시편 49 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 49:1-20

부를 신뢰하는 어리석음

(고라 자손의 시. 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)

1만민들아, 들어라.

세상에 사는 모든 백성들아,

귀를 기울여라.

2높은 사람이나 낮은 사람이나

부자나 가난한 사람이나

다 내 말을 들어라.

3내 입이 지혜를 말하고

내 마음의 묵상이

깨달음을 말하리라.

4내가 속담에 귀를 기울이고

수금을 타면서

인생의 가장 어려운 문제를

풀어내리라.

5악한 원수들에게 포위당하는

위험한 때에도

두려워할 필요가 없다.

6그들은 자기들의 재산을 의지하고

그 부유함을 자랑하는 자들이다.

7사람이 아무리 돈이 많아도

다른 사람의 생명을

구원할 수 없으며

하나님께 그 몸값을

지불할 수 없으니

8인간 생명의 값이

너무나 크기 때문이다.

그 어떤 것을 지불한다고 해도

9사람을

죽지 않고 영원히 살게 하지는

못하리라.

10지혜로운 자도, 부유한 자도

어리석고 무식한 사람처럼 다 죽고

그 재산을 다른 사람에게

물려 주는구나.

11비록 그들이 한때는

자기들의 이름으로

땅을 소유했으나

무덤이 그들의 영원한 집이 되어

거기서 끝없이 머물게 되리라.

12사람이 아무리

영화를 누리며 살아도

영원히 살 수는 없으니

인간 역시 짐승처럼 죽기 마련이다.

13자신을 의지하는 어리석은 자들과

그들의 말을 인정하는 자들의

운명을 보아라.

14그들은 양같이

죽기로 작정되었으니

사망이 그들의 목자가 되리라.

정직한 자가

아침에 그들을 다스릴 것이니

그들의 몸은

호화로운 저택에서 떠나

무덤에서 썩어 없어질 것이다.

15그러나 하나님은 나를 영접하여

내 영혼을 사망의 권세에서

구원하시리라.

16남이 돈을 모아 점점 부유해지고

그 집안의 명성이 높아갈 때

그런 것을 보고 낙심하지 말아라.

17그가 죽으면 아무것도

가져가지 못하고

그 영광도 그를 따라

무덤까지 내려가지 못하리라.

18사람이 비록 이 세상에서

만족을 느끼고

성공했다고 칭찬을 받을지라도

19결국은 자기 조상들처럼 죽어

다시는 생명의 빛을

보지 못할 것이다.

20아무리 영화를 누리며 살아도

깨닫지 못하는 사람은

짐승처럼 죽으리라.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 49:1-20

Zaburi 49

Upumbavu Wa Kutegemea Mali

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

149:1 Isa 1:2; Za 33:8; 78:1Sikieni haya, enyi mataifa yote,

sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

249:2 Za 62:9Wakubwa kwa wadogo,

matajiri na maskini pamoja:

349:3 Za 37:30; 119:130Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

449:4 Za 33:2; 78:2; 1Sam 16:16; Mit 1:6; Eze 12:22; 16:44; 18:2, 3; Hes 12:8; Lk 4:23Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

nitafafanua kitendawili kwa zeze:

549:5 Za 23:4; 27:1Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

649:6 Yer 48:7; Za 10:3; 73:12; Ay 22:25; 36:19wale wanaotegemea mali zao

na kujivunia utajiri wao mwingi?

749:7 Mt 16:26Hakuna mwanadamu awaye yote

awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

849:8 Hes 35:31; Mt 16:26; Ay 36:18Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

hakuna malipo yoyote yanayotosha,

949:9 Za 22:29; 89:48; 16:10; Ebr 9:27ili kwamba aishi milele

na asione uharibifu.

1049:10 Mhu 2:16, 18, 21; Za 92:6; 94:8; Ay 27:17; Lk 12:20Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

na kuwaachia wengine mali zao.

1149:11 Mk 5:3; Lk 8:27; Za 106:31; Kum 3:14Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

makao yao vizazi vyote;

ingawa walikuwa na mashamba

na kuyaita kwa majina yao.

1249:12 Ay 14:2Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

anafanana na mnyama aangamiaye.

1349:13 Lk 12:20Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

1449:14 Yer 43:11; Isa 14:2; Hes 16:30; Eze 31:14; Mal 4:3; Ay 21:13; Ufu 2:26; 1Kor 6:2; Za 9:17; 55:15; Dan 7:18, 22; Lk 22:30; 2Tim 2:12Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,49:14 Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.

nacho kifo kitawala.

Wanyofu watawatawala asubuhi,

maumbile yao yataozea kaburini,

mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

1549:15 Za 56:13; Hos 13:14; Mwa 5:24Lakini Mungu atakomboa uhai49:15 Au: nafsi. wangu na kaburi,

hakika atanichukua kwake.

16Usitishwe mtu anapotajirika,

fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

1749:17 1Tim 6:7; Za 17:14kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

fahari yake haitashuka pamoja naye.

1849:18 Za 10:6; Lk 12:19Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

1949:19 Mwa 15:15; Ay 33:30atajiunga na kizazi cha baba zake,

ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

2049:20 Mit 16:16; Mhu 3:19-21Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

ni kama wanyama waangamiao.