ስለ እስራኤል መሳፍንት የወጣ ሙሾ
1“ስለ እስራኤል መሳፍንት ሙሾ አውጣ፤ 2እንዲህም በል፤
“ ‘እናትህ በአንበሶች መካከል እንዴት
ያለች አንበሳ ነበረች!
በደቦል አንበሶች መካከል ተጋደመች፤
ግልገሎቿንም በዚያ አሳደገች።
3ከግልገሎቿ መካከል አንዱን አሳደገችው፤
እርሱም ብርቱ አንበሳ ሆነ።
ግዳይ መንጠቅን ተማረ፤
ሰዎችንም በላ።
4አሕዛብም ስለ እርሱ ሰሙ፤
በጕድጓዳቸውም ገብቶ ተያዘ፤
እነርሱም በስናግ ጐትተው፣
ወደ ግብፅ ምድር ወሰዱት።
5“ ‘ተስፋዋ መጨናገፉን፣
የጠበቀችውም አለመሳካቱን ባየች ጊዜ፣
ከግልገሎቿ ሌላውን ወስዳ፣
ብርቱ አንበሳ አድርጋ አሳደገችው።
6እርሱም በአንበሶች መካከል ተጐማለለ፤
እየበረታም ሄደ፤
ግዳይ መንጠቅን ተማረ፤
ሰዎችንም በላ።
7ምሽጎቻቸውን አወደመ፤19፥7 ከታርጕም (ሰብዐ ሊቃናት ይመ) ጋር ተመሳሳይ ሲሆን፣ ዕብራይስጡ ግን ምሽጎቻቸውን ያውቃል ይላል።
ከተሞቻቸውንም ባድማ አደረገ፤
ምድሪቷና በውስጧ ያሉት ሁሉ፣
ከግሣቱ የተነሣ ተንቀጠቀጡ።
8በዙሪያው ያሉ አሕዛብ ተነሡበት፤
ከየአገሩም ሁሉ ተሰበሰቡበት፤
መረባቸውን ዘረጉበት፤
በጕድጓዳቸውም ገብቶ ተያዘ።
9በስናግም በመጐተት ቀፎ ውስጥ ከትተው፣
ወደ ባቢሎን ንጉሥ አመጡት፤
ድምፁ በእስራኤል ተራሮች ላይ፣
ዳግመኛ እንዳይሰማ፣
በእስር ቤት አኖሩት።
10“ ‘እናትህ በውሃ አጠገብ የተተከለ፣
በዕርሻ ውስጥ ያለ፣19፥10 ከሁለት የጥንት የዕብራይስጥ ቅጆች ጋር ተመሳሳይ ሲሆን አብዛኛዎቹ የጥንት ቅጆች ግን ያንተ ደም ይላሉ።
ከውሃም ብዛት የተነሣ፣
ያፈራና የተንሰራፋ የወይን ተክል
መሰለች።
11ቅርንጫፎቿ ለበትረ መንግሥት
የሚሆኑ፣ ጠንካሮች ነበሩ፤
ጥቅጥቅ ባሉ ቅጠሎች መካከል፣
በቁመቷና በብዙ ቅርንጫፎቿ፣
ዘለግ ብላ፣ ጐልታ ትታይ ነበር።
12ነገር ግን በቍጣ ተነቀለች፤
ወደ ምድርም ተጣለች።
የምሥራቅ ነፋስ አደረቃት፤
ፍሬዎቿንም አረገፈባት።
ብርቱዎቹ ቅርንጫፎቿ ክው አሉ፤
እሳትም በላቸው።
13አሁን ውሃ በተጠማ ደረቅ ምድር፣
በበረሓ ውስጥ ተተከለች።
14ከዋና ቅርንጫፎቿ19፥14 ወይም ከዋና ቅርንጫፎቿ ሥር ከአንዱ እሳት ወጣ፤
ፍሬዋንም በላ።
በትረ መንግሥት የሚሆን፣
አንድም ጠንካራ ቅርንጫፍ አልተረፈም።’
ይህ ሙሾ ነው፤ ለሐዘን እንጕርጕሮም ይሆናል።”
Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli
119:1 Yer 7:29; 2Nya 24:6; Eze 26:17; Yer 9:10, 20; Eze 27:32; 28:12“Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli 219:2 Hes 23:24; Mwa 49:9na useme:
“ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike
miongoni mwa simba!
Alilala katikati ya wana simba
na kulisha watoto wake.
319:3 Eze 19:6; 2Fal 23:31, 32Alimlea mmoja wa watoto wake,
naye akawa simba mwenye nguvu.
Akajifunza kurarua mawindo
naye akala watu.
419:4 2Nya 36:4; Mao 4:20; Ay 41:2; 2Fal 23:33-34Mataifa wakasikia habari zake,
naye akanaswa katika shimo lao.
Wakamwongoza kwa ndoana
mpaka nchi ya Misri.
519:5 2Fal 23:34; Mwa 49:9“ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,
nayo matarajio yake yametoweka,
akamchukua mwanawe mwingine
na kumfanya simba mwenye nguvu.
619:6 Yer 22:13; 2Nya 36:9; 2Fal 24:9Alizungukazunguka miongoni mwa simba,
kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu.
Akajifunza kurarua mawindo
naye akala watu.
719:7 Eze 29:10; 30:12Akabomoa ngome zao
na kuiharibu miji yao.
Nchi na wote waliokuwa ndani yake
wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
819:8 2Fal 24:2, 11; Mao 4:20; Eze 12:13; 2Fal 24:11Kisha mataifa wakaja dhidi yake
kutoka sehemu zilizomzunguka.
Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake,
naye akanaswa katika shimo lao.
919:9 2Fal 25:7; 24:15; 2Nya 36:6; 2Fal 19:28; Zek 11:3Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu
na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli.
Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake
hakukusikika tena
katika milima ya Israeli.
1019:10 Za 80:8-11; Eze 15:2; Yer 17:8; Mwa 49:22“ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu
katika shamba lako la mizabibu
uliopandwa kando ya maji,
ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi
kwa sababu ya wingi wa maji.
1119:11 Eze 31:3; Dan 4:11Matawi yake yalikuwa na nguvu,
yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.
Ulikuwa mrefu kupita miti mingine
katikati ya matawi manene;
ulionekana kwa urahisi
kwa ajili ya urefu wake
na wingi wa matawi yake.
1219:12 Kum 29:28; Eze 17:10; Hos 13:15; Isa 27:11; Eze 28:17; Mwa 41:6Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali
na kutupwa chini.
Upepo wa mashariki uliufanya usinyae,
matunda yake yakapukutika,
matawi yake yenye nguvu yakanyauka
na moto ukayateketeza.
1319:13 Eze 20:35; Hos 2:14; 2:3Sasa umepandwa jangwani
katika nchi kame na ya kiu.
1419:14 Amu 9:15; Eze 20:47; 15:4Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa
na kuteketeza matunda yake.
Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake
lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’
Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”