መዝሙር 1 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

መዝሙር 1:1-6

አንደኛ መጽሐፍ

ከመዝሙር 1–41

መዝሙር 1

ሁለቱ መንገዶች

1በክፉዎች ምክር የማይሄድ፣

በኀጢአተኞች መንገድ የማይቆም፣

በፌዘኞችም ወንበር የማይቀመጥ፣

ሰው ብፁዕ ነው፤

2ነገር ግን ደስ የሚሰኘው በእግዚአብሔር ሕግ ነው፤

ሕጉንም በቀንና በሌሊት ያሰላስለዋል።

3እርሱም በወራጅ ውሃ ዳር እንደ ተተከለች፣

ፍሬዋን በየወቅቱ እንደምትሰጥ፣

ቅጠሏም እንደማይጠወልግ ዛፍ ነው፤

የሚሠራውም ሁሉ ይከናወንለታል።

4ክፉዎች ግን እንዲህ አይደሉም፤

ነገር ግን ነፋስ ጠራርጎ እንደሚወስደው፣

ገለባ ናቸው።

5ስለዚህ ክፉዎች በፍርድ ፊት፣

ኀጢአተኞችም በጻድቃን ማኅበር መቆም አይችሉም፤

6እግዚአብሔር የጻድቃንን መንገድ ይጠብቃልና፤

የክፉዎች መንገድ ግን ትጠፋለች።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 1:1-6

KITABU CHA KWANZA

(Zaburi 1–41)

Zaburi 1

Furaha Ya Kweli

11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye

haendi katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,

naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa

kando ya vijito vya maji,

ambao huzaa matunda kwa majira yake

na majani yake hayanyauki.

Lolote afanyalo hufanikiwa.

Huzuni Ya Waovu

41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!

Wao ni kama makapi

yapeperushwayo na upepo.

51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,

wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,

bali njia ya waovu itaangamia.