa:
Esau na Israeli.
Wana Wa Esau
(Mwanzo 36:1-19)
351:35 Mwa 36:19; 36:4; Kum 2:22; Rum 9:13; Ebr 12:16; Mal 1:2-3Wana wa Esau walikuwa:
Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
361:36 Kut 17:14; Mwa 36:11Wana wa Elifazi walikuwa:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;
Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
371:37 Mwa 36:17Wana wa Reueli walikuwa:
Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu
(Mwanzo 36:20-30)
381:38 Mwa 36:20Wana wa Seiri walikuwa:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
391:39 Mwa 36:22Wana wa Lotani walikuwa wawili:
Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
401:40 Mwa 36:2Wana wa Shobali walikuwa:
Alvani,1:40 Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian. Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Wana wa Sibeoni walikuwa:
Aiya na Ana.
411:41 Mwa 36:25-26Mwana wa Ana alikuwa:
Dishoni.
Nao wana wa Dishoni walikuwa:
Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42Wana wa Eseri walikuwa:
Bilhani, Zaavani na Akani.
Wana wa Dishani walikuwa:
Usi na Arani.
Watawala Wa Edomu
(Mwanzo 36:31-43)
431:43 Mwa 36:31; 49:10Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:
Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
451:45 Mwa 36:11Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
461:46 1Fal 11:14Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
481:48 Mwa 36:37Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
501:50 Mwa 36:39Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. 511:51 Mwa 36:40; Kut 15:15Naye Hadadi pia akafa.
Wakuu wa Edomu walikuwa:
Timna, Alva, Yethethi, 52Oholibama, Ela, Pinoni, 53Kenazi, Temani, Mibsari, 54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
從亞當到亞伯拉罕
1亞當生塞特,塞特生以挪士, 2以挪士生該南,該南生瑪勒列,瑪勒列生雅列, 3雅列生以諾,以諾生瑪土撒拉,瑪土撒拉生拉麥, 4拉麥生挪亞,挪亞生閃、含、雅弗。
5雅弗的兒子是歌篾、瑪各、瑪代、雅完、土巴、米設、提拉。 6歌篾的兒子是亞實基拿、低法、陀迦瑪。 7雅完的兒子是以利沙、他施、基提、多單。
8含的兒子是古實、麥西、弗、迦南。 9古實的兒子是西巴、哈腓拉、撒弗他、拉瑪、撒弗提迦。拉瑪的兒子是示巴、底但。 10古實也是寧錄之父,寧錄是世上第一位勇士。 11麥西1·11 「麥西」意思是「埃及」。的後代有路低人、亞拿米人、利哈比人、拿弗土希人、 12帕斯魯細人、迦斯路希人、迦斐托人。非利士人是迦斐托人的後代。
13迦南生長子西頓和次子赫。 14他的後代還有耶布斯人、亞摩利人、革迦撒人、 15希未人、亞基人、西尼人、 16亞瓦底人、洗瑪利人和哈馬人。
17閃的兒子是以攔、亞述、亞法撒、路德、亞蘭、烏斯、戶勒、基帖、米設。 18亞法撒生沙拉,沙拉生希伯。 19希伯有兩個兒子,一個名叫法勒1·19 「法勒」意思是「分開」。,因為那時,世人分地而居;法勒的兄弟叫約坍。 20約坍生亞摩答、沙列、哈薩瑪非、耶拉、 21哈多蘭、烏薩、德拉、 22以巴錄、亞比瑪利、示巴、 23阿斐、哈腓拉、約巴。這些都是約坍的兒子。 24閃生亞法撒,亞法撒生沙拉, 25沙拉生希伯,希伯生法勒,法勒生拉吳, 26拉吳生西鹿,西鹿生拿鶴,拿鶴生他拉, 27他拉生亞伯蘭——又名亞伯拉罕。
從亞伯拉罕到雅各
28亞伯拉罕的兒子是以撒和以實瑪利。 29以下是他們的後代:
以實瑪利的長子是尼拜約,其餘的兒子是基達、押德別、米比衫、 30米施瑪、度瑪、瑪撒、哈達、提瑪、 31伊突、拿非施、基底瑪。這些人都是以實瑪利的兒子。 32亞伯拉罕的妾基土拉所生的兒子是心蘭、約珊、米但、米甸、伊施巴、書亞。約珊的兒子是示巴和底但。 33米甸的兒子是以法、以弗、哈諾、亞比大和以勒大。這些都是基土拉的子孫。
34亞伯拉罕的兒子以撒生以掃和以色列。 35以掃的兒子是以利法、流珥、耶烏施、雅蘭、可拉。 36以利法的兒子是提幔、阿抹、洗玻、迦坦、基納斯、亭納、亞瑪力。 37流珥的兒子是拿哈、謝拉、沙瑪、米撒。
以東地區的原住民
38西珥的兒子是羅坍、朔巴、祭便、亞拿、底順、以察、底珊。 39羅坍的兒子是何利和荷幔,羅坍的妹妹是亭納。 40朔巴的兒子是亞勒文、瑪拿轄、以巴錄、示非、阿南。祭便的兒子是亞雅、亞拿。 41亞拿的兒子是底順。底順的兒子是哈默蘭、伊是班、益蘭、基蘭。 42以察的兒子是辟罕、撒番、亞干。底珊的兒子是烏斯和亞蘭。
以東諸王
43以色列人還沒有君王統治之前,在以東做王的人如下:
比珥的兒子比拉,他定都亭哈巴。 44比拉死後,波斯拉人謝拉的兒子約巴繼位。 45約巴死後,提幔地區的戶珊繼位。 46戶珊死後,比達的兒子哈達繼位,定都亞未得,他曾在摩押地區擊敗米甸人。 47哈達死後,瑪士利加人桑拉繼位。 48桑拉死後,大河邊的利河伯人掃羅繼位。 49掃羅死後,亞革波的兒子巴勒·哈南繼位。 50巴勒·哈南死後,哈達繼位,定都巴伊,他的妻子名叫米希她別,是米·薩合的孫女、瑪特列的女兒。
51哈達死後,在以東做族長的人有亭納、亞勒瓦、耶帖、 52亞何利巴瑪、以拉、比嫩、 53基納斯、提幔、米比薩、 54瑪基疊、以蘭。這些人都是以東的族長。