مزمور 81 – NAV & NEN

Ketab El Hayat

مزمور 81:1-16

الْمَزْمُورُ الْحَادِي وَالثَّمَانُونَ

لِقَائِدِ الْمُنْشِدِينَ عَلَى الْجَتِّيَّةِ. لآسَافَ

1رَنِّمُوا بِفَرَحٍ للهِ قُوَّتِنَا، اهْتِفُوا عَالِياً لإِلَهِ يَعْقُوبَ. 2أَنْشِدُوا نَشِيداً، وَانْقُرُوا عَلَى الدُّفِّ وَاعْزِفُوا عَلَى الْعُودِ الْمُطْرِبِ، وَعَلَى الرَّبَابِ. 3انْفُخُوا بِالْبُوقِ فِي أَوَّلِ الشَّهْرِ، فِي الْوَقْتِ الْمُعَيَّنِ لِيَوْمِ عِيدِنَا، 4لأَنَّ هَذَا فَرِيضَةٌ مَرْسُومَةٌ عَلَى إِسْرَائِيلَ، وَحُكْمٌ يُوْجِبُهُ إِلَهُ يَعْقُوبَ. 5جَعَلَهُ شَهَادَةً لَهُ بَيْنَ (قَوْمِ) يُوسُفَ، عِنْدَمَا ضَرَبَ مِصْرَ، حَيْثُ سَمِعْنَا لُغَةً لَمْ نَعْرِفْهَا تَقُولُ: 6«أَزَحْتُ كَتِفَهُ مِنْ تَحْتِ الأَحْمَالِ الثَّقِيلَةِ، وَسَلِمَتْ يَدَاهُ مِنْ حَمْلِ السِّلالِ. 7دَعَوْتَنِي فِي الضِّيقِ فَنَجَّيْتُكَ. اسْتَجَبْتُ لَكَ مِنْ مَكْمَنِ الرَّعْدِ. جَرَّبْتُكَ عِنْدَ مِيَاهِ مَرِيبَةَ.

8اسْمَعْ يَا شَعْبِي فَأُحَذِّرَكَ، يَا إِسْرَائِيلُ هَلّا سَمِعْتَ لِي؟ 9لَا تَكُنْ فِيكَ عِبَادَةٌ لإِلَهٍ غَرِيبٍ، وَلَا تَسْجُدْ لإِلَهٍ أَجْنَبِيٍّ. 10أَنَا الرَّبُّ إِلَهُكَ الَّذِي أَنْقَذَكَ مِنْ أَرْضِ مِصْرَ: افْتَحْ فَمَكَ وَاسِعاً فَأَمْلأَهُ خَيْراً. 11غَيْرَ أَنَّ شَعْبِي لَمْ يَسْمَعْ لِي، وَإِسْرَائِيلَ لَمْ يَرْضَ بِي. 12لِذَلِكَ أَسْلَمْتُهُمْ إِلَى عِنَادِ قُلُوبِهِمْ. وَسَلَكُوا وَفْقاً لِمَشُورَاتِ أَنْفُسِهِمْ. 13لَوْ سَمِعَ لِي شَعْبِي وَسَلَكَ إِسْرَائِيلُ فِي طُرُقِي، 14لَكُنْتُ أَخْضَعْتُ أَعْدَاءَهُمْ سَرِيعاً، وَحَوَّلْتُ يَدِي نَحْوَ خُصُومِهِمْ، 15وَلَكَانَ مُبْغِضِيَّ يَتَمَلَّقُونَنِي، وَلَطَالَتْ حِقْبَةُ عِقَابِهِمْ إِلَى الأَبَدِ. 16وَلَكُنْتُ أُطْعِمُ شَعْبِي أَفْخَرَ الْحِنْطَةِ، وَأُشْبِعُهُمْ عَسَلاً مِنَ الصَّخْرَةِ».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 81:1-16

Zaburi 81

Wimbo Wa Sikukuu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.

181:1 Za 66:1; 81:4Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;

mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!

281:2 Kut 15:20; Za 92:3; Ay 21:12Anzeni wimbo, pigeni matari,

pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

381:3 Kut 19:13; Neh 10:33Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume

wakati wa Mwandamo wa Mwezi,

na wakati wa mwezi mpevu,

katika siku ya Sikukuu yetu;

481:4 Za 81:1; Law 23:24; Hes 10:10hii ni amri kwa Israeli,

agizo la Mungu wa Yakobo.

581:5 Kut 11:4; Za 114:1Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu

alipotoka dhidi ya Misri,

huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.

681:6 Kut 1:14; Isa 9:4; 52:2Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;

mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.

781:7 Kut 2:23; 19:19; 17:7; Kum 33:8Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,

nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo;

nilikujaribu katika maji ya Meriba.

881:8 Za 50:7; 78:1“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:

laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!

981:9 Kut 20:3Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;

msimsujudie mungu wa kigeni.

1081:10 Kut 6:6; 13:3; 29:46; Eze 2:8; Za 107:9; 37:3; Yn 13:7Mimi ni Bwana Mungu wako,

niliyekutoa nchi ya Misri.

Panua sana kinywa chako

nami nitakijaza.

1181:11 Kut 32:1-6“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;

Israeli hakutaka kunitii.

1281:12 Eze 20:25; Mdo 7:42; Rum 1:24Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao

wafuate mashauri yao wenyewe.

1381:13 Kum 5:29; Isa 48:18; Yer 44:4, 5; Mt 23:37“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,

kama Israeli wangalifuata njia zangu,

1481:14 Za 47:3; Amo 1:8ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,

na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!

1581:15 2Sam 22:45Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake,

na adhabu yao ingedumu milele.

1681:16 Kum 32:14Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,

na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”