예레미야 45 – KLB & NEN

Korean Living Bible

예레미야 45:1-5

바룩에 대한 하나님의 말씀

1요시야의 아들인 유다의 여호야김왕 4년에 네리야의 아들 바룩이 내

2가 불러 준 모든 말을 책에 기록하였는데 그때 나는 바룩에게 이스라엘의 하나님 여호와께서 이렇게 말씀하신다고 일러 주었다.

3“바룩아, 너는 ‘아, 괴롭다. 여호와께서 나의 고통에 슬픔까지 더하셨으니 내가 탄식하다가 지쳐 평안을 얻지 못하는구나’ 하였다.

4보라, 나 여호와는 온 땅에서 내가 세운 것을 헐고 내가 심은 것을 모조리 뽑아 버리겠다.

5네가 네 자신을 위해서 큰 일을 추구하느냐? 너는 그런 것을 추구하지 말아라. 내가 모든 백성에게 재앙을 내리겠다. 그러나 네가 어디로 가든지 네 목숨만은 살아 남을 것이다. 이것은 나 여호와의 말이다.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 45:1-5

Ujumbe Kwa Baruku

145:1 Yer 32:12; 36:18, 32; Isa 50:4; Yer 51:59; Kut 17:14; Za 40:7; 2Nya 36:5Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule: 2“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku: 345:3 Ay 23:2; Za 69:3; Isa 24:16; 1Kor 9:16; Mk 14:34; Rum 9:2; Ay 6:10; Ebr 4:3; Mt 11:24Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’ ”

445:4 Isa 5:5; Yer 11:17; Kum 30:9; Yer 42:10; 18:7-10; Kum 28:63Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote. 545:5 Mt 6:25-27, 33; Yer 21:9; 32:8; 11:11; 40:2; 2:35; Za 68:20Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’ ”