시편 88 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 88:1-18

낙담 가운데서 부르짖는 기도

(고라 자손, 곧 에스라 사람 헤만의 교훈시. 성가대 지휘자를 따라 ‘질병의 고통’ 이란 곡조에 맞춰 부른 노래)

1여호와여,

내 구원의 하나님이시여,

내가 밤낮 주 앞에서 부르짖습니다.

2나의 기도를 들으시고

내가 부르짖는 소리에

귀를 기울이소서.

3내 영혼이 너무 많은 고통에 시달려

내가 거의 죽게 되었습니다.

4나는 곧 무덤에 들어갈

사람과 같이 되어

힘이 하나도 없습니다.

5내가 죽은 자처럼 버려져

주의 기억에서 완전히 사라지고

주의 보호의 손길에서 끊어진 채

무덤에 누워 있는

살해당한 사람처럼 되었습니다.

6주는 나를 가장 깊은 웅덩이와

흑암 가운데 던져 넣으시고

7주의 분노로

나를 무겁게 내리누르시며

주의 모든 파도로

나를 괴롭게 하셨습니다.

8주는 내 친구들까지

나를 버리게 하셨으며

내가 그들에게

보기 싫은 놈이 되게 하셨으므로

내가 갇혀서

헤어날 수 없게 되었으며

9내 눈마저

슬픔으로 쇠약해졌습니다.

여호와여, 내가 매일

주께 부르짖으며

주를 향해 손을 들고 기도합니다.

10주께서 죽은 자에게

기적을 보이시겠습니까?

죽은 자가 일어나서

주를 찬양할 수 있겠습니까?

11주의 사랑이 무덤에서,

주의 성실하심이

파멸 가운데서 선포되겠습니까?

12흑암 가운데서 주의 기적이,

잊혀진 땅에서

주의 의가 알려지겠습니까?

13여호와여, 내가 주께 부르짖고

아침마다 주께 기도합니다.

14어째서 나를 버리시며

어째서 주의 얼굴을

나에게 숨기십니까?

15내가 어릴 때부터 어려움을 당하여

거의 죽게 되었으며

주께서 두렵게 하시므로

내가 당황하고 있습니다.

16주의 무서운 분노가 나를 덮치고

주의 두려움이

나를 파멸시켰습니다.

17하루 종일 이런 일이

홍수처럼 사방에서 밀어닥쳐

나를 완전히 삼켜 버렸습니다.

18주는 나의

사랑하는 자들과 친구들이

나를 버리게 하셨으므로

88:18 또는 ‘나의 아는 자를 흑암에 두셨나이다’흑암이 나의 유일한

친구가 되었습니다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 88:1-18

Zaburi 88

Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.

188:1 Za 51:14; 3:4; 22:2; Lk 18:7Ee Bwana, Mungu uniokoaye,

nimelia mbele zako usiku na mchana.

2Maombi yangu yafike mbele zako,

utegee kilio changu sikio lako.

388:3 Ay 33:22; Isa 38:10; Za 6:3; 25:17; 107:18Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,

na maisha yangu yanakaribia kaburi.88:3 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

488:4 Za 31:12; 18:1Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,

niko kama mtu asiye na nguvu.

588:5 Za 31:22Nimetengwa pamoja na wafu,

kama waliochinjwa walalao kaburini,

ambao huwakumbuki tena,

ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.

688:6 Za 30:1; 69:15; Mao 3:55; Yon 2:3Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,

katika vina vya giza nene.

788:7 Za 7:11; 42:7Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,

umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

888:8 Ay 3:23; 19:13; Za 31:11; Yer 32:2; 33:1Umenitenga na rafiki zangu wa karibu

na kunifanya chukizo kwao.

Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;

988:9 Za 38:10; 5:2; 143:6; Ay 11:13nuru ya macho yangu

imefifia kwa ajili ya huzuni.

Ee Bwana, ninakuita kila siku,

ninakunyooshea wewe mikono yangu.

1088:10 Za 6:5Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?

Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?

1188:11 Za 30:9Je, upendo wako hutangazwa kaburini,

uaminifu wako katika Uharibifu?88:11 Yaani Abadon.

1288:12 Ay 10:21; 31:12; Mhu 8:10Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,

au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?

1388:13 Za 30:2; 5:3; 55:17; 119:147Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;

asubuhi maombi yangu huja mbele zako.

1488:14 Za 43:2; 13:1Ee Bwana, kwa nini unanikataa

na kunificha uso wako?

1588:15 Dan 9:26; Za 9:12; 129:1; Yer 22:21; Eze 16:22; Hos 2:15; Isa 53:8; Ay 6:4; 18:11; 2Kor 4:8Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;

nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.

1688:16 Za 7:11; Ay 6:4Ghadhabu yako imepita juu yangu;

hofu zako zimeniangamiza.

1788:17 Za 124:4Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;

zimenimeza kabisa.

1888:18 Za 88:8; 38:11; Ay 19:13Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;

giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.