መዝሙር 96 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 96:1-13

መዝሙር 96

እግዚአብሔር፤ ንጉሥም ዳኛም

96፥1-13 ተጓ ምብ – 1ዜና 16፥23-33

1ለእግዚአብሔር አዲስ ዝማሬ ዘምሩ፤

ምድር ሁሉ፤ ለእግዚአብሔር ዘምሩ።

2ለእግዚአብሔር ዘምሩ፤ ስሙንም ባርኩ፤

ማዳኑንም ነጋ ጠባ አውሩ።

3ክብሩን በሕዝቦች መካከል፣

ድንቅ ሥራውንም በሰዎች ሁሉ ፊት ተናገሩ።

4እግዚአብሔር ታላቅ ነውና፤ ውዳሴም የሚገባው ነው፤

ከአማልክትም ሁሉ በላይ ሊፈራ ይገባዋል።

5የሕዝብ አማልክት ሁሉ ጣዖታት ናቸው፤

እግዚአብሔር ግን ሰማያትን ሠራ።

6ክብርና ግርማ በፊቱ ናቸው፤

ብርታትና ውበትም በመቅደሱ ውስጥ አሉ።

7የሕዝቦች ወገኖች ሆይ፤ ለእግዚአብሔር ስጡ፤

ክብርንና ብርታትን ለእግዚአብሔር ስጡ።

8ለስሙ የሚገባ ክብርን ለእግዚአብሔር ስጡ፤

ቍርባንን ይዛችሁ ወደ አደባባዩ ግቡ።

9በተቀደሰ ውበት ለእግዚአብሔር ስገዱ፤

ምድር ሁሉ፤ በፊቱ ተንቀጥቀጡ።

10በሕዝቦች መካከል፣ “እግዚአብሔር ነገሠ” በሉ፤

ዓለም በጽኑ ተመሥርታለች፤ አትናወጥም፤

እርሱ ለሕዝቦች በእኩልነት ይፈርዳል።

11ሰማያት ደስ ይበላቸው፤ ምድርም ሐሤት ታድርግ፤

ባሕርና በውስጧ ያለው ሁሉ ያስተጋባ፤

12መስኩና በላዩ ያለው ሁሉ ይፈንጥዝ፤

ያን ጊዜ የዱር ዛፎች ሁሉ በደስታ ይዘምራሉ፤

13እርሱ ይመጣልና በእግዚአብሔር ፊት ይዘምራሉ፤

በምድር ላይ ሊፈርድ ይመጣል፤

በዓለም ላይ በጽድቅ፣

በሕዝቦችም ላይ በእውነት ይበይናል።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 96:1-13

Zaburi 96

Mungu Mfalme Mkuu

(1 Nyakati 16:23-33)

196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;

mwimbieni Bwana dunia yote.

296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;

tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

lakini Bwana aliziumba mbingu.

696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;

nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

leteni sadaka na mje katika nyua zake.

996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;

dunia yote na itetemeke mbele zake.

1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”

Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

atawahukumu watu kwa uadilifu.

1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,

anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu dunia kwa haki,

na mataifa katika kweli yake.