መዝሙር 111 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 111:1-10

መዝሙር 111111 የግጥሙ መሥመሮች እያንዳንዳቸው ከላይ እስከ ታች በተከታታይ በዕብራይስጥ ፊደሎች ቅደም ተከተል የተቀመጡ ናቸው።

ለመለኮቱ ባሕርያት የቀረበ ጸሎት

1ሃሌ ሉያ።

በቅኖች ሸንጎ፣ በጉባኤም መካከል፣

ለእግዚአብሔር በፍጹም ልቤ ምስጋና አቀርባለሁ።

2የእግዚአብሔር ሥራ ታላቅ ናት፤

ደስ የሚሰኙባትም ሁሉ ያውጠነጥኗታል።

3ሥራው ባለ ክብርና ባለ ግርማ ነው፤

ጽድቁም ለዘላለም ጸንቶ ይኖራል።

4ድንቅ ሥራው ሲታወስ እንዲኖር አደረገ፤

እግዚአብሔር ቸር፣ ርኅሩኅም ነው።

5ለሚፈሩት ምግብን ይሰጣል፤

ኪዳኑንም ለዘላለም ያስባል።

6ለሕዝቡ የአሕዛብን ርስት በመስጠት፣

የአሠራሩን ብርታት አሳይቷል።

7የእጁ ሥራ እውነተኛና ቅን ነው፤

ሥርዐቱም ሁሉ የታመነ ነው፤

8ከዘላለም እስከ ለዘላለም የጸና ነው፤

በእውነትና በቅንነትም የተሠራ ነው።

9ለሕዝቡ መዳንን ሰደደ፤

ኪዳኑንም ለዘላለም አዘዘ፤

ስሙም የተቀደሰና የተፈራ ነው።

10እግዚአብሔርን መፍራት የጥበብ መጀመሪያ ነው፤

ትእዛዙንም የሚፈጽሙ ጥሩ ማስተዋል አላቸው፤

ምስጋናውም ለዘላለም ይኖራል።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 111:1-10

Zaburi 111111 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu

1111:1 Za 34:1; 109:30; 115:18; 145:10; 9:1; 89:7; 1:5Msifuni Bwana.

Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote,

katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.

2111:2 Ay 36:24; Za 143:5; 64:9; Ufu 15:3Kazi za Bwana ni kuu,

wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.

3111:3 Za 112:3, 9; 119:142Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,

haki yake hudumu daima.

4111:4 Kum 4:31; Za 86:15Amefanya maajabu yake yakumbukwe,

Bwana ni mwenye neema na huruma.

5111:5 Mwa 1:30; Za 37:25; 103:11; 105:8; Mt 6:26, 31-33; 1Nya 16:15Huwapa chakula wale wanaomcha,

hulikumbuka agano lake milele.

6111:6 Za 64:9; 66:3; 105:44Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,

akiwapa nchi za mataifa mengine.

7111:7 Za 92:4; 19:7; 119:128Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,

mausia yake yote ni ya kuaminika.

8111:8 Za 119:89, 152, 160; Isa 40:8; Mt 5:18Zinadumu milele na milele,

zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.

9111:9 Za 34:22; 103:4; 130:7; 30:4; 99:3; Lk 1:68; 1:49Aliwapa watu wake ukombozi,

aliamuru agano lake milele:

jina lake ni takatifu na la kuogopwa.

10111:10 Ay 23:15; Kum 4:6; Za 19:9; 119:98, 104, 130; 28:6; 89:52Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

wote wanaozifuata amri zake wana busara.

Sifa zake zadumu milele.