예레미야애가 3 – KLB & NEN

Korean Living Bible

예레미야애가 3:1-66

형벌과 회개와 희망

1여호와께서 가하시는 분노의 매에 내가 고통당하는 자가 되었구나.

2그가 빛이 아닌 흑암 가운데로 나를 이끌어 걷게 하셨으며

3하루 종일 손을 들어 나를 계속 치셨다.

4그가 내 살과 가죽을 쇠하게 하고 내 뼈를 꺾으셨으며

5고생과 시련의 담으로 나를 가두시고

6죽은 지 오래된 사람처럼 나를 흑암 가운데 묻어 버리셨다.

7그가 나를 포위하여 무거운 쇠사슬을 채웠으니 내가 도망갈 수 없구나.

8내가 부르짖고 도움을 구하여도 그는 내 기도를 거절하시며

9큰 돌을 쌓아 내 길을 막고 내가 돌아서 다니도록 하셨다.

10그는 나에게 숨어서 해칠 자를 기다리는 곰과 사자 같구나.

11그가 길에서 나를 덮쳐 갈기갈기 찢고 그대로 내버려 두었으며

12활을 당겨 나를 과녁으로 삼으셨다.

13여호와께서 그 화살로 내 심장을 꿰뚫었으니

14내가 모든 백성들에게 조롱거리가 되고 온종일 그들의 웃음거리가 되었구나.

15그가 쓴 것으로 내 배를 채우시고 쑥물로 나를 취하게 하셨다.

16그가 자갈로 내 이를 부러뜨리고 나를 재로 덮으셨네.

17내 영혼이 평안을 빼앗겼으니 내가 행복을 잊어버렸구나.

18그래서 나는 말하였다. “내 힘이 쇠약해졌고 여호와에 대한 내 희망이 사라지고 말았다.”

19내가 당하는 쓰라린 고통과 역경을 나는 기억하고 있다.

20내가 이것을 생각하면 낙심도 되지만

21한편으로 생각해 보면 오히려 희망이 있다.

22여호와의 크신 사랑 때문에 우리가 소멸되지 않았으니 그의 자비가 영원하구나.

23이것이 아침마다 새로우니 주는 정말 신실하신 분이십니다.

24내 심령이 말하는구나. “여호와는 3:24 또는 ‘나의 기업이시니’나의 전체이시므로 내 희망을 그에게 두리라.”

25여호와께서는 자기에게 희망을 걸고 자기를 찾는 자에게 은혜를 베푸시니

26여호와의 구원을 조용히 기다리는 것이 좋고

27사람이 젊었을 때 3:27 원문에는 ‘멍에를 메는 것이 좋으니’이런 인내를 배우며 훈련하는 것이 좋다.

28혼자 앉아서 조용히 기다려야 하는 것은 여호와께서 그 고난의 멍에를 메게 하셨음이라.

29입을 티끌에 묻어 버려라. 혹시 희망이 있을지도 모른다.

30뺨을 얻어 맞고 모욕을 당할지라도 그 모든 수치를 참고 견뎌라.

31주께서 사람을 영원히 버리지는 않을 것이다.

32그가 비록 슬픔을 주셔도 그 크신 사랑으로 자비를 베푸시리라.

33주는 사람을 고생시키고 근심하게 하는 것을 기뻐하지 않으신다.

34갇힌 자를 발로 짓밟는 것과

35하나님이 주신 사람의 권리를 박탈하는 것과

36법정에서 재판을 그릇되게 하는 것을 주는 기쁘게 여기지 않으신다.

37여호와의 뜻이 아니면 아무것도 이루어지는 법이 없으니

38화와 복이 전능하신 여호와의 입에서 나오는 것이 아닌가?

39사람이 자기 죄로 벌을 받고 어떻게 원망할 수 있겠는가?

40우리 행위를 살피고 조사하여 여호와께 돌아가자.

41하늘에 계신 하나님을 향하여 마음을 열고 손을 들어 기도하자.

42“여호와여, 우리가 범죄하고 거역한 것을 주는 용서하지 않으셨습니다.

43“주는 분노로 자신을 가리고 우리를 추격하여 무자비하게 죽이셨습니다.

44주께서 분노의 구름으로 가리고 계시니 우리의 기도가 도달하지 못합니다.

45주께서는 우리를 세상의 찌꺼기와 폐물이 되게 하셨습니다.

46“우리의 모든 대적이 우리를 향해 입을 크게 벌리고 조롱하고 있습니다.

47우리가 재앙을 당하고 파멸하여 공포와 위험 가운데서 살고 있습니다.”

48내 백성이 멸망당한 것을 보니 내 눈에서 눈물이 시내처럼 흐르는구나.

49내 눈에서 눈물이 쉬지 않고 끊임없이 흘러내리니

50여호와께서 하늘에서 살피시고 돌아보는 날이 있을 것이다.

51성 안의 모든 여자들에게 일어난 일을 보니 내 마음이 상하는구나.

52이유 없이 나를 미워하는 원수들이 새를 사냥하듯 나를 추격하였다.

53그들이 나를 산 채로 구덩이에 집어 넣고 그 위를 돌로 막았으니

54물이 나를 덮쳤을 때 나는 죽는 줄로 알았다.

55여호와여, 내가 아주 깊은 구덩이에서 주의 이름을 불렀습니다.

56나의 부르짖음과 호소에 귀를 기울여 달라고 내가 주께 기도했을 때 주는 들으시고

57나에게 가까이 오셔서 두려워하지 말라고 하셨습니다.

58여호와여, 주는 내 마음의 원통함을 풀어 주셨고 내 생명을 구해 주셨습니다.

59내가 당한 일을 주께서 보셨으니 나의 억울한 문제를 해결해 주소서.

60주는 내 원수들의 모든 보복과 나를 해하려는 그들의 책략을 다 보셨습니다.

61여호와여, 그들이 나를 모욕하며 나를 해할 음모를 꾸미고 있는 소리를 주께서는 들으셨습니다.

62그들이 나를 치려고 하루 종일 속삭이며 모략을 꾸미고 있습니다.

63주여, 보소서. 그들이 앉든지 서든지 하루 종일 나를 비웃고 있습니다.

64여호와여, 그들이 행한 대로 갚으소서.

65그들의 마음을 굳어지게 하시고 그들에게 저주가 내리게 하소서.

66여호와여, 주의 진노로 그들을 추격하여 지상에서 아주 없애 버리소서.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Maombolezo 3:1-66

3 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 13:1 Ay 19:21; Za 88:7; Yer 15:17-18Mimi ndiye mtu aliyeona mateso

kwa fimbo ya ghadhabu yake.

23:2 Ay 19:8; Za 82:5; Yer 4:23Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee

gizani wala si katika nuru;

33:3 Isa 5:25; Za 38:2hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu

tena na tena, mchana kutwa.

43:4 Za 51:8; Isa 38:13; Yer 50:17; Ay 30:30; Mao 4:8Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa

na ameivunja mifupa yangu.

53:5 Yer 23:15Amenizingira na kunizunguka

kwa uchungu na taabu.

63:6 Isa 59:10; Za 143:3; 88:5-6Amenifanya niishi gizani

kama wale waliokufa.

73:7 Ay 3:23; Yer 40:4Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,

amenifunga kwa minyororo mizito.

83:8 Kum 1:45; Ay 30:20; Za 22:2; 5:2Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,

anakataa kupokea maombi yangu.

93:9 Ay 9:24; Hos 2:6; Isa 63:17Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,

amepotosha njia zangu.

103:10 Ay 10:16; Hos 13:8; Amo 5:18-19Kama dubu aviziaye,

kama simba mafichoni,

11ameniburuta kutoka njia,

akanirarua na kuniacha bila msaada.

123:12 Mao 2:4; Ay 16:12; Za 38:2; 34:2Amevuta upinde wake

na kunifanya mimi niwe lengo

kwa ajili ya mishale yake.

13Alinichoma moyo wangu kwa mishale

iliyotoka kwenye podo lake.

143:14 Mwa 38:23; Za 22:6-7; Ay 30:9; Neh 4:2-4; Mt 27:29-31; Yer 20:7Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,

wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa.

153:15 Yer 9:15Amenijaza kwa majani machungu

na kunishibisha kwa nyongo.

163:16 Mit 20:17Amevunja meno yangu kwa changarawe,

amenikanyagia mavumbini.

17Amani yangu imeondolewa,

nimesahau kufanikiwa ni nini.

183:18 Ay 17:15; Za 31:22Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka

na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa Bwana.”

19Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,

uchungu na nyongo.

203:20 Za 42:5; 43:5Ninayakumbuka vyema,

nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu.

21Hata hivyo najikumbusha neno hili

na kwa hiyo ninalo tumaini.

223:22 Za 130:7; Mt 3:6; Neh 9:31; Ay 34:15; Za 130:1; Hos 11:9; Za 78:38; 57:10; Mal 3:6Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,

kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.

233:23 Kut 34:6; Isa 33:2; Ebr 10:23Ni mpya kila asubuhi,

uaminifu wako ni mkuu.

243:24 Za 16:5Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,

kwa hiyo nitamngojea.”

253:25 Za 33:18; Isa 25:9; 30:18; Za 130:6Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

kwa yule ambaye humtafuta;

263:26 Za 37:7ni vyema kungojea kwa utulivu

kwa ajili ya wokovu wa Bwana.

273:27 Za 90:12Ni vyema mtu kuchukua nira

bado angali kijana.

283:28 Yer 15:17Na akae peke yake awe kimya,

kwa maana Bwana ameiweka juu yake.

293:29 Yer 31:17; Ay 2:8; 42:6Na azike uso wake mavumbini

bado panawezekana kuwa na matumaini.

303:30 Ay 16:10; Isa 50:6; Mik 5:1; Mt 5:39Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,

na ajazwe na aibu.

313:31 Za 94:14; Isa 54:7Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali

na Bwana milele.

323:32 Za 106:43-45; Nah 1:12; Hos 11:8Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,

kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.

333:33 Ay 37:23; Ebr 12:10; Yer 31:20; Eze 18:23Kwa maana hapendi kuwaletea mateso

au huzuni watoto wa wanadamu.

34Kuwaponda chini ya nyayo

wafungwa wote katika nchi,

353:35 Mwa 14:18-22Kumnyima mtu haki zake

mbele za Aliye Juu Sana,

363:36 Za 140:12; Mit 17:15; Hab 1:13; Yer 22:3kumnyima mtu haki:

Je, Bwana asione mambo kama haya?

373:37 Mit 19:21; Za 33:9-11; Mit 21:30Nani awezaye kusema nalo likatendeka

kama Bwana hajaamuru?

383:38 Ay 2:10; Isa 45:7; Yer 32:42Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana

ndiko yatokako maafa na mambo mema?

393:39 Yer 30:15; Mik 7:9Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika

wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?

403:40 2Kor 13:5; Za 119:59; 139:23-24Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,

na tumrudie Bwana Mungu.

413:41 Dan 9:5; Yer 14:20; 2Fal 24:4; Yer 5:7-9; Za 86:4Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu

kwa Mungu mbinguni, na tuseme:

423:42 Dan 9:5“Tumetenda dhambi na kuasi

nawe hujasamehe.

433:43 Mao 2:2, 17, 21; Za 35:6“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;

umetuchinja bila huruma.

443:44 Mao 2:1; Zek 7:13; Za 97:2; Isa 58:4Unajifunika mwenyewe kwa wingu,

ili pasiwe na ombi

litakaloweza kupenya.

453:45 1Kor 4:13Umetufanya takataka na uchafu

miongoni mwa mataifa.

463:46 Za 22:13; Mao 2:16“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao

wazi dhidi yetu.

473:47 Yer 48:43; Isa 24:17-18; 51:19Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,

uharibifu na maangamizi.”

483:48 Yer 9:1; Mao 2:18Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,

kwa sababu watu wangu wameangamizwa.

49Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,

bila kupata nafuu,

503:50 Za 14:2; 80:14; Isa 63:15hadi Bwana atazame chini

kutoka mbinguni na kuona.

51Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini

kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.

523:52 Za 35:7; 69:4Wale waliokuwa adui zangu bila sababu

wameniwinda kama ndege.

533:53 Yer 38:6; 37:16; Dan 6:17Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo

na kunitupia mawe;

543:54 Za 69:2; Yon 2:3-5; Eze 37:11; Za 88:5maji yalifunika juu ya kichwa changu,

nami nikafikiri nilikuwa karibu

kukatiliwa mbali.

553:55 Za 130:1; 2Nya 33:12; Yon 2:2; Za 18:5, 6Nililiitia jina lako, Ee Bwana,

kutoka vina vya shimo.

563:56 Rum 8:26; Za 116:1-2; 6:8Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako

kilio changu nikuombapo msaada.”

573:57 Isa 41:10; Yak 4:8; Za 46:1; 69:18; Isa 58:9Ulikuja karibu nilipokuita,

nawe ukasema, “Usiogope.”

583:58 Yer 51:36; Za 34:22; Yer 50:34; 1Sam 25:39Ee Bwana, ulichukua shauri langu,

ukaukomboa uhai wangu.

593:59 Yer 18:19; Za 35:23Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.

Tetea shauri langu!

603:60 Yer 11:20; 18:18Umeona kina cha kisasi chao,

mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.

61Ee Bwana, umesikia matukano yao,

mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:

623:62 Eze 36:3kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia

dhidi yangu mchana kutwa.

633:63 Ay 30:9; Za 139:2Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,

wananidhihaki katika nyimbo zao.

643:64 Za 28:4; Yer 51:6; 2Tim 4:14; Yer 11:20; Ufu 6:10Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,

kwa yale ambayo mikono yao imetenda.

653:65 Kut 14:8; Kum 2:30; Isa 6:10; Za 8:3Weka pazia juu ya mioyo yao,

laana yako na iwe juu yao!

66Wafuatilie katika hasira na uwaangamize

kutoka chini ya mbingu za Bwana.