መዝሙር 88 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 88:1-18

መዝሙር 88

ሰቈቃ

ማሕሌት፤ የቆሬ ልጆች መዝሙር፤ ለመዘምራን አለቃ፤ በማኸላት የሚዘመር፤ የይዝራኤላዊው የኤማን ትምህርት።

1አዳኜ የሆንህ አምላክ እግዚአብሔር ሆይ፤

በቀንና በሌሊት በፊትህ እጮኻለሁ።

2ጸሎቴ በፊትህ ትድረስ፤

ጆሮህንም ወደ ጩኸቴ አዘንብል፤

3ነፍሴ በመከራ ተሞልታለችና፤

ሕይወቴም ወደ ሲኦል88፥3 መቃብር የሚሉ አሉ። ተቃርባለች።

4ወደ ጕድጓድ ከሚወርዱት ጋር ተቈጠርሁ፤

ዐቅምም ዐጣሁ።

5በሙታን መካከል እንደ ተጣሉ፣

ተገድለው በመቃብር ውስጥ እንደ ተጋደሙ፣

አንተ ከእንግዲህ እንደማታስባቸው፣

ከእጅህም ወጥተው እንደ ተወገዱ ሆንሁ።

6በዐዘቅት ጥልቀት ውስጥ ጣልኸኝ፤

በጨለማ ጕድጓድ ውስጥ ከተትኸኝ።

7የቍጣህ ክብደት በላዬ ዐርፏል፤

በማዕበልህም ሁሉ አጥለቅልቀኸኛል። ሴላ

8የሚቀርቡኝ ባልንጀሮቼን ከእኔ አራቅህ፤

እንዲጸየፉኝም አደረግህ፤

ተከብቤአለሁ፤ ማምለጥም አልችልም፤

9ዐይኖቼም በሐዘን ፈዘዙ።

እግዚአብሔር ሆይ፤ ዘወትር ወደ አንተ እጣራለሁ፤

እጆቼንም ወደ አንተ ዘረጋሁ።

10ድንቅ ሥራህን ለሙታን ታሳያለህን?

የሙታንስ መናፍስት ተነሥተው ያመሰግኑሃልን? ሴላ

11ምሕረትህ በመቃብር ውስጥ፣

ታማኝነትህስ እንጦርጦስ88፥11 በዕብራይስጥ አባዶን ማለት ነው፤ የመውደሚያ ስፍራ ነው። ይነገራልን?

12ድንቅ ሥራህ በጨለማ ስፍራ፣

ጽድቅህስ በመረሳት ምድር ትታወቃለችን?

13እግዚአብሔር ሆይ፤ እኔ ግን ትረዳኝ ዘንድ ወደ አንተ እጮኻለሁ፤

በጧትም ጸሎቴን በፊትህ አደርሳለሁ።

14እግዚአብሔር ሆይ፤ ለምን ታርቀኛለህ?

ፊትህንስ ከእኔ ለምን ትሰውራለህ?

15እኔ ከልጅነቴ ጀምሮ ችግረኛና ለሞት የተቃረብሁ ነበርሁ፤

መዓትህ አሠቃየኝ፤ ግራም ተጋባሁ።

16ቍጣህ በላዬ ላይ ተከነበለ፤

መዓትህም አጠፋኝ።

17ቀኑን ሙሉ እንደ ጐርፍ ከበቡኝ፤

በአንድነትም ዙሪያዬን ዐጥረው ያዙኝ።

18ወዳጄንና ባልንጀራዬን ከእኔ አራቅህ፤

ጓደኛዬ ጨለማ ብቻ ሆኖ ቀረ።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 88:1-18

Zaburi 88

Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.

188:1 Za 51:14; 3:4; 22:2; Lk 18:7Ee Bwana, Mungu uniokoaye,

nimelia mbele zako usiku na mchana.

2Maombi yangu yafike mbele zako,

utegee kilio changu sikio lako.

388:3 Ay 33:22; Isa 38:10; Za 6:3; 25:17; 107:18Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,

na maisha yangu yanakaribia kaburi.88:3 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

488:4 Za 31:12; 18:1Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,

niko kama mtu asiye na nguvu.

588:5 Za 31:22Nimetengwa pamoja na wafu,

kama waliochinjwa walalao kaburini,

ambao huwakumbuki tena,

ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.

688:6 Za 30:1; 69:15; Mao 3:55; Yon 2:3Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,

katika vina vya giza nene.

788:7 Za 7:11; 42:7Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,

umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

888:8 Ay 3:23; 19:13; Za 31:11; Yer 32:2; 33:1Umenitenga na rafiki zangu wa karibu

na kunifanya chukizo kwao.

Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;

988:9 Za 38:10; 5:2; 143:6; Ay 11:13nuru ya macho yangu

imefifia kwa ajili ya huzuni.

Ee Bwana, ninakuita kila siku,

ninakunyooshea wewe mikono yangu.

1088:10 Za 6:5Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?

Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?

1188:11 Za 30:9Je, upendo wako hutangazwa kaburini,

uaminifu wako katika Uharibifu?88:11 Yaani Abadon.

1288:12 Ay 10:21; 31:12; Mhu 8:10Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,

au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?

1388:13 Za 30:2; 5:3; 55:17; 119:147Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;

asubuhi maombi yangu huja mbele zako.

1488:14 Za 43:2; 13:1Ee Bwana, kwa nini unanikataa

na kunificha uso wako?

1588:15 Dan 9:26; Za 9:12; 129:1; Yer 22:21; Eze 16:22; Hos 2:15; Isa 53:8; Ay 6:4; 18:11; 2Kor 4:8Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;

nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.

1688:16 Za 7:11; Ay 6:4Ghadhabu yako imepita juu yangu;

hofu zako zimeniangamiza.

1788:17 Za 124:4Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;

zimenimeza kabisa.

1888:18 Za 88:8; 38:11; Ay 19:13Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;

giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.