시편 132 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 132:1-18

다윗과 여호와의 성전

(성전에 올라가는 노래)

1여호와여,

다윗과 그가 당한

모든 시련을 기억하소서.

2여호와여, 그가 한

약속을 기억하소서.

그가 야곱의 전능하신 하나님께

이런 서약을 하였습니다.

3“내가 내 집이나 침실에

들어가지 않을 것이며

4졸거나 잠을 자지 않을 것이니

5여호와의 성소,

곧 야곱의 전능하신 하나님이

계실 집을 마련하기까지

하리라.”

6우리가 132:6 또는 ‘에브라다’베들레헴에서

법궤에 대한 말을 들었고

그것을 기럇-여아림의

밭에서 찾았다.

7여호와의 집으로 가서

그 앞에 경배하자.

8여호와여, 일어나셔서

주의 능력의 상징인 법궤와 함께

132:8 또는 ‘평안한 곳으로’주의 성소로 들어가소서.

9주의 제사장들은 의의 옷을 입고

주의 성도들은

기쁨으로 노래하게 하소서.

10주의 종 다윗을 생각해서라도

주께서 기름 부어 세운 왕을

물리치지 마소서.

11주께서 다윗에게

엄숙하게 약속하셨으니

이 약속을

취소하지 못하실 것입니다.

“나는 네 아들 중 하나를

네 왕위에 앉히리라.

12만일 네 아들들이 내 계약과

내가 그들에게 가르치는

법을 지키면

그들의 자손들도 계속

너를 이어

왕위에 앉을 것이다.”

13여호와께서 시온을 택하시고

그 곳을 자기 거처로

삼고자 말씀하셨다.

14“이 곳은 내가 영원히 쉴 곳이니

내가 여기 머물 것은

이것을 원하였음이라.

15내가 이 성이 필요로 하는 것을

풍족하게 공급해 주고

가난한 자들을

양식으로 만족하게 하리라.

16내가 그 제사장들에게

구원의 옷을 입힐 것이니

그 성도들이 기쁨으로 노래하리라.

17내가 132:17 또는 ‘다윗에게 뿔이 나게 할 것이라’다윗의 후손 가운데 하나를

위대한 왕이 되게 할 것이니

내가 기름 부은 자를 위해

등을 예비하리라.

18내가 그의 원수들에게는

수치로 옷을 입히고

그에게는 면류관을 씌워

빛나게 하리라.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 132:1-18

Zaburi 132

Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

Wimbo wa kwenda juu.

1Ee Bwana, mkumbuke Daudi

na taabu zote alizozistahimili.

2132:2 Mwa 49:24; Isa 49:26; 60:16Aliapa kiapo kwa Bwana

na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

3132:3 2Sam 7:2, 27“Sitaingia nyumbani mwangu

au kwenda kitandani mwangu:

4132:4 Rut 3:18sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

wala kope zangu kusinzia,

5132:5 1Fal 8:17; Mdo 7:46mpaka nitakapompatia Bwana mahali,

makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

6132:6 1Sam 7:2; 17:12; Yos 9:17; 18:1; 1Nya 13:5Tulisikia habari hii huko Efrathi,

tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:132:6 Yaani Kiriath-Yearimu.

7132:7 2Sam 15:25; Za 5:7; 122:1; 1Nya 28:2“Twendeni kwenye makao yake,

na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

8132:8 Hes 10:35inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,

wewe na Sanduku la nguvu zako.

9132:9 Ay 27:6; Zek 3:4; Isa 61:3, 10; Mal 3:3; Ay 29:14Makuhani wako na wavikwe haki,

watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

usimkatae mpakwa mafuta wako.

11132:11 Za 89:3-4, 35; 1Nya 17:11-14; Mt 1:1; Lk 3:31Bwana alimwapia Daudi kiapo,

kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

katika kiti chako cha enzi,

12132:12 2Nya 6:16; Za 25:10; Lk 1:32; Mdo 2:30kama wanao watashika Agano langu

na sheria ninazowafundisha,

ndipo wana wao watarithi

kiti chako cha enzi milele na milele.”

13132:13 Kut 15:17; Za 48:1, 2; 68:16; 1Fal 18:13Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,

amepaonea shauku pawe maskani yake:

14132:14 Za 80:1; 68:16; 2Sam 6:2“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

15132:15 Za 107:9; 147:14Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

nitashibisha maskini wake kwa chakula.

16132:16 2Nya 6:41; Ay 8:21; Za 149:5Nitawavika makuhani wake wokovu,

nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

17132:17 1Sam 2:10; Za 18:28; 84:9; 92:10; Eze 29:21; Lk 1:69; 1Fal 11:36; 2Fal 8:19; 2Nya 21:7“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,132:17 Pembe inawakilisha nguvu.

na kuweka taa kwa ajili ya masiya132:17 Masiya yaani mpakwa mafuta. wangu.

18132:18 Ay 8:22; 2Sam 12:30Adui zake nitawavika aibu,

bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”