시편 129 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 129:1-8

이스라엘의 원수에 대한 기도

(성전에 올라가는 노래)

1이스라엘이 말한다.

“내가 어렸을 때부터

내 원수들이 나를

몹시 괴롭게 하였다.

2그들이 나를 무척 괴롭혔으나

나를 이기지 못하였다.

3그들이 밭을 갈듯이 내 등을 갈아

긴 이랑을 만들었으나

4여호와는 의로우신 분이시므로

나를 잡아맨 악인의 줄을

끊어 버리셨다.”

5시온을 미워하는 자들은

다 수치를 당하고

물러가기를 원하노라.

6그들은 지붕 위에 자라는

풀과 같아서

자라기도 전에 말라 버리는구나.

7그것은 베는 자의 손과

묶는 자의 품에 차지도 않는다.

8지나가는 자들이

“여호와께서

너를 축복하시기 원한다.

우리가 여호와의 이름으로

너를 축복한다”

하고 말하지 않기를 원하노라.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 129:1-8

Zaburi 129

Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli

Wimbo wa kwenda juu.

1129:1 Kut 1:13; Eze 23:3; Za 88:15; 124:1; Hos 2:15Wamenionea mno tangu ujana wangu;

Israeli na aseme sasa:

2129:2 Yer 1:19; 15:20; 20:11wamenionea mno tangu ujana wangu,

lakini bado hawajanishinda.

3129:3 Ebr 11:26Wakulima wamelima mgongo wangu,

na kufanya mifereji yao mirefu.

4129:4 Kut 9:27; 2The 1:6; Za 37:9; 140:5Lakini Bwana ni mwenye haki;

amenifungua toka kamba za waovu.

5129:5 Mik 4:11; Za 70:2Wale wote waichukiao Sayuni

na warudishwe nyuma kwa aibu.

6129:6 Isa 37:27; 2Fal 19:26; Za 102:11; 37:2; Yer 17:5-6Wawe kama majani juu ya paa,

ambayo hunyauka kabla hayajakua;

7129:7 Kum 28:38; Za 79:12kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

wala akusanyaye kujaza mikono yake.

8129:8 Za 118:26; Rut 2:4Wale wapitao karibu na wasiseme,

“Baraka ya Bwana iwe juu yako;

tunakubariki katika jina la Bwana.”