시편 63 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 63:1-11

하나님과 교제하는 기쁨

(다윗이 유다 광야에 있을 때 지은 시)

1하나님이시여,

주는 나의 하나님이십니다.

그래서 내가 간절히 주를 찾습니다.

물이 없어 메마르고 못 쓰게 된

이 땅에서

내 영혼이 주를 애타게 그리워하며

내 육체가 주를 사모합니다.

2내가 성소에서 주를 바라보고

주의 능력과 영광을 보았습니다.

3주의 한결같은 사랑이

생명보다 나으므로

내가 주를 찬양하겠습니다.

4내가 일평생 주께 감사하며

주의 이름으로

손을 들고 기도하겠습니다.

5내가 좋은 것으로

배불리 먹고 만족할 것이며

큰 기쁨으로

주를 찬양할 것입니다.

6내가 자리에 누울 때

주를 기억하며

밤새도록 주를 생각합니다.

7주께서 항상

나의 도움이 되셨으므로

내가 주의 날개 그늘에서

기뻐 노래합니다.

8내가 주를 가까이 따르므로

주의 오른손이 나를 붙드십니다.

9나를 죽이려 하는 자들은

땅 깊은 곳에 들어갈 것이며

10그들은 칼날에 죽음을 당하여

이리의 밥이 될 것이다.

11그러나 63:11 원문에는 ‘왕은’나는 하나님 안에서

즐거워하리라.

하나님의 이름으로

맹세하는 자들은

그를 자랑할 것이나

거짓말하는 자들은

말문이 막힐 것이다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 63:1-11

Zaburi 63

Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.

163:1 Za 42:2; 84:2; 143:6Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,

nakutafuta kwa moyo wote;

nafsi yangu inakuonea kiu,

mwili wangu unakuonea wewe shauku,

katika nchi kame na iliyochoka

mahali ambapo hapana maji.

263:2 Za 15:1; 27:4; 68:24; Kut 16:7; 1Nya 16:11Nimekuona katika mahali patakatifu

na kuuona uwezo wako na utukufu wako.

363:3 Isa 30:13; Yn 3:16; Za 36:7; 69:16; 106:45; 109:21Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,

midomo yangu itakuadhimisha.

463:4 Za 28:3; 104:33; 146:2; Isa 38:20; 1Tim 2:8Nitakusifu siku zote za maisha yangu,

na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

563:5 Za 17:15; 36:8; Mt 5:6; Isa 25:6Nafsi yangu itatoshelezwa

kama kwa wingi wa vyakula;

kwa midomo iimbayo

kinywa changu kitakusifu wewe.

663:6 Kum 6:4-9; Za 119:148; 16:7; 140:5; Mt 14:25Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,

ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.

763:7 Za 27:9; 118:7; Rum 2:12; Isa 26:9Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,

chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.

863:8 Hes 32:12; Hos 6:3; Isa 26:9; Za 41:12Nafsi yangu inaambatana nawe,

mkono wako wa kuume hunishika.

963:9 Za 40:14; 55:15; 71:20; 95:4; 139:15Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,

watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.

1063:10 Yer 18:21; Eze 35:5; Amo 1:11; Mao 5:18Watatolewa wafe kwa upanga,

nao watakuwa chakula cha mbweha.

1163:11 Sef 1:5; Isa 19:18; 45:23; 65:16; Ay 5:16; Rum 3:19Bali mfalme atafurahi katika Mungu,

wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu,

bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.