Lukas 3 – LB & NEN

En Levende Bok

Lukas 3:1-38

Døperen Johannes rydder vei for Jesus

1Tiden var kommet til det femtende regjeringsåret for den romerske keiseren Tiberius. Pontius Pilatus var landshøvding i Judea, Herodes var landsfyrste over Galilea, hans bror Filip var landsfyrste i Iturea og Trakonitis, og Lysanias hersket over Abilene. 2Annas og Kaifas var øversteprester.

På denne tiden kom det et budskap fra Gud til Johannes, sønnen til Sakarja, som levde ute i ødemarken. 3Johannes dro til distriktet nær elven Jordan. Over alt underviste han folket om at de kunne få syndene sine tilgitt dersom de tok avstand fra synden, vendte seg om til Gud og lot seg døpe. 4Dette hadde Gud forutsagt i det profeten Jesaja skrev i sin bok:

”En stemme roper i ødemarkent:

’Rydd vei for Herren! Gjør stiene rette for ham!

5Fyll dalene, senk alle fjell og høyder!

Rett ut svingene og jevn ut de grunne og steinete veiene!

6Da skal alle mennesker få se Guds frelse.’ ” 3:6 Se Jesaja 40:3-5.

7Mennesker i stort antall kom nå til Johannes for å bli døpt. Han talte strengt til dem og sa: ”Ormeyngel! Tror dere at dere kan unnslippe Guds kommende dom? 8Nei, først må dere bevise at dere virkelig har vendt dere bort fra synden ved å gjøre det som er rett og riktig. Innbill dere ikke at dere kan slippe bort ved å tenke: ’Vi er trygge, for vi er jøder, og Abraham er vår stamfar.’ Jeg forsikrer dere at det ikke hjelper. Gud kan forvandle disse steinene her til jøder! 9Dommen henger over hodet på dere, øksen har allerede begynt å hugge i trestammen. Hvert tre som ikke bærer god frukt skal bli hogget ned og kastet på ilden!”

10Da spurte folket: ”Hva vil du at vi skal gjøre?”

11Han svarte: ”Den som har to skjorter, skal gi bort den ene til den som ingen har. Og den av dere som har mat, skal gi til dem som er sultne.”

12Til og med tollere3:12 Tollerne var jøder som arbeidet med å ta inn skatt til romerne, og de var foraktet av alle. kom for å bli døpt, og de spurte: ”Hvordan kan vi vise at vi har sluttet å synde?”

13”Gjennom det å være ærlige”, svarte han. ”Krev ikke mer i skatt enn det som de romerske myndighetene har gitt befaling om.”

14”Og vi da, hva skal vi gjøre?” spurte noen soldater.

Johannes svarte: ”Tving ikke til dere penger ved å bruke trusler og vold, men vær fornøyd med den lønnen dere har.”

15Hele folket ventet på at Messias, den lovede kongen, snart skulle komme. Nå spurte de seg om det kunne være Johannes som var oppfyllelsen på det gamle løftet? 16Men Johannes svarte alle: ”Jeg døper dere med vann, men snart kommer en som er større enn meg. Han er så mektig at jeg ikke en gang er verdig til å løse opp remmene på sandalene hans.3:16 Dette var en oppgave for slaver. Han skal døpe dere med Guds Hellige Ånd og ild. 17Det er han som skal dømme verden. Han står ferdig til å skille de onde fra dem som følger Guds vilje, på samme måten som bonden når han skiller agnene fra hveten. Etter at han har renset opp på plassen der de tresker kornet, skal han samle hveten i laden, men agnene skal han brenne opp i en ild som aldri slokner.”

18På mange forskjellige måter formante Johannes folket gjennom budskapet han bar fram.

Herodes setter Johannes i fengsel

19Johannes rettet også sterk kritikk mot Herodes, herskeren i Galilea. Særlig for hans forhold til Herodias, som var kona til broren hans, og for alt det andre onde han gjorde. 20Derfor fikk Herodes seinere satt Johannes i fengsel. På denne måten fikk han lagt enda en ny ond gjerning til den lange listen av misgjerninger han fra før av hadde pådratt seg.

Jesus blir døpt

21Mye folk kom nå til Johannes for å bli døpt. Jesus kom også og lot seg døpe. Da Jesus etter dåpen sto der og ba, åpnet himmelen seg. 22Synlig senket Guds Hellige Ånd seg ned over ham i form av en due, og en stemme fra himmelen sa: ”Du er min elskede Sønn, du er min glede.”

Slektstavlen til Jesus

23-38Jesus var rundt 30 år da han begynte å undervise folket og gjøre mirakler. Han ble ansett for å være sønnen til Josef. Far til Josef, og forfedrenes hans lenger tilbake hadde denne rekkefølgen:

Eli, Mattat, Levi, Melki, Jannai, Josef, Mattatia, Amos, Nahum, Esli, Naggai, Ma`at, Mattatia, Sjimi, Josek, Joda, Johanan, Resa, Serubabel, Sealtiel, Neri, Melki, Addi, Kosam, Elmadam, Er, Josva, Elieser, Jorim, Mattat, Levi, Simeon, Juda, Josef, Jonam, Eljakim, Melea, Manna, Mattata, Natan, David, Isai, Obed, Boas, Salmon, Naksjon, Amminadab, Admin, Arni, Hesron, Peres, Juda, Jakob, Isak, Abraham, Tarah, Nakor, Serug, Re`u, Peleg, Eber, Salah, Kenan, Arpaksad, Sem, Noah, Lamek, Metusalah, Enok, Jered, Mahalael, Kenan, Enosj, Set. Set var sønn til Adam som ble skapt av Gud.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 3:1-38

Yohana Mbatizaji Aanza Kuhubiri

(Mathayo 3:1-12; Marko 1:1-8; Yohana 1:19-28)

13:1 Mt 27:2Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene, 23:2 Yn 18:13; Mdo 4:6; Mt 3:1nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani. 33:3 Mk 3:16; Mal 1:4Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi. 43:4 Isa 40:3-5; Mt 3:3; Mk 1:3; Yn 1:23Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya:

“Sauti ya mtu aliaye nyikani,

‘Itengenezeni njia ya Bwana,

yanyoosheni mapito yake.

5Kila bonde litajazwa,

kila mlima na kilima vitashushwa.

Njia zilizopinda zitanyooshwa,

na zilizoparuza zitasawazishwa.

63:6 Za 98:2; Lk 2:30Nao watu wote watauona

wokovu wa Mungu.’ ”

73:7 Mt 12:34; 23:33; Rum 1:18Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja? 83:8 Isa 51:7; Gal 3:7Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya. 93:9 Mt 3:10Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”

103:10 Mdo 2:37; 16:30Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”

113:11 Isa 58:7; Eze 18:7Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”

123:12 Lk 7:29Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”

133:13 Lk 19:8Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”

143:14 Law 19:11Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?”

Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”

153:15 Mt 3:1; Yn 1:19-20; Mdo 13:25Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.3:15 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. 163:16 Mk 1:4; Yn 1:26, 33; Mdo 11:16Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji.3:16 Tafsiri nyingine zinasema ndani ya maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 173:17 Isa 30:24; Mt 13:30; 25:41Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.” 18Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.

193:19 Mt 14:1Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya, 203:20 Mt 14:3-4Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.

Kubatizwa Kwa Bwana Yesu

(Mathayo 3:13-17; Marko 1:9-11)

213:21 Mt 14:23; Mk 1:35Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka. 223:22 Isa 42:1; Yn 1:32-33; Mt 3:17Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”

Ukoo Wa Bwana Yesu

(Mathayo 1:1-17)

233:23 Mt 4:17; Lk 1:27Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu,

Yosefu alikuwa mwana wa Eli,

24Eli alikuwa mwana wa Mathati,

Mathati alikuwa mwana wa Lawi,

Lawi alikuwa mwana wa Melki,

Melki alikuwa mwana wa Yanai,

Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,

25Yosefu alikuwa mwana wa Matathia,

Matathia alikuwa mwana wa Amosi,

Amosi alikuwa mwana wa Nahumu,

Nahumu alikuwa mwana wa Esli,

Esli alikuwa mwana wa Nagai,

26Nagai alikuwa mwana wa Maathi,

Maathi alikuwa mwana wa Matathia,

Matathia alikuwa mwana wa Semeini,

Semeini alikuwa mwana wa Yoseki,

Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,

273:27 Mt 1:12; 1Nya 3:17Yoda alikuwa mwana wa Yoanani,

Yoanani alikuwa mwana wa Resa,

Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli,

Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli,

Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,

28Neri alikuwa mwana wa Melki,

Melki alikuwa mwana wa Adi,

Adi alikuwa mwana wa Kosamu,

Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu,

Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,

29Eri alikuwa mwana wa Yoshua,

Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri,

Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu,

Yorimu alikuwa mwana wa Mathati,

Mathati alikuwa mwana wa Lawi,

30Lawi alikuwa mwana wa Simeoni,

Simeoni alikuwa mwana wa Yuda,

Yuda alikuwa mwana wa Yosefu,

Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu,

Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu,

Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,

313:31 2Sam 5:14; 1Nya 3:5Melea alikuwa mwana wa Mena,

Mena alikuwa mwana wa Matatha,

Matatha alikuwa mwana wa Nathani,

Nathani alikuwa mwana wa Daudi,

323:32 Rut 4:22; 1Nya 2:10Daudi alikuwa mwana wa Yese,

Yese alikuwa mwana wa Obedi,

Obedi alikuwa mwana wa Boazi,

Boazi alikuwa mwana wa Salmoni,

Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,

333:33 Rut 4:18-22; 1Nya 2:10Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu,

Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu,

Aramu alikuwa mwana wa Hesroni,

Hesroni alikuwa mwana wa Peresi,

Peresi alikuwa mwana wa Yuda,

343:34 Mwa 11:24-26Yuda alikuwa mwana wa Yakobo,

Yakobo alikuwa mwana wa Isaki,

Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu,

Abrahamu alikuwa mwana wa Tera,

Tera alikuwa mwana wa Nahori,

35Nahori alikuwa mwana wa Serugi,

Serugi alikuwa mwana wa Reu,

Reu alikuwa mwana wa Pelegi,

Pelegi alikuwa mwana wa Eberi,

Eberi alikuwa mwana wa Sala,

363:36 Mwa 5:28-32; 11:12Sala alikuwa mwana wa Kenani,

Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi,

Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu,

Shemu alikuwa mwana wa Noa,

Noa alikuwa mwana wa Lameki,

373:37 Mwa 5:12-25Lameki alikuwa mwana wa Methusela,

Methusela alikuwa mwana wa Enoki,

Enoki alikuwa mwana wa Yaredi,

Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli,

Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,

383:38 Mwa 5:19Kenani alikuwa mwana wa Enoshi,

Enoshi alikuwa mwana wa Sethi,

Sethi alikuwa mwana wa Adamu,

Adamu alikuwa mwana wa Mungu.