잠언 25 – KLB & NEN

Korean Living Bible

잠언 25:1-28

솔로몬의 금언

1이것은 유다 왕 히스기야의 신하들이 편집한 솔로몬의 금언이다:

2일을 숨기는 것은 하나님의 영광이며 일을 밝혀내는 것은 왕들의 영광이다.

3하늘이 높고 땅이 깊은 것같이 왕들의 마음도 헤아릴 수가 없다.

4은의 불순물을 제거하라. 그러면 금속 세공업자의 손을 거쳐 쓸 만한 그릇이 나올 것이다.

5왕 앞에서 악한 자를 제거하라. 그러면 그 왕위가 의로 굳게 설 것이다.

6왕 앞에서 잘난 체하며 높은 자리에 서지 말아라.

7높은 자리로 올라오라고 요청받는 것이 대중 앞에서 말석으로 내려가라고 모욕을 당하는 것보다 낫다.

8너는 어떤 일로 너무 성급하게 법정으로 달려가지 말아라. 만일 상대방이 너를 부끄럽게 하면 그때는 어떻게 하겠느냐?

9너는 네 이웃과 다툴 만한 문제가 있거든 두 사람 사이에 조용히 해결하고 남의 비밀을 누설하지 말아라.

10그렇지 않으면 그 말을 듣는 사람이 너를 부끄럽게 할 것이니 네 평판이 좋지 않을 것이다.

11경우에 적합한 말은 은쟁반에 올려 놓은 금사과와 같다.

12지혜로운 사람의 책망은 그것을 듣는 자에게 금귀고리나 순금 장식과 같다.

13충성스러운 사절은 그를 보낸 사람에게 25:13 원문에는 ‘추수하는 날에’무더운 한여름의 시원한 냉수 같아서 자기 상관의 마음을 시원하게 한다.

14선물을 주겠다고 입으로만 떠벌리는 자는 비 없는 구름과 바람 같은 사람이다.

15인내력 있는 설득은 완강한 통치자의 마음도 돌이켜 놓을 수 있으며 부드러운 혀는 뼈도 꺾을 수 있다.

16꿀을 구하면 적당히 먹어라. 너무 많이 먹으면 토하게 된다.

17너는 이웃집에 자주 다니지 말아라. 그렇지 않으면 네 이웃이 너에게 싫증을 느껴 너를 미워할 것이다.

18자기 이웃에 대하여 거짓 증언하는 사람은 방망이와 칼과 뾰족한 화살로 그 이웃을 해치는 사람과 같다.

1925:19 또는 ‘환난 날에’위기에 처한 때에 신실치 못한 자를 신뢰하는 것은 흔들거리는 이로 음식을 씹거나 위골된 발로 걷는 것과 같다.

20마음이 상한 자에게 노래를 부르는 것은 추운 날에 그의 옷을 벗기거나 25:20 또는 ‘소다 위에 초를 부음 같으니라’그의 상처에 소금을 치는 것과 같다.

21네 원수가 굶주리거든 먹을 것을 주고 목말라 하거든 마실 것을 주어라.

22그러면 네 원수는 머리에 숯불을 놓은 것같이 부끄러워 견딜 수 없을 것이며 너는 여호와께 상을 받을 것이다.

23북풍이 비를 일으키는 것같이 험담하는 혀는 분노를 일으킨다.

24다투기 좋아하는 여자와 한집에 사는 것보다 차라리 옥상 한 구석에서 혼자 사는 것이 더 낫다.

25멀리서 온 좋은 소식은 목마른 사람에게 냉수와 같다.

26의로운 사람이 악인에게 굴복하는 것은 우물을 흐리게 하고 샘을 더럽히는 것과 같다.

27꿀을 너무 많이 먹어도 이롭지 못한 것처럼 자신의 명예만을 추구하는 것도 이롭지 못하다.

28자제할 능력이 없는 사람은 성벽이 무너진 무방비 상태의 성과 같다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 25:1-28

Mithali Zaidi Za Solomoni

125:1 1Fal 4:32Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:

225:2 Kum 29:29; Rum 11:33; Mit 10:10-15Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,

bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.

3Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,

ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.

425:4 2Tim 2:21Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,

nako ndani yake kutatokea chombo

cha mfua fedha.

525:5 2Sam 7:13; Mit 20:8; 29:14Ondoa waovu mbele ya mfalme,

nacho kiti chake cha enzi

kitaimarishwa kwa njia ya haki.

6Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,

wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;

725:7 Lk 14:7-10ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”

kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu.

Kile ulichokiona kwa macho yako

825:8 Mit 17:14; Mt 5:25-26usiharakishe kukipeleka mahakamani,

maana utafanya nini mwishoni

kama jirani yako atakuaibisha?

925:9 Mt 5:25; 18:15Kama ukifanya shauri na jirani yako,

usisaliti siri ya mtu mwingine,

10ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha

na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.

1125:11 Mit 15:23; Isa 50:4Neno lisemwalo kwa wakati ufaao

ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu

yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

1225:12 Za 141:5; Mit 15:31Kama vile kipuli cha dhahabu

au pambo la dhahabu safi,

ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima

kwa sikio lisikilizalo.

1325:13 Mit 13:17; 10:26Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno

ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao,

huburudisha roho za bwana zake.

1425:14 Mit 20:6; Yud 12Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua

ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.

1525:15 Mhu 10:4; Mit 15:1; Mwa 32:4; 1Sam 25:24Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,

nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.

1625:16 Mit 25:27Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,

ukila zaidi, utatapika.

17Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,

ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.

1825:18 Za 57:4; Mit 12:18Kama vile rungu au upanga au mshale mkali

ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.

1925:19 Ay 6:14-20; 2Tim 4:16Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,

ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.

2025:20 Dan 6:18; Rum 12:15Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,

au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi,

ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.

2125:21 Kut 23:4; Mt 5:44; Rum 12:20Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;

kama ana kiu, mpe maji anywe.

2225:22 2Sam 16:22; Mt 5:44; Za 18:8Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,

naye Bwana atakupa thawabu.

2325:23 Ay 37:22; Za 105:5Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,

ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.

2425:24 Mit 19:13; 21:9, 19Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.

25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka

ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.

2625:26 Mik 7:8Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au

kisima kilichotiwa taka

ndivyo alivyo mtu mwenye haki

akishiriki na waovu.

2725:27 Mit 27:2; Mt 23:12; Lk 14:11Si vyema kula asali nyingi sana,

wala si heshima

kujitafutia heshima yako mwenyewe.

2825:28 Mit 16:32Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka

ndivyo alivyo mtu

ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.