욥
1그러자 욥이 이렇게 대답하였다.
2“이런 말은 내가 전에 다 들었다. 너 희는 모두 나를 위로하러 온 것이 아니라 오히려 나를 괴롭히려고 온 자들이구나!
3헛된 말을 끝없이 할 작정이냐? 무엇 때문에 그런 말을 하느냐?
4나도 너희처럼 말할 수 있다. 만일 너희가 내 입장에 있다고 하면 나도 얼마든지 말을 지어내어 너희를 괴롭히고 너희를 향해 머리를 흔들 수 있을 것이다.
5하지만 난 그렇게 하지 않겠다. 나 같으면 너희에게 도움이 되는 말을 하여 너희를 위로하고 너희 슬픔을 덜어 주었을 것이다.
6내가 자신을 변명해도 내 슬픔이 그대로 있는데 내가 입을 다문다고 해서 어찌 마음이 편하겠느냐?
7“하나님이시여, 주께서 나를 완전히 지치게 하시고 나의 집안을 황폐하게 하셨습니다.
8주께서 나를 시들게 하여 뼈와 가죽만 남게 하셨으므로 이것이 내 죄를 증거하고 있습니다.
9“하나님은 분노로 나를 쳐서 내 살을 찢고 나를 향해 이를 갈며 증오의 눈으로 나를 보시고
10사람들은 입을 벌려 나를 조롱하며 조소로 내 뺨을 치고 한패가 되어 나를 대적하는구나.
11하나님은 나를 경건치 않은 자들에게 넘겨 주시고 악인의 손에 던져 넣으셨다.
12내가 편안하게 살고 있을 때 그가 나를 꺾고 내 목을 잡아 던져 부수뜨리시며 나를 그의 표적으로 삼으시고
13사방에서 활을 쏘아 사정없이 내 허리를 뚫어 땅에 창자가 쏟아지게 하는구나.
14그가 계속해서 나를 치고 용사처럼 내게 달려드시니
15내가 이렇게 삼베 옷을 입고 티끌 가운데 앉아 슬퍼하는 신세가 되고 말았다.
16내 얼굴은 울어서 붉어 있고 내 눈 언저리에는 죽음의 그늘이 맴돌고 있구나.
17그러나 나는 내 손으로 포학한 일을 한 적이 없으며 나의 기도는 순수하다.
18“땅이여, 내 피를 숨기지 말고 그 피가 나를 위해 계속 부르짖게 해 다오.
19지금 나의 증인이 하늘에 계시고 나의 대변자가 높은 곳에 계신다.
20내 친구들이 나를 조롱하니 내 눈이 하나님께 눈물을 쏟는구나.
21사람이 자기 친구를 위해서 변호하듯 누가 나를 위해 하나님께 변호해 주었으면 좋으련만!
22몇 년이 지나면 나도 돌아오지 못할 길로 갈 것이다.”
Hotuba Ya Tano Ya Ayubu
Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia
1Kisha Ayubu akajibu:
216:2 Ay 6:15; 13:4; Za 69:20“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,
nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
316:3 Ay 6:26; 11:2; 18:2Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?
Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
416:4 Mt 27:29; Yer 18:16; Mao 2:15Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,
kama mngekuwa katika hali yangu;
ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu,
na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
516:5 Ay 29:25; Mwa 37:35Lakini kinywa changu kingewatia moyo;
faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
616:6 Ay 6:3; 7:21“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;
nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
716:7 Amu 8:5; Ay 7:3; 1:19Ee Mungu, hakika umenichakaza;
umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
816:8 Mao 5:17; Ay 10:17; 17:7; 19:20; Za 22:17; 88:9; 6:7Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;
nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
916:9 Ay 12:14; 13:24; Mao 2:16; Mdo 7:54; Hos 6:1; Ay 30:21; 9:5; 18:4; 19:11Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,
na kunisagia meno yake;
adui yangu hunikazia macho yake makali.
1016:10 Za 22:13; Mao 3:30; Mdo 7:57; 23:2; Za 27:3; Mik 5:1Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;
hunipiga shavuni mwangu kwa dharau,
na kuungana pamoja dhidi yangu.
1116:11 Ay 9:24Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,
na kunitupa katika makucha ya waovu.
1216:12 Ay 9:17; 6:4; Mao 3:12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;
amenikamata shingo na kuniponda.
Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
1316:13 Mit 7:23; Mao 3:13wapiga upinde wake wananizunguka.
Bila huruma, huchoma figo zangu,
na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
1416:14 Ay 9:17; 10:3; Yoe 2:7Huniponda tena na tena;
hunishambulia kama shujaa wa vita.
1516:15 Mwa 37:34; Ay 2:8“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu
nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
1616:16 Ay 16:20; 2:7; 17:7; 30:17, 30; Isa 52:14; Za 6:6Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,
macho yangu yamepigwa na giza kuu.
1716:17 Yer 18:11; Yon 3:8Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,
na maombi yangu ni safi.
1816:18 Mwa 4:10; Ay 27:9; Isa 26:21; Za 66:18-19; Ebr 11:4“Ee nchi, usiifunike damu yangu,
nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
1916:19 Mwa 31:50; Rum 1:9; 1The 2:5; Ay 22:12; 19:27; Za 113:5; Isa 33:5Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;
wakili wangu yuko juu.
2016:20 Mao 2:19; Rum 8:34; Yn 15:15; Ay 16:16Mwombezi wangu ni rafiki yangu
macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
2116:21 1Fal 8:45; Za 140:12kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu
kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
2216:22 Ay 10:21; Mhu 12:5“Ni miaka michache tu itapita
kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.