예레미야 13 – KLB & NEN

Korean Living Bible

예레미야 13:1-27

베띠

1여호와께서 나에게 “너는 가서 베띠를 사서 네 허리에 두르고 그것이 물 에 닿지 않게 하라” 하고 말씀하셨다.

2그래서 나는 여호와의 말씀대로 베띠를 사서 허리에 둘렀다.

3그러나 여호와께서는 다시 나에게 말씀하셨다.

4“너는 그 베띠를 가지고 유프라테스 강가로 가서 그것을 그 곳 바위 틈에 숨겨 두어라.”

5그래서 나는 여호와께서 명령하신 대로 가서 그것을 유프라테스 강가에 감추어 두었다.

6여러 날이 지난 후에 여호와께서 나에게 “너는 유프라테스 강가로 가서 그 베띠를 끄집어내 보아라” 하고 말씀하셨다.

7그래서 내가 유프라테스 강가로 가서 그것을 감추어 둔 곳을 파고 띠를 꺼내 보니 썩어서 못 쓰게 되어 있었다.

8그때 여호와께서 나에게 다시 말씀하셨다.

9“이와 같이 내가 유다의 교만과 예루살렘의 큰 교만을 쓸모없는 것이 되게 하겠다.

10이 악한 백성들이 내 말에 순종할 것을 거절하고 그 마음의 악한 고집대로 행하며 다른 신들을 좇아 섬기고 절하니 그들이 이 띠처럼 아주 쓸모없이 되고 말 것이다.

11띠가 사람의 허리에 붙어 있는 것처럼 내가 이스라엘과 유다 백성을 나에게 꼭 붙어 있게 하여 그들이 내 백성으로서 내 이름을 높이고 찬양하도록 하였으나 그들은 내 말을 듣지 않았다.”

포도주 병

12“너는 그들에게 ‘이스라엘의 하나님 여호와께서 모든 병이 포도주로 찰 것이라고 말씀하셨다’ 하여라. 그러면 그들이 ‘모든 포도주 병이 포도주로 찰 것을 우리가 어찌 모르겠소?’ 하고 대답할 것이다.

13그때 너는 그들에게 이렇게 말하라: 여호와께서 말씀하셨다. ‘내가 이 땅에 사는 모든 사람들, 곧 다윗의 왕위를 계승한 왕들과 제사장들과 예언자들과 예루살렘의 모든 주민들을 잔뜩 취하게 하고

14그들을 서로 충돌하게 할 것이니 아버지와 아들 사이에도 충돌이 있을 것이다. 내가 그들을 불쌍히 여기지 않으며 동정하거나 애석하게 여기지 않고 완전히 없애 버릴 것이다.’ 이것은 나 여호와의 말이다.”

교만에 대한 경고

15너희는 들어라. 귀를 기울여라. 교만하지 말아라.

16그가 흑암을 일으키시기 전, 어두운 산에서 너희가 비틀거리기 전, 너희가 바라던 빛을 그가 캄캄한 흑암으로 바꾸시기 전에 너희는 너희 하나님 여호와께 영광을 돌려라.

17그러나 너희가 듣지 않으면 너희 교만 때문에 나의 심령이 외롭게 흐느낄 것이며 여호와의 양떼가 사로잡힌 것 때문에 내가 눈물을 흘리며 통곡할 것이다.

18여호와께서 나에게 말씀하셨다. “너는 왕과 그의 어머니에게 ‘너희는 높은 자리에서 물러나 앉아라. 너희 영광의 면류관이 떨어졌다’ 하고 말하라.

1913:19 또는 ‘남방의 성읍들이’네겝 지방의 성들이 봉쇄되어 그리로 통과할 자가 없으며 유다 사람들이 포로가 되어 다 잡혀가고 말았다.

20예루살렘아, 너는 눈을 들어 북쪽에서 오는 군대를 보아라. 너에게 맡겼던 양떼 곧 네가 그처럼 자랑하던 양떼는 어디 있느냐?

21너와 동맹을 맺은 자들을 내가 너의 통치자로 세운다면 네가 어떻게 하겠느냐? 해산하는 여인처럼 네가 진통을 겪지 않겠느냐?

22너는 ‘어째서 이런 일이 나에게 일어났는가?’ 하고 말하겠지만 네가 적군에게 수모를 당하고 상처를 입은 것은 네 죄악이 크기 때문이다.

2313:23 원문에는 ‘구스’에티오피아 사람이 그 피부 색깔을 바꿀 수 있으며 표범이 그 반점을 없앨 수 있느냐? 만일 그렇게 할 수 있다면 악을 행하는 데 익숙한 너희도 선을 행할 수 있을 것이다.

24그러므로 내가 너희를 사막의 바람에 날아가는 지푸라기처럼 흩어버릴 것이다.”

25여호와께서 예루살렘을 향하여 다시 말씀하셨다. “이것은 내가 너에게 정한 것이니 네가 반드시 치러야 할 대가이다. 그 이유는 네가 나를 잊어버리고 거짓된 신들을 의지하였기 때문이다.

26그러므로 내가 네 치마를 얼굴까지 들쳐서 네 수치를 드러낼 것이다.

27내가 너의 간음과 음탕한 소리와 산언덕에서 행하는 더럽고 추한 매춘 행위를 다 보았다. 예루살렘아, 너에게 화가 미칠 것이다. 네가 언제나 깨끗하게 되겠느냐?”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 13:1-27

Mkanda Wa Kitani

1Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.” 2Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama Bwana alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.

313:3 Yer 33:1Ndipo neno la Bwana likanijia kwa mara ya pili: 413:4 Mwa 2:14“Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.” 513:5 Kut 40:16Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama Bwana alivyoniamuru.

6Baada ya siku nyingi Bwana akaniambia, “Nenda sasa Frati ukauchukue ule mkanda niliokuambia uufiche huko.” 713:7 Isa 64:6; Yer 24:8; Mao 3:45Hivyo nikaenda Frati na kuuchimbua ule mkanda kutoka pale nilipokuwa nimeuficha, lakini sasa ulikuwa umeharibika na haufai tena kabisa.

8Ndipo neno la Bwana likanijia: 913:9 Law 26:19; Mt 23:12; Lk 1:51“Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Vivyo hivyo ndivyo nitakavyokiharibu kiburi cha Yuda na kiburi kikuu cha Yerusalemu. 1013:10 Mhu 9:3; Yer 16:12; Kum 8:19; 9:14; 22:21; 3:17; Amu 10:13; Eze 15:3Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wafuatao ukaidi wa mioyo yao na kufuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu, watakuwa kama mkanda huu ambao haufai kabisa! 1113:11 Kut 19:5-6; Isa 63:12; 43:21; 65:12; Yer 33:9; 7:26; 32:20Kwa maana kama vile mkanda ufungwavyo kiunoni mwa mtu, ndivyo nilivyojifunga nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda,’ asema Bwana, ‘ili wawe watu wangu kwa ajili ya utukufu wangu, sifa na heshima yangu. Lakini hawajasikiliza.’

Viriba Vya Mvinyo

12“Waambie: ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo.’ Kama wao wakikuambia, ‘Kwani hatujui kwamba kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo?’ 1313:13 Za 60:3; Isa 29:9; Eze 23:32-34; Za 75:8; Yer 25:18; 51:57Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: nitawajaza ulevi wote waishio katika nchi hii, pamoja na wafalme waketio juu ya kiti cha enzi cha Daudi, makuhani, manabii na wale wote waishio Yerusalemu. 1413:14 Isa 9:17; Yer 16:5; Isa 9:19-21; Mao 2:21; Eze 7:4; Zek 11:6Nitawagonganisha kila mmoja na mwenzake, baba na wana wao, asema Bwana. Sitawarehemu wala kuwahurumia ili niache kuwaangamiza.’ ”

Tishio La Kutekwa

15Sikieni na mzingatie,

msiwe na kiburi,

kwa kuwa Bwana amenena.

1613:16 Yos 7:19; Law 26:37; 1Sam 2:9; Isa 59:9; Yer 23:12; Za 82:5Mpeni utukufu Bwana Mungu wenu,

kabla hajaleta giza,

kabla miguu yenu haijajikwaa

juu ya vilima vitakavyotiwa giza.

Mlitarajia nuru,

lakini ataifanya kuwa giza nene

na kuibadili kuwa huzuni kubwa.

1713:17 Yer 14:18; Mal 2:2; Za 80:1; Yer 29:1Lakini kama hamtasikiliza,

nitalia sirini

kwa ajili ya kiburi chenu;

macho yangu yatalia kwa uchungu,

yakitiririka machozi,

kwa sababu kundi la kondoo la Bwana

litachukuliwa mateka.

1813:18 Yer 21:11; Mao 5:16; 2Fal 24:18; 2:19; Eze 16:12Mwambie mfalme na mamaye,

“Shukeni kutoka kwenye viti vyenu vya enzi,

kwa kuwa taji zenu za utukufu

zitaanguka kutoka vichwani mwenu.”

1913:19 Yer 52:30; Law 26:31; Yer 20:4Miji iliyoko Negebu itafungwa,

wala hapatakuwa na mtu wa kuifungua.

Watu wa Yuda wote watapelekwa uhamishoni,

wakichukuliwa kabisa waende mbali.

2013:20 Yer 6:22; 23:2; Hab 1:6Inua macho yako uone

wale wanaokuja kutoka kaskazini.

Liko wapi lile kundi ulilokabidhiwa,

kondoo wale uliojivunia?

2113:21 Za 41:9; Oba 1:7; Yer 4:30; 20:10; 38:22; 4:31Utasema nini Bwana atakapowaweka juu yako

wale ulioungana nao kama marafiki wako maalum?

Je, hutapatwa na utungu kama mwanamke

aliye katika utungu wa kuzaa?

2213:22 Yer 9:2-6; 16:10-12; Nah 3:5-6; 1Fal 9:9; Isa 20:4; Eze 16:37; 23:26Nawe kama ukijiuliza,

“Kwa nini haya yamenitokea?”

Ni kwa sababu ya dhambi zako nyingi

ndipo marinda yako yameraruliwa

na mwili wako umetendewa vibaya.

23Je, Mkushi aweza kubadili ngozi yake

au chui kubadili madoadoa yake?

Vivyo hivyo nawe huwezi kufanya mema

wewe uliyezoea kutenda mabaya.

2413:24 Ay 27:21; 1:19; Law 26:33“Nitawatawanya kama makapi

yapeperushwayo na upepo wa jangwani.

2513:25 Ay 20:29; Mt 24:51; Mik 3:11; Isa 17:10; Za 106:19-21Hii ndiyo kura yako,

fungu nililokuamuria,”

asema Bwana,

“kwa sababu umenisahau mimi

na kuamini miungu ya uongo.

2613:26 Mao 1:6-8; Hos 2:10; Eze 16:37; Nah 3:5Nitayafunua marinda yako mpaka juu ya uso wako

ili aibu yako ionekane:

2713:27 Yer 2:20; Eze 23:29; 6:13; Hos 8:5; Isa 57:7uzinzi wako na kulia kwako kama farasi kulikojaa tamaa,

ukahaba wako usio na aibu!

Nimeyaona matendo yako ya machukizo

juu ya vilima na mashambani.

Ole wako, ee Yerusalemu!

Utaendelea kuwa najisi mpaka lini?”