ኢዮብ 27 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኢዮብ 27:1-23

1ኢዮብም እንዲህ ሲል ንግግሩን ቀጠለ፤

2“ፍትሕ የነሣኝ ሕያው እግዚአብሔርን!

ነፍሴንም መራራ ያደረጋት፣ ሁሉን ቻይ አምላክን!

3በውስጤ የሕይወት እስትንፋስ፣

በአፍንጫዬም ውስጥ የእግዚአብሔር መንፈስ እስካለ ድረስ፣

4ከንፈሬ ኀጢአትን አትናገርም፤

አንደበቴም ሽንገላ አይወጣውም።

5እናንተን እንደ ቅኖች መቍጠር፣

የማላደርገው ነገር ነው፤ ጨዋነቴንም እስክሞት ድረስ አልጥልም።

6ጽድቄን አጥብቄ እይዛለሁ፤ አልለቀውምም፤

በዘመኔም ሁሉ ኅሊናዬ አይወቅሠኝም።

7“ጠላቴ እንደ በደለኛ፣

ባላንጣዬም እንደ ክፉ ይሁን።

8እግዚአብሔር ሲያስወግደው፣

ነፍሱንም ሲወስድበት ዐመፀኛ ምን ተስፋ አለው?

9በውኑ መከራ በገጠመው ጊዜ፣

እግዚአብሔር ጩኸቱን ይሰማልን?

10ሁሉን በሚችል አምላክ ደስ ይለዋልን?

ዘወትርስ እግዚአብሔርን ይጠራልን?

11“ስለ እግዚአብሔር ክንድ አስተምራችኋለሁ፤

የሁሉን ቻዩንም አምላክ ዕቅድ አልሸሽግም።

12ሁላችሁ ይህን አይታችኋል፤

ታዲያ፣ ይህ ከንቱ ንግግር ምንድን ነው?

13“እግዚአብሔር ለክፉው የመደበው ዕድል ፈንታ፣

ግፈኛም ሁሉን ከሚችል አምላክ የሚቀበለው ቅርስ ይህ ነው፦

14ልጆቹ የቱንም ያህል ቢበዙም ለሰይፍ ይዳረጋሉ፤

ዘሩም ጠግቦ አያድርም።

15የተረፉለትም በመቅሠፍት ዐልቀው ይቀበራሉ፤

መበለቶቻቸውም አያለቅሱላቸውም።

16ብርን እንደ ዐፈር ቢከምር፣

ልብስንም እንደ ሸክላ ጭቃ ቢያከማች፣

17እርሱ ያከማቸውን ጻድቃን ይለብሱታል፤

ብሩንም ንጹሓን ይከፋፈሉታል።

18የሚሠራው ቤት እንደ ሸረሪት ድር፣

እህል ጠባቂም እንደ ቀለሰው መጠለያ ነው።

19ሀብታም ሆኖ ይተኛል፤ ዘለቄታ ግን የለውም፤

ዐይኑን በገለጠ ጊዜ ሀብቱ ሁሉ በቦታው የለም።

20ድንጋጤ እንደ ጐርፍ ድንገት ያጥለቀልቀዋል፤

ዐውሎ ነፋስም በሌሊት ይዞት ይሄዳል።

21የምሥራቅ ነፋስ ይወስደዋል፤ እርሱም አይገኝም፤

ከስፍራውም ይጠርገዋል።

22ከነፋሱ ብርታት ለማምለጥ ይሮጣል፤

ነገር ግን እየተወረወረ ያለ ርኅራኄ ይደርስበታል፤

23እጁንም እያጨበጨበ ያሾፍበታል፤

በፉጨትም ከስፍራው ያሽቀነጥረዋል።”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 27:1-23

Hotuba Ya Mwisho Ya Ayubu

Ayubu Anadumisha Uadilifu Wake

127:1 Ay 29:1Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

227:2 Ay 9:18; 34:5; Isa 45:9; 1Sam 1:10“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu,

Mwenyezi ambaye amenifanya

nionje uchungu wa nafsi,

327:3 Mwa 2:7; Za 144:4kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu,

nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,

427:4 Ay 6:28; 12:16; 16:17midomo yangu haitanena uovu,

wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.

527:5 Ay 2:9; 10:7; 32:2Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;

hadi nife, sitakana uadilifu wangu.

627:6 Ay 29:14; Za 119:121; Isa 59:17; 61:10; Rum 2:15Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha;

dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.

7“Watesi wangu wawe kama waovu,

nao adui zangu wawe kama wasio haki!

827:8 Ay 8:13; Hes 16:22; Lk 12:20; Mt 16:26Kwa maana mtu asiyemcha Mungu

analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali,

Mungu anapouondoa uhai wake?

927:9 Zek 7:13; Mik 3:4; 1Sam 8:18Je, Mungu husikiliza kilio chake,

shida zimjiapo?

1027:10 Ay 22:26Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?

Je, atamwita Mungu nyakati zote?

1127:11 Ay 36:23; 27:13“Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu;

njia za Mwenyezi sitazificha.

12Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.

Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?

1327:13 Ay 15:20; 16:19“Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu,

urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi:

1427:14 Mao 2:22; Es 9:10; Hos 9:13; Ay 20:10; 2Fal 10:6-10Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani,

fungu lao ni kuuawa kwa upanga;

wazao wake hawatakuwa kamwe

na chakula cha kuwatosha.

1527:15 Za 78:64Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao,

nao wajane wao hawatawaombolezea.

1627:16 Zek 9:3Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi,

na mavazi kama malundo ya udongo wa mfinyanzi,

1727:17 Mit 13:22; Mhu 2:26yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa,

naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake.

1827:18 Ay 8:14; Isa 1:8; 24:20; Mao 2:6Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui,

kama kibanda alichotengeneza mlinzi.

1927:19 Ay 3:13; Hes 20:26Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho;

afunguapo macho yake, yote yametoweka.

2027:20 Ay 15:21; 20:8Vitisho humjia kama mafuriko;

dhoruba humkumba ghafula usiku.

2127:21 Ay 38:24; Yer 13:24; Ay 30:22; 7:10; Yer 22:22Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka;

humzoa kutoka mahali pake.

2227:22 Yer 13:14; Eze 5:11; Ay 11:20Humvurumisha bila huruma,

huku akikimbia kasi kukwepa nguvu zake.

2327:23 Ay 7:10; 18:18Upepo humpigia makofi kwa dharau,

na kumfukuza atoke mahali pake.