ከጥበብ የሚገኝ በረከት
1ልጄ ሆይ፤ ቃሌን ብትቀበል፣
ትእዛዜንም በልብህ ብታኖር፣
2ጆሮህን ወደ ጥበብ ብታቀና፣
ልብህንም ወደ ማስተዋል ብትመልስ፣
3እንዲሁም የመለየት ጥበብን ብትማጠን፣
ድምፅህን ከፍ አድርገህ ማስተዋልን ብትጣራ፣
4እርሷንም እንደ ብር ብትፈልጋት፣
እንደ ተሸሸገ ሀብት አጥብቀህ ብትሻት፣
5በዚያን ጊዜ ፈሪሀ እግዚአብሔርን ትረዳለህ፤
አምላክንም ማወቅ ታገኛለህ።
6እግዚአብሔር ጥበብን ይሰጣልና፤
ከአንደበቱም ዕውቀትና ማስተዋል ይወጣል።
7እርሱ ለቅኖች ድልን ያከማቻል፤
ያለ ነቀፋ ለሚሄዱትም ጋሻ ይሆናቸዋል፤
8የፍትሕን መንገድ ይጠብቃል፤
የታማኞቹንም አካሄድ ያጸናል።
9በዚያን ጊዜ ጽድቅን፣ ፍትሕን፣ ሚዛናዊነትን፣
መልካሙንም መንገድ ሁሉ ትገነዘባለህ፤
10ጥበብ ልብህ ውስጥ ትገባለችና፤
ዕውቀትም ነፍስህን ደስ ታሰኛለች፤
11የመለየት ችሎታ ይጋርድሃል፤
ማስተዋልም ይጠብቅሃል።
12ጥበብ ንግግራቸው ጠማማ ከሆነ ሰዎች፣
ከክፉዎችም መንገድ ታድንሃለች፤
13እነዚህም በጨለማ መንገድ ለመሄድ፣
ቀናውን ጐዳና የሚተዉ ናቸው፤
14ክፉ በመሥራት ደስ የሚላቸው፣
በክፋት ጐዳና ሐሤት የሚያደርጉ፣
15መንገዳቸው ጠማማ፣
በአካሄዳቸው ጠመዝማዞች ናቸው።
16ከአመንዝራ ሴትም ትጠብቅሃለች፤
በአንደበቷም ከምታታልል ዘልዛላ ታድንሃለች፤
17ይህችም የልጅነት ባሏን የተወች፣
በአምላኳ ፊት የገባችውን ኪዳን2፥17 ወይም የአምላኳን ኪዳን ያቃለለች ናት።
18ቤቷ ወደ ሞት ያደርሳል፤
መንገዷም ወደ መናፍስተ ሙታን ያመራል።
19ወደ እርሷ የሚገባ ማንም አይመለስም፤
የሕይወትንም መንገድ አያገኝም።
20አንተም በደጋግ ሰዎች ጐዳና ትሄዳለህ፤
የጻድቃንንም መንገድ ይዘህ ትጓዛለህ።
21ቅኖች በምድሪቱ ይቀመጣሉና፤
ነቀፋ የሌለባቸውም በእርሷ ላይ ጸንተው ይኖራሉ።
22ክፉዎች ግን ከምድሪቱ ይወገዳሉ፤
ታማኝነት የጐደላቸውም ከእርሷ ይነቀላሉ።
Faida Za Hekima
12:1 Mit 1:8Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu
na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
22:2 Mit 22:17kutega sikio lako kwenye hekima
na kuweka moyo wako katika ufahamu,
32:3 Yak 1:5na kama ukiita busara
na kuita kwa sauti ufahamu,
42:4 Ay 3:21; Mt 13:44; 6:19-21na kama utaitafuta kama fedha
na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
52:5 Kum 4:6ndipo utakapoelewa kumcha Bwana
na kupata maarifa ya Mungu.
62:6 Ay 12:13; Lk 21:15; Yak 1:5Kwa maana Bwana hutoa hekima,
na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
72:7 Mwa 6:9; 15:1; Mit 30:5-6; Za 84:11Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,
yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
82:8 1Sam 2:9; Za 18:25kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki
na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
92:9 Kum 1:16Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki
na sawa: yaani kila njia nzuri.
102:10 Mit 14:33Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,
nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
112:11 Mit 4:6Busara itakuhifadhi
na ufahamu utakulinda.
122:12 Mit 2:16; 3:13-18; 4:5Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,
kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
132:13 Mit 4:19; Yn 3:19; Efe 4:18wale waachao mapito yaliyonyooka
wakatembea katika njia za giza,
142:14 Mit 15:21; Yer 11:15wale wapendao kutenda mabaya
na kufurahia upotovu wa ubaya,
152:15 Za 125:5; Mit 21:8ambao mapito yao yamepotoka
na ambao ni wapotovu katika njia zao.
162:16 Mit 6:20-29; 7:5-27Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,
kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno
ya kushawishi kutenda ubaya,
172:17 Mal 2:14; Mwa 2:24aliyemwacha mwenzi wa ujana wake
na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
182:18 Mit 5:5; 7:27; 9:18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo
na mapito yake kwenye roho za waliokufa.
192:19 Mit 5:8; Mhu 7:26; Ebr 13:4Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,
au kufikia mapito ya uzima.
202:20 Ebr 6:12Hivyo utatembea katika njia za watu wema
na kushikamana na mapito ya wenye haki.
212:21 Za 37:29Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,
nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
222:22 Ay 18:17; Za 37:38; Kum 29:28Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,
nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.