ኤርምያስ 20 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኤርምያስ 20:1-18

ኤርምያስና ጳስኮር

1በእግዚአብሔር ቤተ መቅደስ ውስጥ አለቃ የነበረው፣ የኢሜር ልጅ ካህኑ ጳስኮር እነዚህን ነገሮች ኤርምያስ እንደ ተነበየ በሰማ ጊዜ፣ 2ነቢዩ ኤርምያስን መታው፤ በእግዚአብሔርም ቤተ መቅደስ በላይኛው የብንያም በር በእግር ግንድ ጠረቀው። 3በማግስቱም ጳስኮር ኤርምያስን ከተጠረቀበት ግንድ አወጣው፤ ኤርምያስም እንዲህ አለው፤ “እግዚአብሔር ከእንግዲህ ማጎርሚሳቢብ20፥3 ማጎርሚሳቢብ ማለት ዙሪያ-ገባው ሽብር ማለት ነው። ብሎ ይጠራሃል እንጂ ጳስኮር አይልህም፤ 4እግዚአብሔር እንዲህ ይላልና፤ ‘አንተንና ባልንጀሮችህን ሁሉ ለሽብር እዳርጋለሁ፤ የገዛ ዐይንህ እያየ በጠላቶቻቸው ሰይፍ ይወድቃሉ። ይሁዳን ሁሉ ለባቢሎን ንጉሥ አሳልፌ እሰጣለሁ፤ እርሱም ወደ ባቢሎን ያፈልሳቸዋል፤ በሰይፍም ይገድላቸዋል። 5የዚህችን ከተማ ሀብት ሁሉ፣ ጥሪቷን፣ የይሁዳን ነገሥታት ውድ ዕቃና ንብረት ሁሉ ለጠላቶቻቸው አሳልፌ እሰጣለሁ፤ እነርሱም ዘርፈው ወደ ባቢሎን ይዘውት ይሄዳሉ። 6ጳስኮር ሆይ፤ አንተና በቤትህ የሚኖሩት ሁሉ ወደ ባቢሎን ትጋዛላችሁ። አንተና በሐሰት ትንቢት የተነበይህላቸው ባልንጆሮችህ በዚያ ትሞታላችሁ፤ በዚያም ትቀበራላችሁ።’ ”

የኤርምያስ ማጕረምረም

7እግዚአብሔር ሆይ፤ አታለልኸኝ፤20፥7 ወይም ሐሳቤን አስለወጥኸኝ እኔም ተታለልሁ፤

አንተ ከእኔ እጅግ በረታህ፤ አሸነፍህም፤

ቀኑን ሙሉ ማላገጫ ሆንሁ፤

ሁሉም ተዘባበቱብኝ።

8በተናገርሁ ቍጥር እጮኻለሁ፤

“ሁከትና ጥፋት!” ብዬ ዐውጃለሁ፤

ስለዚህ የእግዚአብሔር ቃል፣

ቀኑን ሙሉ ስድብና ነቀፋ አስከተለብኝ።

9ነገር ግን፣ “ከእንግዲህ የእርሱን ስም አላነሣም፤

በስሙም አልናገርም” ብል፣

ቃሉ በልቤ እንደ እሳት፣

በዐጥንቴም ውስጥ እንደ ረመጥ ሆነብኝ፤

ዐፍኜ መያዝ አቃተኝ፤

ጨርሶ መቋቋም አልቻልሁም።

10“በየቦታው ሽብር አለ፤

አውግዙት፤ እናውግዘው፤”

ብለው ብዙ ሲያንሾካሽኩ ሰማሁ፤

መውደቄን በመጠባበቅ፣

ባልንጀሮቼ የነበሩ ሁሉ፣

“ይታለል ይሆናል፣

ከዚያም እናሸንፈዋለን፤

እንበቀለዋለንም” ይላሉ።

11ነገር ግን እግዚአብሔር እንደ ኀያል ተዋጊ ከእኔ ጋር ነው፤

ስለዚህ አሳዳጆቼ ይሰናከላሉ እንጂ አያሸንፉም፤

ክፉኛ ይዋረዳሉ እንጂ አይሳካላቸውም፤

ውርደታቸውም ከቶ አይረሳም።

12ጻድቁን የምትፈትን ልብንና አእምሮን የምትመረምር፣

የሰራዊት ጌታ እግዚአብሔር ሆይ፤

ጕዳዬን ለአንተ አሳልፌ ሰጥቻለሁና

ስትበቀላቸው ለማየት አብቃኝ።

13ለእግዚአብሔር ዘምሩ፤

ለእግዚአብሔር ምስጋናን አቅርቡ፤

የችግረኛውን ነፍስ፣

ከክፉዎች እጅ ታድጓልና።

14የተወለድሁባት ዕለት የተረገመች ትሁን፤

እናቴ እኔን የወለደችባት ቀን አትባረክ።

15“ወንድ ልጅ ተወልዶልሃል” ብሎ፣

ለአባቴ የምሥራች የነገረ፣

ደስ ያሰኘውም ሰው የተረገመ ይሁን።

16ያ ሰው እግዚአብሔር ሳይራራ፣

እንደ ገለበጣቸው ከተሞች ይሁን፤

በማለዳ ዋይታን፣

በቀትርም የጦርነትን ውካታ ይስማ፤

17እናቴ መቃብር ትሆነኝ ዘንድ፣

ማሕፀንም ሰፊ የዘላለም ማደሪያዬ እንዲሆን፣

ከማሕፀንም ሳልወጣ አልገደለኝምና።

18ችግርና ሐዘንን ለማየት፣

ዘመኔንም በውርደት ለመፈጸም፣

ለምን ከማሕፀን ወጣሁ?

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 20:1-18

Yeremia Ateswa Na Pashuri

120:1 1Nya 24:14; 2Fal 25:18; Lk 22:52Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la Bwana, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya, 220:2 Kum 25:2-3; 2Kor 11:24; Ay 13:27; Zek 14:10; Ay 29:7; Yer 15:15; 37:15; 29:26; Mdo 16:24; Ebr 11:36akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la Bwana. 3Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.20:3 Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote. 420:4 Ay 18:11; Yer 29:21; 25:9; 52:27; 39:9; 21:10; 13:19Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga. 520:5 2Fal 25:15; Yer 17:3; 3:24; 2Fal 20:17Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli. 620:6 Yer 14:15; Mao 2:14; Yer 28:15Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’ ”

Malalamiko Ya Yeremia

720:7 Kut 5:23; 22:16; Isa 8:11; 1Kor 9:16; Ay 12:4Ee Bwana, umenidanganya,

nami nikadanganyika;

wewe una nguvu kuniliko,

nawe umenishinda.

Ninadharauliwa mchana kutwa,

kila mmoja ananidhihaki.

820:8 Yer 28:8; 2Nya 36:16; Yer 6:7-10Kila ninenapo, ninapiga kelele

nikitangaza ukatili na uharibifu.

Kwa hiyo neno la Bwana limeniletea matukano

na mashutumu mchana kutwa.

920:9 Za 39:3; Yer 4:19; Amo 3:8; Mdo 4:20; 18:5; Yer 44:16Lakini kama nikisema, “Sitamtaja

wala kusema tena kwa jina lake,”

neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto,

moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu.

Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu;

kweli, siwezi kujizuia.

1020:10 Yer 6:25; Neh 6:6-13; Ay 19:14; Lk 11:54; Za 57:4Ninasikia minongʼono mingi,

“Hofu iko pande zote!

Mshtakini! Twendeni tumshtaki!”

Rafiki zangu wote wananisubiri niteleze,

wakisema,

“Labda atadanganyika;

kisha tutamshinda

na kulipiza kisasi juu yake.”

1120:11 Rum 8:31; Yer 15:15; 17:18; 23:40; 7:19; Za 129:2Lakini Bwana yu pamoja nami

kama shujaa mwenye nguvu;

hivyo washtaki wangu watajikwaa

na kamwe hawatashinda.

Watashindwa, nao wataaibika kabisa;

kukosa adabu kwao hakutasahauliwa.

1220:12 Yer 17:10; Za 54:7; Rum 12:19; Za 62:8; Yer 11:20; Za 7:9; Kum 32:35Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

wewe umjaribuye mwenye haki

na kupima moyo na nia,

hebu nione ukilipiza kisasi juu yao,

kwa maana kwako

nimeliweka shauri langu.

1320:13 Za 35:10; Yak 2:5-6; Isa 12:6; Za 34:6; 97:10Mwimbieni Bwana!

Mpeni Bwana sifa!

Yeye huokoa uhai wa mhitaji

kutoka mikononi mwa waovu.

1420:14 Yer 15:10; Ay 3:8, 16Ilaaniwe siku niliyozaliwa!

Nayo isibarikiwe ile siku

mama yangu aliyonizaa!

15Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari,

yule aliyemfanya afurahi sana, akisema,

“Mtoto amezaliwa kwako,

tena mtoto wa kiume!”

1620:16 Mwa 19:25; Yer 18:22; 6:26Mtu huyo na awe kama miji ile

ambayo Bwana Mungu

aliiangamiza bila huruma.

Yeye na asikie maombolezo asubuhi

na kilio cha vita adhuhuri.

1720:17 Ay 3:10-16; 10:18-19Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni,

hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu,

nalo tumbo lake la uzazi

lingebaki kuwa kubwa daima.

1820:18 1Fal 19:4; Za 102:3; Ay 3:20; 3:10-11; Mhu 4:2; Mwa 3:17; Ay 5:7; Za 90:9Kwa nini basi nilitoka tumboni

ili kuona taabu na huzuni,

na kuzimaliza siku zangu katika aibu?