승리의 찬가
(다윗의 시. 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)
1하나님이시여, 일어나
주의 원수들을 흩으시며
주를 미워하는 자들이
주 앞에서 도망하게 하소서.
2바람에 날아가는 연기처럼
그들을 몰아내소서.
초가 불에 녹는 것처럼
악인들이 하나님 앞에서
망하게 하소서.
3그러나 의로운 자들은
하나님 앞에서
기뻐하고 즐거워하게 하소서.
4하나님께 노래하며
그의 이름을 찬양하라.
구름을 타고 다니시는 이를 위해
길을 예비하라.
그의 이름은 여호와시니
그 앞에서 기뻐하여라.
5거룩한 곳에 계시는 하나님은
고아의 아버지시요
과부의 68:5 또는 ‘재판장’보호자이시다.
6하나님은 고독한 자에게
가족을 주시고
갇힌 자를 이끌어내어
기쁨으로 노래하게 하신다.
그러나 거역하는 자들의 거처는
메마른 땅이다.
7하나님이시여, 주께서 광야를 거쳐
주의 백성을 인도하셨을 때
8땅이 진동하고 68:8 또는 ‘하늘이 하나님 앞에서 떨어지며’하늘이 떨며
시내산도 이스라엘의
하나님 앞에서
위축되었습니다.
9하나님이시여, 주께서
흡족한 비를 내려 주셔서
황폐한 주의 땅을 회복하셨으므로
10주의 백성이
그 곳에 정착하게 되었습니다.
하나님이시여, 이것은 주의 은혜로
가난한 자를 위해
예비한 것이었습니다.
11여호와께서 말씀을 주시자
많은 여자들이
그 기쁜 소식을 전하였다.
12“우리를 치러 온 왕들과
그의 군대가 도망하자
집에 남아 있던 여자들도
전리품을 나누었네.
13너희가 비록 양 우리에 누웠으나
금과 은빛 날개를 단
비둘기 같구나.”
14전능하신 하나님이 왕들을
그 땅에 흩으셨을 때
살몬산에 눈이 내린 것 같았다.
15바산의 산들은 높고 장엄하구나!
16너희 높은 산들아, 어째서 너희는
하나님이 계시려고 택한 산을
시기하는 눈초리로 바라보느냐?
여호와께서 그 곳에
영원히 계실 것이다!
17헤아릴 수 없는
수많은 전차에 둘러싸인 채
여호와께서 시내산에서 나와
그의 성소에 들어가시는구나.
18그가 높은 곳으로 오르실 때
사로잡은 자들을 이끌고 가시며
사람들, 곧
거역하는 자들에게서까지
선물을 받으시니
여호와 하나님이
그 곳에 계시려 하심이라.
19날마다 우리의 짐을 지시는
우리 구원의 하나님
여호와를 찬양하라.
20우리의 하나님은
구원하는 신이시며
우리를 사망에서
구하시는 여호와이시다.
21하나님이 그 원수들의 머리를
깨뜨릴 것이니
계속 죄를 짓는 자들의 머리를
부숴 버릴 것이다.
22여호와께서 말씀하셨다.
“내가 너희 원수들을
바산에서 돌아오게 하고
그들을 바다 깊은 곳에서
이끌어내어
23너희가 그들의 피에
발을 담그며
너희 개가 그 피를
핥아 먹게 하리라.”
24나의 왕 되신 하나님이
성소로 행차하시는 것을
모두 보았다.
25앞에는 노래하는 자들이요
뒤에는 악사들이며
그 사이에는
작은북을 치는 소녀들이다.
26야곱의 후손들아,
너희는 큰 집회에서
여호와 하나님을 찬양하라.
27제일 작은 지파 베냐민이 앞서고
그 다음은
유다 지파의 지도자들이며
다음은
스불론과 납달리 지도자들이다.
28하나님이시여,
주의 힘을 모으소서.
전에 우리를 위해 사용하셨던
그 놀라운 힘을
우리에게 나타내소서.
29예루살렘에 주의 성전이 있으니
왕들이 주께
예물을 가져올 것입니다.
30갈밭의 들짐승과 같은
이집트를 꾸짖으시고
송아지를 거느린 수소떼와 같은
온 세계 민족을 꾸짖어
그들이 은을 바치며
복종할 때까지 낮추소서.
전쟁을 즐기는
모든 민족을 흩으소서.
3168:31 또는 ‘방백들은’사절단이 이집트에서 나올 것이며
에티오피아 사람이 손을 들어
하나님께 기도할 것입니다.
32세상 나라들아,
하나님께 노래하고
여호와께 찬양하라.
33옛날 옛적부터 있는 하늘을
타고 다니시는 이에게 찬양하라.
그가 하늘에서
웅장한 소리를 발하신다.
34너희는 하나님의 능력을 선포하라.
그의 위엄은 이스라엘 위에 있고
그의 능력은 하늘에 있다.
35성소에 계시는 하나님은
위엄이 있구나.
이스라엘의 하나님은
자기 백성에게
힘과 능력을 주신다.
하나님을 찬양하라!
Zaburi 68
Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
168:1 Za 89:10; 132:8; 12:5; 18:14; 92:9; 144:6; Hes 10:35; Isa 17:13; 21:15; 33:3Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,
adui zake na wakimbie mbele zake.
268:2 Za 37:20; 80:16; 22:14; 9:3; Hes 10:35Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,
vivyo hivyo uwapeperushe mbali,
kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,
vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.
368:3 Za 64:10; 97:12Bali wenye haki na wafurahi,
washangilie mbele za Mungu,
wafurahi na kushangilia.
468:4 2Sam 22:50; Za 7:17; 30:4; 66:2; 68:33; 96:2; 100:4; 135:3; 83:18; Kut 6:3; 20:21; Kum 33:26Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,
mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:
jina lake ni Bwana,
furahini mbele zake.
568:5 Za 10:14; Kut 22:22; Kum 10:18; 26:15; Yer 25:30Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu.
668:6 Lk 4:18; Za 146:7; 113:9; 102:20; 79:11; 25:16; Isa 58:11; 35:7; 49:10; 61:1Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,
huwaongoza wafungwa wakiimba,
bali waasi huishi katika nchi kame.
768:7 Kut 13:21; Za 78:40; 106:14Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,
ulipopita nyikani,
868:8 2Sam 22:8; Amu 5:4, 5; Mhu 11:3; 2Sam 21:10; Kum 33:2dunia ilitikisika,
mbingu zikanyesha mvua,
mbele za Mungu, Yule wa Sinai,
mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.
968:9 Kum 32:2; Ay 36:28; Eze 34:26Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi
na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.
1068:10 Kum 28:12; Za 65:9Ee Mungu, watu wako waliishi huko,
nawe kwa wingi wa utajiri wako
uliwapa maskini mahitaji yao.
1168:11 Lk 2:13Bwana alitangaza neno,
waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
1268:12 Yos 10:16; Amu 5:30“Wafalme na majeshi walikimbia upesi,
watu waliobaki kambini waligawana nyara.
1368:13 Mwa 49:14Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,
mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,
manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
1468:14 2Sam 22:15; Amu 9:48Wakati Mwenyezi68:14 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. alipowatawanya wafalme katika nchi,
ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
15Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,
milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
1668:16 Za 132:13, 14; 2:6; Kum 12:5Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,
kwa nini mnakazia macho kwa wivu,
katika mlima Mungu anaochagua kutawala,
ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?
1768:17 2Fal 2:11; Isa 66:15; Hab 3:8; Dan 7:10Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,
na maelfu ya maelfu;
Bwana amekuja kutoka Sinai
hadi katika patakatifu pake.
1868:18 Za 47:5; 7:7; Amu 5:12; Efe 4:8; Hes 17:10Ulipopanda juu, uliteka mateka,
ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,
hata kutoka kwa wale walioasi,
ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.
1968:19 Za 65:5; 81:6Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,
ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.
2068:20 1Sam 10:19; Za 56:13; Yer 45; 5; Eze 6:8Mungu wetu ni Mungu aokoaye,
Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.
2168:21 Za 74:14; 110:5; Hab 3:13Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,
vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.
2268:22 Ay 36:30; Mt 18:6Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;
nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
2368:23 Za 58:10; 1Fal 21:19; 2Fal 9:36ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,
huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
2468:24 Za 63:2Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,
maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,
yakielekea patakatifu pake.
2568:25 1Nya 15:16; 6:31; 2Nya 5:12; Ufu 18:22; Mwa 31:27; Isa 5:12Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,
pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.
2668:26 Za 22:22; Ebr 2:12; Law 19:2Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,
msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.
2768:27 1Sam 9:21; Hes 34:21; Amu 5:18Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,
wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,
hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.
2868:28 Kut 9:16; Za 29:11; Isa 26:12; 29:23; 45:11; 60:21; 64:8Ee Mungu, amuru uwezo wako,
Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,
kama ulivyofanya hapo awali.
2968:29 2Nya 9:24; 32:23Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu
wafalme watakuletea zawadi.
3068:30 Isa 27:1; 34:7; 51:9; Ay 40:21; Eze 29:3; Za 22:12; 18:14; 120:7; 89:10; 140:2; Yer 50:27Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,
kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.
Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.
Tawanya mataifa yapendayo vita.
3168:31 Isa 19:19; 43:3; 45:14; 11:11; 18:1; Sef 3:10Wajumbe watakuja kutoka Misri,
Kushi68:31 Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia. atajisalimisha kwa Mungu.
3268:32 Za 46:6; 67:4; 7:17Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,
mwimbieni Bwana sifa,
3368:33 Kum 33:26; Kut 9:23; Za 29:3, 4; Isa 30:30; 33:3; 66:6; 45:3mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,
yeye angurumaye kwa sauti kuu.
3468:34 Za 68:28; 45:3Tangazeni uwezo wa Mungu,
ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,
ambaye uwezo wake uko katika anga.
3568:35 Mwa 28:17; Isa 40:29; 41:10; 50:2; Za 66:20; 18:1; 29:11; 28:6; 2Kor 1:3; Kum 7:21Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,
Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.
Mungu Asifiwe!