다윗과 여호와의 성전
(성전에 올라가는 노래)
1여호와여,
다윗과 그가 당한
모든 시련을 기억하소서.
2여호와여, 그가 한
약속을 기억하소서.
그가 야곱의 전능하신 하나님께
이런 서약을 하였습니다.
3“내가 내 집이나 침실에
들어가지 않을 것이며
4졸거나 잠을 자지 않을 것이니
5여호와의 성소,
곧 야곱의 전능하신 하나님이
계실 집을 마련하기까지
하리라.”
6우리가 132:6 또는 ‘에브라다’베들레헴에서
법궤에 대한 말을 들었고
그것을 기럇-여아림의
밭에서 찾았다.
7여호와의 집으로 가서
그 앞에 경배하자.
8여호와여, 일어나셔서
주의 능력의 상징인 법궤와 함께
132:8 또는 ‘평안한 곳으로’주의 성소로 들어가소서.
9주의 제사장들은 의의 옷을 입고
주의 성도들은
기쁨으로 노래하게 하소서.
10주의 종 다윗을 생각해서라도
주께서 기름 부어 세운 왕을
물리치지 마소서.
11주께서 다윗에게
엄숙하게 약속하셨으니
이 약속을
취소하지 못하실 것입니다.
“나는 네 아들 중 하나를
네 왕위에 앉히리라.
12만일 네 아들들이 내 계약과
내가 그들에게 가르치는
법을 지키면
그들의 자손들도 계속
너를 이어
왕위에 앉을 것이다.”
13여호와께서 시온을 택하시고
그 곳을 자기 거처로
삼고자 말씀하셨다.
14“이 곳은 내가 영원히 쉴 곳이니
내가 여기 머물 것은
이것을 원하였음이라.
15내가 이 성이 필요로 하는 것을
풍족하게 공급해 주고
가난한 자들을
양식으로 만족하게 하리라.
16내가 그 제사장들에게
구원의 옷을 입힐 것이니
그 성도들이 기쁨으로 노래하리라.
17내가 132:17 또는 ‘다윗에게 뿔이 나게 할 것이라’다윗의 후손 가운데 하나를
위대한 왕이 되게 할 것이니
내가 기름 부은 자를 위해
등을 예비하리라.
18내가 그의 원수들에게는
수치로 옷을 입히고
그에게는 면류관을 씌워
빛나게 하리라.”
Zaburi 132
Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni
Wimbo wa kwenda juu.
1Ee Bwana, mkumbuke Daudi
na taabu zote alizozistahimili.
2132:2 Mwa 49:24; Isa 49:26; 60:16Aliapa kiapo kwa Bwana
na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
3132:3 2Sam 7:2, 27“Sitaingia nyumbani mwangu
au kwenda kitandani mwangu:
4132:4 Rut 3:18sitaruhusu usingizi katika macho yangu,
wala kope zangu kusinzia,
5132:5 1Fal 8:17; Mdo 7:46mpaka nitakapompatia Bwana mahali,
makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
6132:6 1Sam 7:2; 17:12; Yos 9:17; 18:1; 1Nya 13:5Tulisikia habari hii huko Efrathi,
tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:132:6 Yaani Kiriath-Yearimu.
7132:7 2Sam 15:25; Za 5:7; 122:1; 1Nya 28:2“Twendeni kwenye makao yake,
na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
8132:8 Hes 10:35inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,
wewe na Sanduku la nguvu zako.
9132:9 Ay 27:6; Zek 3:4; Isa 61:3, 10; Mal 3:3; Ay 29:14Makuhani wako na wavikwe haki,
watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,
usimkatae mpakwa mafuta wako.
11132:11 Za 89:3-4, 35; 1Nya 17:11-14; Mt 1:1; Lk 3:31Bwana alimwapia Daudi kiapo,
kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:
“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe
katika kiti chako cha enzi,
12132:12 2Nya 6:16; Za 25:10; Lk 1:32; Mdo 2:30kama wanao watashika Agano langu
na sheria ninazowafundisha,
ndipo wana wao watarithi
kiti chako cha enzi milele na milele.”
13132:13 Kut 15:17; Za 48:1, 2; 68:16; 1Fal 18:13Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,
amepaonea shauku pawe maskani yake:
14132:14 Za 80:1; 68:16; 2Sam 6:2“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;
hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
15132:15 Za 107:9; 147:14Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:
nitashibisha maskini wake kwa chakula.
16132:16 2Nya 6:41; Ay 8:21; Za 149:5Nitawavika makuhani wake wokovu,
nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
17132:17 1Sam 2:10; Za 18:28; 84:9; 92:10; Eze 29:21; Lk 1:69; 1Fal 11:36; 2Fal 8:19; 2Nya 21:7“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,132:17 Pembe inawakilisha nguvu.
na kuweka taa kwa ajili ya masiya132:17 Masiya yaani mpakwa mafuta. wangu.
18132:18 Ay 8:22; 2Sam 12:30Adui zake nitawavika aibu,
bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”