시편 6 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 6:1-10

어려움에 처했을 때의 기도

(다윗의 시. 성가대 지휘자를 따라 현악기에 맞춰 낮은 음으로 부른 노래)

1여호와여,

주의 노여움으로

나를 꾸짖지 마시고

주의 분노로 나를 벌하지 마소서.

2여호와여, 내가 쇠약합니다.

나를 불쌍히 여기소서.

내 몸이 병들었습니다.

나를 고쳐 주소서.

3내 마음이 심히 괴로운데

여호와여, 언제까지

기다리겠습니까?

4여호와여, 오셔서 나를 구하소서.

주의 변함없는 사랑으로

나를 건져 주소서.

5죽으면 아무도

주를 기억하지 못합니다.

누가 6:5 히 ‘스올’무덤에서

주를 찬양하겠습니까?

6내가 슬퍼하다가 지쳤습니다.

내가 밤마다 흐느끼다가

눈물로 베개를 적십니다.

7내가 나의 대적 때문에

근심하다가

눈마저 흐리고 침침하여

잘 볼 수 없게 되었습니다.

8악을 행하는 자들아,

이제 너희는 다 나를 떠나라

여호와께서

나의 우는 소리를 들으셨다.

9여호와께서

나의 부르짖는 소리를 들으셨으니

내 기도를 들어주실 것이다.

10나의 모든 원수들이

창피를 당하고 놀라며

갑자기 부끄러워 물러가리라.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 6:1-10

Zaburi 6

Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.6:0 Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi ya Daudi.

16:1 Za 2:5Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.

26:2 Za 4:1; 26:11; 61:2; 77:3; 142:3; Yer 3:12; 8:18; 12:15; 31:20; Hos 6:1; Isa 40:31; Za 32:3; 38:3; 42:10; 102:3Unirehemu Bwana,

kwa maana nimedhoofika;

Ee Bwana, uniponye,

kwa maana mifupa yangu

ina maumivu makali.

36:3 Ay 7:11; Za 4:2; 31:7; 38:8; 55:4; 89:46; Yn 12:27; Isa 6:11; Rum 9:2; 2Kor 2:4; Hab 1:12; 1Sam 1:14; 1Fal 18:21; Yer 4:14; Mt 26:38; Mit 18:14Nafsi yangu ina uchungu mwingi.

Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?

46:4 Za 25:16; 69:16; 71:2; 86:16; 88:2; 102:2; 119:132; 13:5; 31:2, 16; 77:8; 85:7; 119:41; Isa 54:8, 10Geuka Ee Bwana, unikomboe,

uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

56:5 Za 30:9; 88:10-12; 115:17; Isa 38:18; Mhu 9:10Hakuna mtu anayekukumbuka

akiwa amekufa.

Ni nani awezaye kukusifu

akiwa kuzimu?

66:6 Ay 3:24; 16:16; 7:3; Lk 7:38; Za 77:3; 102:5; 12:5; Mdo 20:19; Mao 1:8, 11, 21, 22; Amu 8:5Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;

usiku kucha nafurikisha

kitanda changu kwa machozi;

nimelowesha viti vyangu vya fahari

kwa machozi.

76:7 Ay 16:8; Za 31:9; 69:3; 119:82; Isa 38:14Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,

yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

86:8 Za 119:115; 5:5; 139:19; Mt 7:23Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,

kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.

96:9 Za 31:22; 116:1; 3:4; 40:1, 2; 28:6Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,

Bwana amekubali sala yangu.

106:10 2Fal 19:26; Za 40:14Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,

watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.