2 कुरिन्‍थुस 6 – NCA & NEN

New Chhattisgarhi Translation (नवां नियम छत्तीसगढ़ी)

2 कुरिन्‍थुस 6:1-18

1हमन परमेसर के संगी करमी के रूप म, तुमन ले बिनती करथन कि परमेसर ले मिले अनुग्रह ला बेकार झन होवन देवव। 2काबरकि परमेसर ह कहिथे,

“अपन ठीक समय म मेंह तुम्‍हर पराथना ला सुनेंव,

अऊ उद्धार के दिन म मेंह तुम्‍हर मदद करेंव।”6:2 यसायाह 49:8

मेंह तुमन ला बतावत हंव, देखव, एह सही समय ए, एह उद्धार के दिन ए।

पौलुस के दुःख सहई

3हमन काकरो रसता म बाधा नइं डालन, ताकि कोनो हमर सेवा म दोस झन पावय। 4पर हर बात म हमन अपन-आप ला परमेसर के सेवक जताथन – सहन करे म, समस्या, दुःख, अऊ बिपत्ती म, 5मार खाय, जेल जाय म अऊ मनखेमन के हंगामा करे म; कठोर मिहनत, रात-रात भर जगई अऊ भूख म; 6सुधता, समझ, धीरज अऊ दयालुता म; पबितर आतमा म अऊ निस्कपट मया म; 7सच बात गोठियाय म, अऊ परमेसर के सामरथ म; धरमीपन के हथियार संग लड़े म अऊ बचाव करे म; 8आदर अऊ अनादर म, बड़ई अऊ बदनामी म। हमन सच गोठियाथन, तभो ले हमर संग लबरामन सहीं बरताव करे जाथे। 9हमन ला जम्मो झन जानथें, तभो ले हमर संग अनजानमन सहीं बरताव करे जाथे। हमन मरे सहीं रहिथन, पर हमन जीयत हवन। हमन मार खाथन, पर मार डारे नइं जावन। 10हमन दुःखी तो हवन, पर हमेसा आनंद मनावत रहिथन। हमन गरीब अन, पर बहुंत झन ला धनवान बनाथन। हमर करा कुछू नइं ए, तभो ले हमन जम्मो चीज ऊपर अधिकार रखथन।

11हे कुरिन्‍थुस सहर के मनखेमन, हमन तुमन ले खुलके गोठियाय हवन अऊ हमर हिरदय तुम्‍हर बर खुला हवय। 12तुम्‍हर बर हमन अपन मया ला नइं रोकत हवन, पर हमर बर तुमन अपन मया ला रोकत हवव। 13मेंह तुमन ला अपन लइका जानके कहथंव कि एकर बदला म, तुमन घलो अपन हिरदय ला खोल देवव।

अबिसवासीमन संग साझीदार झन होवव

14अबिसवासीमन के संग साझीदार झन बनव। काबरकि धरमीपन अऊ अधरम म का समानता? या अंजोर अऊ अंधियार के का संगति? 15मसीह अऊ सैतान के बीच म का मेल हवय? एक बिसवासी के एक अबिसवासी संग का समानता? 16परमेसर के मंदिर अऊ मूरतीमन के बीच म का सहमती? काबरकि हमन जीयत परमेसर के मंदिर अन; जइसने कि परमेसर ह कहे हवय:

“मेंह ओमन के संग रहिहूं अऊ ओमन के बीच चलहूं-फिरहूं,

अऊ मेंह ओमन के परमेसर होहूं अऊ ओमन मोर मनखे होहीं।”6:16 लैब्यवस्था 26:12

17एकरसेति परभू ह कहिथे,

“ओमन के बीच म ले निकर आवव अऊ अलग रहव। असुध चीज ला झन छूवव,

त मेंह तुमन ला गरहन करहूं।”6:17 यसायाह 59:11

18सर्वसक्तिमान परभू ह कहिथे,

“मेंह तुम्‍हर ददा होहूं,

अऊ तुमन मोर बेटा अऊ बेटी होहू।”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 6:1-18

16:1 1Kor 3:9; 2Kor 5:20; 1Kor 15; 2Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure. 26:2 Isa 49; 8; Za 69:13; Isa 55:6Kwa maana asema:

“Wakati wangu uliokubalika nilikusikia,

siku ya wokovu nilikusaidia.”

Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.

Taabu Za Paulo

36:3 Mt 5:29; Rum 14:13-20; 1Kor 8:9-13; 9:13; 10:32Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. 46:4 2Kor 4:2; 1Kor 4:1Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida; 56:5 Mdo 16:23; 2Kor 11:23-25; 1Kor 4:11katika kupigwa, katika kufungwa gerezani na katika ghasia; katika kazi ngumu, katika kukesha na katika kufunga; 66:6 1Kor 2:4; Rum 12:5; 1Tim 1:5; 1The 1:5katika utakatifu, katika ufahamu, katika uvumilivu, na katika utu wema; katika Roho Mtakatifu na upendo wa kweli; 76:7 2Kor 4:2-7; Rum 13:12; 2Kor 10:4; Efe 6:10-18katika maneno ya kweli na katika nguvu za Mungu, kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto; 86:8 1Kor 4:10-13; Mt 27:63katika utukufu na katika kudharauliwa; katika sifa mbaya na katika sifa nzuri; tukiwa kama wadanganyaji, lakini tukiwa wakweli; 96:9 Rum 8:36; 2Kor 1:8-10; 4:10-11tukiwa maarufu, lakini tukihesabiwa kama tusiojulikana; tukiwa kama wanaokufa, lakini tunaishi; tukipigwa, lakini hatuuawi; 106:10 Mt 5:12; 2Kor 7; 4; Flp 2:17; 4:4; Kol 1:24; 1The 1:6; 2Kor 8:9; Mdo 3:6; Rum 8:32tukiwa kama wenye huzuni, lakini siku zote tukifurahi; tukionekana maskini, lakini tukitajirisha wengi; tukiwa kama wasio na kitu, lakini tuna vitu vyote.

116:11 2Kor 7:3; Za 119:32Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa. 126:12 2Nya 12:15Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu. 136:13 1The 2:11; 2Kor 7:2Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.

Msifungiwe Nira Pamoja Na Wasioamini

146:14 Mwa 24:3; Kum 22:10; 1Kor 5:9-10; Efe 5:7-11Msifungiwe nira pamoja na watu wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa maana pana uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 156:15 1Kor 10:21; Mdo 5:14; 1Kor 6; 6Kuna mapatano gani kati ya Kristo na Beliari?6:15 Beliari hapa ina maana ya uovu, kutokumcha Mungu. Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini? 166:16 1Kor 10:21; 3:16; Mt 16:16; Law 26:12; Yer 32:38; Eze 37:27; Ufu 21; 3Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”

176:17 Ufu 18; 4; Isa 51:11; Eze 20:34-41“Kwa hiyo tokeni miongoni mwao,

mkatengwe nao,

asema Bwana.

Msiguse kitu chochote kilicho najisi,

nami nitawakaribisha.”

186:18 Kut 4:22; 2Sam 7:14; 1Nya 17:13; Isa 43:6; Rum 8:14; 2Sam 7:8“Mimi nitakuwa Baba kwenu,

nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu,

asema Bwana Mwenyezi.”