ኢዮብ 13 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኢዮብ 13:1-28

1“ይህን ሁሉ ዐይኔ አይቷል፤

ጆሮዬም ሰምቶ አስተውያለሁ፤

2እናንተ የምታውቁትን፣ እኔም ዐውቃለሁ፤

ከእናንተ የማንስ አይደለሁም።

3ነገር ግን ሁሉን ከሚችል አምላክ ጋር መነጋገር እፈልጋለሁ፤

ከእግዚአብሔርም ጋር መዋቀሥ እሻለሁ።

4እናንተ ግን፣ በሐሰት የምትለብጡ ናችሁ፤

ሁላችሁ የማትረቡ ሐኪሞች ሆናችኋል።

5ምነው ዝም ብትሉ!

ያ ከጥበብ ይቈጠርላችሁ ነበር።

6እንግዲህ ክርክሬን ስሙ፤

የከንፈሬንም አቤቱታ አድምጡ።

7ለእግዚአብሔር ብላችሁ በክፋት ትናገራላችሁን?

ስለ እርሱስ በማታለል ታወራላችሁን?

8ለእርሱ ታደላላችሁን?

ለእግዚአብሔር ጥብቅና ልትቆሙ ነውን?

9እርሱ ቢመረምራችሁ መልካም ነገር ይገኝባችኋልን?

ሰውን እንደምታታልሉ፣ ልታታልሉት ትችላላችሁን?

10በስውር አድልዎ ብታደርጉ፣

በርግጥ እርሱ ይገሥጻችኋል።

11ግርማው አያስደነግጣችሁምን?

ክብሩስ አያስፈራችሁምን?

12ምሳሌዎቻችሁ የዐመድ ምሳሌዎች ናቸው፣

መከላከያችሁም የጭቃ ምሽግ ነው።

13“ዝም በሉ፤ እኔ ልናገር፤

የመጣው ይምጣብኝ።

14ሥጋዬን በጥርሴ፣

ሕይወቴንም በእጄ ለምን እይዛለሁ?

15ቢገድለኝም እንኳ በእርሱ ተስፋ አደርጋለሁ፤

ስለ መንገዴም ፊት ለፊት እከራከረዋለሁ።13፥15 ወይም በርግጥ እርሱ ይገድለኛል፤ ተስፋ የለኝም፤ ይሁን እንጂ

16ኀጢአተኛ በእርሱ ፊት መቅረብ ስለማይችል፣

ይህ ድፍረቴ ለመዳኔ ይሆናል።

17ቃሌን በጥንቃቄ አድምጡ፤

እኔ የምለውንም ጆሯችሁ በሚገባ ይስማ፤

18እንግዲህ ጕዳዬን ይዤ ቀርቤአለሁ፤

እንደሚፈርድልኝም ዐውቃለሁ።

19ሊከስሰኝ የሚችል አለ?

ካለም፣ ዝም ብዬ ሞቴን እጠብቃለሁ።

20“አምላክ ሆይ እነዚህን ሁለት ነገሮች ብቻ ስጠኝ፣

ያን ጊዜ ከፊትህ አልሰወርም፤

21እጅህን ከእኔ ላይ አንሣ፤

በግርማህም አታስፈራራኝ፤

22ከዚያ በኋላ ጥራኝ፤ እኔም እመልስልሃለሁ፤

ወይም እኔ ልናገር፤ አንተ መልስልኝ።

23በደሌና ኀጢአቴ ምን ያህል ነው?

መተላለፌንና ኀጢአቴን አስታውቀኝ።

24ፊትህን ለምን ትሰውራለህ?

እንደ ጠላትህስ ለምን ትቈጥረኛለህ?

25ነፋስ ያረገፈውን ቅጠል ታስጨንቃለህን?

የደረቀውንስ እብቅ ታሳድዳለህን?

26መራራ ነገር ትጽፍብኛለህ፤

የወጣትነቴንም ኀጢአት ታወርሰኛለህ።

27እግሬን በእግር ግንድ ታጣብቃለህ፤

ውስጥ እግሬም ላይ ምልክት አድርገህ፣

ዱካዬን አጥብቀህ ትከታተላለህ።

28“እንደ በሰበሰ ግንድ፣

ብል እንደ በላው ልብስ፣ ሕይወት እያደር ማለቅ ነው።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 13:1-28

113:1 Ay 9:24“Macho yangu yameona hili lote,

masikio yangu yamesikia na kulielewa.

213:2 Ay 12:3Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;

mimi si mtu duni kuliko ninyi.

313:3 Ay 5:8; 23:3-4; 5:17; 40:2Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi

na kuhojiana shauri langu na Mungu.

413:4 Isa 9:15; Yer 23:32; Za 119:69; Yer 8:22; Ay 6:15Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;

ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!

513:5 Mit 17:28; Amo 5:13; Ay 13:13; Amu 18:19; Mhu 5:3; Yak 1:19Laiti wote mngenyamaza kimya!

Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

613:6 Ay 33:1; 36:4Sikieni sasa hoja yangu;

sikilizeni kusihi kwangu.

713:7 Ay 16:17; 36:4; 17:5; Rum 3:5-8Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?

Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

813:8 Law 19:15; Mit 24:23Mtamwonyesha upendeleo?

Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?

913:9 Ay 12:16; 9:3; Gal 6:7Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?

Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?

1013:10 Law 19:15; 2Nya 19:7Hakika angewakemea

kama mkiwapendelea watu kwa siri.

1113:11 Ay 31:23; Kut 3:6Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?

Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

1213:12 Neh 4:2-3Maneno yenu ni mithali za majivu;

utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

1313:13 Ay 13:5; 7:11; 9:21“Nyamazeni kimya nipate kusema;

kisha na yanipate yatakayonipata.

1413:14 Amu 9:17; Za 119:109Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari

na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

1513:15 Za 27:1; Dan 3:28; Ay 5:8; 27:5; Mit 14:32; Rum 8:38-39Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;

hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.

1613:16 Hos 14:4; Flp 1:19; Isa 12:1-2Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,

kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu

atakayethubutu kuja mbele yake!

1713:17 Ay 21:2Sikilizeni maneno yangu kwa makini;

nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.

1813:18 Ay 13:3; 23:4; 37:19; 2:3; 9:21Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,

ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.

1913:19 Isa 50:8; Rum 8:33; Ay 3:13; 40:4; 9:15Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?

Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.

20“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,

nami sitajificha uso wako:

2113:21 Za 39:10; Ebr 10:31; Kut 9:3; Ay 6:4Ondoa mkono wako uwe mbali nami,

nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.

2213:22 Ay 9:35; 14:15Niite kwenye shauri nami nitajibu,

au niache niseme, nawe upate kujibu.

2313:23 1Sam 26:18; Ay 7:21; 9:21; 14:17; 33:9Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?

Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.

2413:24 Isa 8:17; Za 88:14-15; Yer 30:14Kwa nini kuuficha uso wako

na kunihesabu mimi kuwa adui yako?

2513:25 Law 26:36; Isa 43:17; Hos 13:3Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?

Je, utayasaka makapi makavu?

2613:26 Ay 21:23; Za 25:7Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu

na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

2713:27 Mwa 40:15; Mdo 16:24Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.

Unazichunga kwa makini njia zangu zote

kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.

2813:28 Hos 5:12; Yak 5:2“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,

kama vazi lililoliwa na nondo.