시편 91 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 91:1-16

우리를 보호하시는 하나님

1가장 높으신 분의

그늘 아래 사는 자는

전능하신 분의 보호를 받으리라.

2내가 여호와에 대하여 말하리라.

“그는 나의 피난처요 요새이며

내가 신뢰하는 하나님이시다.”

3그가 너를 모든 함정에서 구하고

죽을 병에서 너를 건지시리라.

4그가 깃털로 너를 감싸주실 것이니

네가 그 날개 아래서

피난처를 찾으리라.

그의 성실하심이

너의 방패가 될 것이니

5너는 밤의 공포와

낮에 나는 화살을

두려워하지 않을 것이며

6흑암의 무서운 질병과

대낮의 파멸하는 재앙을

두려워하지 않을 것이다.

7천 사람이 네 곁에서 쓰러지고

만 사람이 네 주변에서 죽어가도

그 재앙이

너를 가까이하지 못하리라.

8오직 너는 악인들이 벌받는 것을

네 눈으로 목격만 하게 될 것이다.

9네가 여호와를 너의 보호자로 삼고

가장 높으신 분을

너의 피난처로 삼았으니

10화가 너에게 미치지 못하고

재앙이 네 집에

가까이하지 못할 것이다.

11그가 천사들에게 명령하여

네가 어디를 가든지

너를 지키게 하시리라.

12천사들이 손으로 너를 받들어

네 발이 돌에

부딪히지 않게 할 것이다.

13네가 사자와 독사를

짓밟아 누르리라.

14하나님이 말씀하신다.

“그가 나를 사랑하므로

내가 그를 구출하리라.

그가 내 이름을 알고 있으니

내가 그를 보호하리라.

15그가 나에게 부르짖을 때

내가 응답할 것이며

그가 어려움을 당할 때

내가 그와 함께하여 그를 구하고

그를 영화롭게 하리라.

16내가 그를 장수하게 하여

만족을 누리게 하고

그에게 내 구원을 보이리라.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 91:1-16

Zaburi 91

Mungu Mlinzi Wetu

191:1 Kut 33:2; Isa 49:2; Mao 4:20; Za 63:7Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.91:1 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

291:2 Za 9:9; 91:9; 2Sam 22:2, 3Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”

391:3 Za 124:7; Mit 6:5; 1Fal 8:37Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

na maradhi ya kuambukiza ya kuua.

491:4 Za 61:4; 17:8; 35:2; Rum 2:12; Kum 32:10; Isa 27:3; 31:5; Zek 12:8Atakufunika kwa manyoya yake,

chini ya mbawa zake utapata kimbilio,

uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.

591:5 Ay 5:21; 5:19; Mit 3:23; Isa 43:2Hutaogopa vitisho vya usiku,

wala mshale urukao mchana,

6wala maradhi ya kuambukiza

yanayonyemelea gizani,

wala tauni iharibuyo adhuhuri.

7Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

kumi elfu mkono wako wa kuume,

lakini haitakukaribia wewe.

891:8 Za 37:34; 58:10; Mal 1:5Utatazama tu kwa macho yako

na kuona adhabu ya waovu.

9Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,

1091:10 Mit 1:33; 12:21; 2The 3:3; 2Pet 2:9basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

hakuna maafa yataikaribia hema yako.

1191:11 Mwa 32:1; Ebr 1:14; Lk 4:10; Za 34:7; Mt 4:6Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

wakulinde katika njia zako zote.

1291:12 Lk 1:10, 11; Ay 5:23; Mt 4:6; Za 37:24Mikononi mwao watakuinua,

ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.

1391:13 Dan 6:22; Lk 10:19Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

1491:14 1Sam 2:30; Yn 12:26; Ay 22:27; Za 18:3; Yer 33:3; Zek 13:9; Ebr 5:7Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.

1591:15 Za 43:2; 1Sam 2:30Ataniita, nami nitamjibu;

nitakuwa pamoja naye katika taabu,

nitamwokoa na kumheshimu.

1691:16 Kum 6:2; Za 21:4; 50:23Kwa siku nyingi nitamshibisha

na kumwonyesha wokovu wangu.”