신명기 20 – KLB & NEN

Korean Living Bible

신명기 20:1-20

출전할 때의 유의 사항

1“여러분이 적과 싸우러 나가서 그들의 말과 전차와 군대가 여러분보 다 많은 것을 보아도 여러분은 그들을 두려워하지 마십시오. 이집트에서 여러분을 인도해 내신 여러분의 하나님 여호와께서 여러분과 함께 계십니다.

2여러분이 전쟁을 시작하기 바로 전에 제사장은 모든 군대 앞에 나와서 이렇게 말해야 합니다.

3‘이스라엘 장병 여러분, 들으십시오. 여러분은 오늘 원수들과 싸우려고 나왔습니다. 그러므로 겁을 먹고 두려워하거나 떨지 말며 놀라지 마십시오.

4여러분의 하나님 여호와께서 여러분과 함께 가셔서 여러분을 위해 싸우시고 여러분에게 승리를 주실 것입니다!’

5“그리고 지휘관들은 자기 부하들에게 이렇게 말하십시오. ‘새 집을 짓고 준공식을 갖지 못한 자가 있느냐? 그런 사람은 집으로 돌아가거라! 그가 만일 전사하게 되면 다른 사람이 준공식을 갖게 될 것이다.

6포도원을 만들어 놓고 아직 그 포도를 먹어 보지 못한 자가 있느냐? 그런 사람은 집으로 돌아가거라! 그가 만일 전사하면 다른 사람이 그 포도를 먹게 될 것이다.

7약혼만 하고 결혼하지 못한 사람이 있느냐? 그런 사람은 집으로 돌아가거라. 그가 만일 전사하면 다른 사람이 그 약혼녀와 결혼하게 될 것이다.

8그리고 겁이 나서 두려워하는 자가 있느냐? 그런 사람은 집으로 돌아가거라. 그렇지 않으면 다른 사람까지 사기가 저하될 것이다.’

9그런 다음에 지휘관들은 각 부대장을 임명하여 자기 부대를 인솔하게 하십시오.

10“여러분은 어떤 성을 쳐들어갈 때 먼저 평화적인 항복 조건을 제시하십시오.

11만일 그들이 그 제의를 받아들이고 여러분에게 성문을 열어 주면 그들을 종으로 삼아 여러분을 섬기게 하십시오.

12그러나 만일 그들이 여러분의 제의를 거절하고 여러분을 대항하여 싸우려고 하면 여러분은 그 성을 포위하십시오.

13여러분의 하나님 여호와께서 그 성을 여러분의 손에 넘겨 주시면 여러분은 그 성의 남자들을 모조리 죽이고

14여자들과 아이들과 가축과 그 밖의 모든 전리품은 다 여러분이 소유하도록 하십시오. 여러분이 원수들에게서 빼앗은 물건은 사용해도 좋습니다. 이것은 여러분의 하나님 여호와께서 여러분에게 주신 것입니다.

15다만 여러분은 약속의 땅에 있는 성이 아니라 거기서 멀리 떨어져 있는 성들에 대해서만 이렇게 해야 합니다.

16“그러나 여러분의 하나님 여호와께서 주시는 이 가나안 민족들의 땅에서는 한 사람도 살려 두지 말고 모조리 죽이십시오.

17여러분의 하나님 여호와께서 명령하신 대로 여러분은 헷족, 아모리족, 가나안족, 브리스족, 히위족, 여부스족을 완전히 전멸시켜야 합니다.

18그렇지 않으면 그들이 우상을 섬기는 그 더러운 습관을 여러분에게 가르칠 것이며 여러분은 그들의 유혹에 빠져 여러분의 하나님 여호와께 범죄하게 될 것입니다.

19“여러분이 어떤 성을 점령하려고 오랫동안 포위하고 있을 때 도끼로 과일 나무를 찍지 마십시오. 과일은 여러분이 먹어야 하므로 과일 나무를 찍어서는 안 됩니다. 나무는 여러분이 싸워야 할 대상이 아닙니다.

20그러나 과일 나무가 아닌 나무는 잘라서 성을 공격하는 데 필요한 기구를 만들어 그 성을 함락시킬 때까지 사용하십시오.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 20:1-20

Kwenda Vitani

120:1 Za 20:7; Isa 31:1; Hes 14:9; Kum 3:22; 1Sam 17:45; Isa 41:10; 2Nya 32:7-8; Hes 23:21; Kum 31:6, 8; 2Nya 13:12; 32:7, 8Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababu Bwana Mungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi. 2Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi. 320:3 1Sam 17:32; Ay 23:16; Za 22:14; Isa 7:4; 35:4; Yer 51:46Atasema: “Sikia, ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala usitiwe hofu mbele yao. 420:4 2Nya 20:14-22; Kut 14:14; 1Nya 5:22; Neh 4:20; Amu 12:3; 15:18; Za 44:7; 144:10; Kum 1:30Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ndiye huenda pamoja nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na kuwapatia ushindi.”

520:5 Neh 12:27Maafisa wataliambia jeshi: “Je, kuna yeyote aliyejenga nyumba mpya ambayo haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akaiweka wakfu. 620:6 Yer 31:5; Eze 28:26; Mik 1:6; 1Kor 9:7Je, kuna yeyote aliyepanda shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akalifurahia. 720:7 Kum 24:5; Mit 5:18Je, kuna yeyote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.” 820:8 Amu 7:3Kisha maafisa wataongeza haya, “Je, kuna mtu anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa moyo pia.” 9Wakati maafisa watakapomaliza kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa vikosi.

1020:10 Kum 2:26; Lk 14:31-32; 2Sam 20:18-20Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani. 1120:11 2Fal 6:22; 1Fal 9:21; 1Nya 22:2; Isa 31:7Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia. 12Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita. 1320:13 Hes 31:7Wakati Bwana Mungu wenu atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni kwa upanga wanaume wote waliomo ndani yake. 1420:14 Yos 8:2; 22:8; Hes 31:11; 31:53Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo Bwana Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu. 1520:15 Yos 9:9Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

1620:16 Kut 23:31-33; Hes 21:2-3; Kum 7:2; Yos 6:21; 10:1; 11:14Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua. 17Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama Bwana Mungu wenu alivyowaamuru. 1820:18 Kut 34:16; 10:7; 23:33; Kum 12:30-31; Yos 23:12-13; 1Kor 15:33; 2Fal 21:3, 15; Za 106:34-41; Hos 8:11La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu.

19Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire? 20Hata hivyo, mnaweza kuikata miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na ninyi utakapoanguka.