ኢዮብ 36 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኢዮብ 36:1-33

1ኤሊሁ በመቀጠል እንዲህ አለ፤

2“በእግዚአብሔር ፈንታ ሆኜ የምለው አለኝ፤

ጥቂት ታገሠኝና እነግርሃለሁ።

3ዕውቀቴን ከሩቅ አመጣለሁ፤

ፈጣሪዬ ጻድቅ እንደ ሆነ እገልጻለሁ።

4ቃሌ ሐሰት እንዳልሆነ አረጋግጣለሁ፤

በዕውቀቱ ፍጹም የሆነ ሰው ከአንተ ጋር ነው።

5“እግዚአብሔር ኀያል ነው፤ ግን ማንንም አይንቅም፤

ኀያል፣ በዐላማውም ጽኑ ነው።

6ክፉዎችን በሕይወት አያኖርም፤

ለተቸገሩት ግን በቅን ይፈርዳል።

7ዐይኖቹን ከጻድቃን ላይ አያነሣም፤

ከነገሥታት ጋር በዙፋን ላይ ያስቀምጣቸዋል፤

ለዘላለምም ከፍ ከፍ ያደርጋቸዋል።

8ነገር ግን ሰዎች በሰንሰለት ቢታሰሩ፣

በመከራም ገመድ ቢጠፈሩ፣

9በእብሪት የፈጸሙትን በደል፣

ተግባራቸውን ይነግራቸዋል።

10ተግሣጽን እንዲሰሙ ያደርጋቸዋል፤

ከክፋታቸውም እንዲመለሱ ያዝዛቸዋል።

11ታዝዘው ቢያገለግሉት፣

ቀሪ ዘመናቸውን በተድላ፣

ዕድሜያቸውንም በርካታ ይፈጽማሉ።

12ባይሰሙ ግን፣

በሰይፍ36፥12 ወይም፣ ወንዙን ያቋርጣሉ ይጠፋሉ፤

ያለ ዕውቀትም ይሞታሉ።

13“ልባቸው ከእግዚአብሔር የራቀ፣ ቍጣን ያስተናግዳሉ፤

በሰንሰለት ባሰራቸውም ጊዜ እንኳ ወደ እርሱ አይጮኹም።

14በቤተ ጣዖት ውስጥ ዝሙት በሚፈጽሙት መካከል፣

ገና በወጣትነታቸው ይቀጫሉ።

15ነገር ግን የሚሠቃዩትን ከሥቃያቸው ያድናቸዋል፤

በመከራቸውም ውስጥ ይናገራቸዋል።

16“አንተንም ከመከራ መንጋጋ፣

ጭንቀት ወደሌለበት ወደ ሰፊ ስፍራ፣

ምርጥ ምግብ ወደ ሞላበት ማእድ ያወጣሃል።

17አሁን ግን ለክፉዎች የሚገባው ፍርድ በላይህ ተጭኗል፤

ፍርድና ብይን ይዘውሃል።

18ባለጠግነት እንዳያታልልህ፣

የእጅ መንሻ ብዛትም እንዳያስትህ ተጠንቀቅ።

19ባለጠግነትህም ሆነ ብርቱ ጥረትህ ሁሉ፣

ችግር ውስጥ እንዳትገባ ሊረዳህ ይችላልን?

20ሰዎች ከቤታቸው36፥20 በዕብራይስጥ ከ18-20 ያለው ክፍል ትርጕሙ በትክክል አይታወቅም። የሚወሰዱበትን፣

ሌሊት አትመኝ።

21ከመከራ ይልቅ መርጠኸዋልና፣

ወደ ክፋት እንዳትመለስ ተጠንቀቅ።

22“እነሆ፤ እግዚአብሔር በኀይሉ ከፍ ከፍ ብሏል፤

እንደ እርሱስ ያለ አስተማሪ ማን ነው?

23እርሱን መንገድ የሚመራው፣

ወይም ‘ይህን አጥፍተሃል’ የሚለው ማን ነው?

24ሰዎች በመዝሙር ያወደሱትን፣

የእርሱን ሥራ ማወደስ አትዘንጋ።

25ሰው ሁሉ አይቶታል፤

ሰዎችም በትኵረት ተመልክተውታል።

26እነሆ፤ እግዚአብሔር ከአእምሯችን በላይ ታላቅ ነው!

የዘመኑም ቍጥር ከመታወቅ ያልፋል።

27“የውሃን ነጠብጣብ ወደ ላይ ያተንናል፤

መልሶም በዝናብ መልክ በጅረቶች ላይ ያወርዳል፤

28ደመናት ጠል ያንጠባጥባሉ፤

ዶፍም በሰው ላይ ይወርዳል።

29ደመናትን እንዴት እንደሚዘረጋ፣

ከድንኳኑም እንዴት እንደሚያንጐደጕድ ሊረዳ የሚችል ማን ነው?

30መብረቁን በዙሪያው እንዴት እንደሚበትን ተመልከት፤

የባሕሩንም ወለል ይሸፍናል።

31እርሱ ሕዝብን የሚያስተዳድረው፣36፥31 ወይም፣ የሚያስተዳድረው ምግብንም አትረፍርፎ የሚሰጣቸው

በዚህ መንገድ ነው።

32እጆቹን በመብረቅ ይሞላቸዋል፤

ዒላማውንም እንዲመታ ያዝዘዋል።

33ነጐድጓዱ ውሽንፍር እንደሚከተለው ያመለክታል፤

ከብቶችም እንኳ መምጣቱን ይጠቍማሉ።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 36:1-33

Elihu Atukuza Wema Wa Mungu

1Elihu akaendelea kusema:

2“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha

kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.

336:3 Ay 4:17; 8:3Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,

nami nitamhesabia haki Muumba wangu.

436:4 Ay 6:28; 13:6; 37:5, 16, 23; 32:17Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo;

mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.

536:5 Za 31:22; 69:33; Hes 23:19; Rum 11:29“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu;

ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.

636:6 Ay 8:22; 4:10Hawaachi waovu waendelee kuishi,

bali huwapa walioteswa haki yao.

736:7 Za 34:15; 113:8; Mt 6:18; Isa 22:23Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki;

huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme

na kuwatukuza milele.

836:8 2Sam 3:34; 2Fal 23:33Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo,

wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,

936:9 Ay 15:25huwaonyesha yale waliyoyatenda,

kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.

1036:10 Ay 33:16; 2Fal 17:13; Ay 5:17Huwafanya wao kusikia maonyo,

na huwaagiza kutubu uovu wao.

1136:11 Kut 28:1; Hag 1:12; Isa 1; 19Kama wakitii na kumtumikia,

wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio,

na miaka yao katika utoshelevu.

1236:12 Law 26:38; Ay 15:22; 4:21; Efe 4:18Lakini wasiposikiliza,

wataangamia kwa upanga,

nao watakufa pasipo maarifa.

1336:13 Ay 15:12; Rum 2:5; Ay 5:2; 4:17; Amo 4:11“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki;

hata anapowafunga, hawamwombi msaada.

1436:14 Kum 23:17Wanakufa wangali vijana,

miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

1536:15 Ay 5:15; 2Kor 12:10; Ay 33:16; 34:33Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao,

na kuzungumza nao katika dhiki zao.

1636:16 Hos 2:14; Za 23:5; 78:19“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki,

ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi,

hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.

1736:17 Ay 20:29; 22:11Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu;

hukumu na haki vimekukamata.

1836:18 Kut 23:8; Amo 5:12; Ay 34:33Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri;

usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.

1936:19 Za 49:6; Yer 9:23Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi

vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?

2036:20 Ay 34:20-25Usiutamani usiku uje,

ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.

2136:21 Ay 34:33; Za 66:18; Ebr 11:25Jihadhari usigeukie uovu,

ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.

2236:22 Isa 40:13; Rum 11:34“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake.

Ni nani aliye mwalimu kama yeye?

2336:23 Ay 34:10, 13; Rum 11:33; Mwa 18:25; Kum 32:4Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake,

au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?

2436:24 1Nya 16:24; Za 35:27; 59:16; Ufu 15:3Kumbuka kuzitukuza kazi zake,

ambazo watu wamezisifu katika wimbo.

2536:25 Rum 1:20Wanadamu wote wameiona;

watu wanaikazia macho kwa mbali.

2636:26 1Kor 13:12; Mwa 21:33; Ebr 1:12Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu,

kupita ufahamu wetu!

Hesabu ya miaka yake haitafutiki.

2736:27 2Sam 1:21; Za 147:8“Yeye huvuta juu matone ya maji,

ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;

2836:28 Ay 22:11; Mt 5:45mawingu huangusha chini maji yake,

nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.

2936:29 Mit 8:28; Isa 40:22Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu,

jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.

3036:30 Kut 19:16; Yer 10:13; Hab 3:11; Isa 51:10; Za 18:12, 14; 97:4Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka,

naye huvifunika vilindi vya bahari.

3136:31 1Fal 17:1; Amo 4:7-8; Isa 30:23; Mdo 14:17Hivi ndivyo atawalavyo mataifa,

na kuwapa chakula kwa wingi.

3236:32 Ay 28:24; Za 18:14Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi,

na kuuagiza kulenga shabaha yake.

33Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja;

hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.36:33 Au: hutangaza kuja kwake.