시편 28 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 28:1-9

도움을 호소하는 기도

(다윗의 시)

1나의 반석이신 여호와여,

내가 부르짖습니다.

나에게 귀를 기울이소서.

주께서 나에게 대답하지 않으시면

내가 죽은 자와

다름이 없을 것입니다.

2내가 주의 성소를 향해 손을 들고

주께 부르짖을 때

나의 간구하는 소리를 들으소서.

3악을 행하는 악인들과 함께

나를 벌하지 마소서.

그들은 자기 이웃에게

다정하게 말하지만

그 마음에는 증오가 가득합니다.

4그들에게 마땅히 받아야 할

벌을 주시고

그들의 악한 소행대로 갚아 주소서.

5그들은 여호와께서 행하신 일과

그가 만드신 것에 관심이 없으므로

여호와께서 그들을

28:5 암시됨.낡은 집처럼 헐고

다시는 세우지 않으시리라.

6여호와를 찬양하라.

그가 나의 부르짖는

소리를 들으셨다.

7여호와는 나의 힘과 나의 방패시니

내가 그를 신뢰하여

도움을 얻었다.

그래서 내가 크게 기뻐하며

그에게 찬송으로 감사하리라.

8여호와는 자기 백성을 보호하시고

자기가 택한 왕을 지키시며

구하신다.

9여호와여, 주의 백성을

구원하시고 축복하시며

그들의 목자가 되셔서

영원히 보살피소서.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 28:1-9

Zaburi 28

Kuomba Msaada

Zaburi ya Daudi.

128:1 Kum 1:45; Es 4:14; Ay 33:18Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;

usiwe kwangu kama kiziwi.

Kwa sababu ukinyamaza

nitafanana na walioshuka shimoni.

228:2 Za 17:1; 61:1; 5:7; 11:4; 116:1; 63:4; 130:2; 142:1; 143:1; 141:2; Mao 2:19; Ezr 9:5; 1Tim 2:8Sikia kilio changu unihurumie

ninapokuita kwa ajili ya msaada,

niinuapo mikono yangu kuelekea

Patakatifu pa Patakatifu pako.

328:3 Za 12:2; 26:4; 55:21; Yer 9:8Usiniburute pamoja na waovu,

pamoja na hao watendao mabaya,

ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,

lakini mioyoni mwao wameficha chuki.

428:4 Za 62:12; 2Tim 4:14; Mao 3:64; Ufu 18:6; 22:12Walipe sawasawa na matendo yao,

sawasawa na matendo yao maovu;

walipe sawasawa na kazi za mikono yao,

uwalipe wanavyostahili.

528:5 Isa 5:12Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,

na yale ambayo mikono yake imetenda,

atawabomoa na kamwe

hatawajenga tena.

628:6 Mwa 24:27; Efe 1:3; 2Kor 1:3; 1Pet 1:3Bwana asifiwe,

kwa maana amesikia kilio changu

nikimwomba anihurumie.

728:7 Za 144:9; 13:5; 16:9; 33:3; 40:3; 69:30; 149:1; 18:1; 112:7; Isa 26:3; Kum 16:15Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,

moyo wangu umemtumaini yeye,

nami nimesaidiwa.

Moyo wangu unarukaruka kwa furaha

nami nitamshukuru kwa wimbo.

828:8 Za 18:1; 27:1; 20:6; Kut 15:2; Hab 3:13Bwana ni nguvu ya watu wake,

ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.

928:9 Za 78:52, 71; 80:1; 106:47; 118:25; 23:1; 1Nya 6:35; 11:2; Kut 34:9; Isa 40:11; 46:3; 63:9; Eze 34:12; Yer 31:10; Mik 7:14; Kum 1:31; 32:11Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;

uwe mchungaji wao na uwabebe milele.