시편 118 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 118:1-29

여호와의 선하심과 사랑에 대한 감사

1여호와께 감사하라.

그는 선하시고

그의 사랑은 영원하다.

2이스라엘아, 말하라.

“그의 사랑은 영원하다” 고.

3아론의 제사장들아, 말하라.

“그의 사랑은 영원하다” 고.

4여호와를 두려워하는

자들아, 말하라.

“그의 사랑은 영원하다” 고.

5내가 고통 가운데서

여호와께 부르짖었더니

그가 나에게 응답하시고

나를 자유롭게 하셨다.

6여호와께서 나와 함께하시니

내가 두려워하지 않으리라.

사람에 불과한 자가

나를 어떻게 하겠는가?

7여호와께서 나와 함께하셔서

나를 도우시니

내 원수들이 패하는 것을

내가 보리라.

8여호와를 신뢰하는 것이

사람을 의지하는 것보다 낫고

9여호와를 신뢰하는 것이

118:9 또는 ‘방백들을’권세 있는 자를

의지하는 것보다 낫다.

10적국들이 사방에서

나를 둘러싸고 있으나

내가 여호와의 이름으로

그들을 물리치리라.

11그들이 겹겹으로 나를 둘러쌌으나

내가 여호와의 이름으로

그들을 물리치리라.

12그들이 벌떼처럼 몰려들어

나를 포위하나

불에 타는 가시덤불처럼

급히 소멸될 것이니

내가 여호와의 이름으로

그들을 멸하리라.

13내 원수가 나를 죽이려 하였으나

여호와는 나를 도우셨다.

14여호와는 나의 능력과 찬송이시며

내 구원이 되셨다.

15성도의 집에

구원의 즐거운 소리가 있구나.

“여호와의 오른손이

권능을 행하셨다!

16여호와의 오른손이 높이 들렸으며

여호와의 오른손이

권능을 행하셨다!”

17내가 죽지 않고 살아서

여호와께서 행하신 일을

선포하리라.

18여호와께서

나를 엄하게 벌하셨으나

나를 죽게 하지는 않으셨다.

19의의 문을 열어라.

내가 들어가서

여호와께 감사하리라.

20이것은 여호와의 문이므로

의로운 자들만 들어가리라.

21여호와여, 주께서

나에게 응답하시고

나를 구원하셨으므로

내가 주께 감사하겠습니다.

22건축자들이 버린 돌이

집 모퉁이의 머릿돌이 되었으니

23이것은 여호와께서 행하신 것이요

우리 눈에 신기한 일이다.

24여호와께서 이 날을 정하셨으니

우리가 다 기뻐하고 즐거워하리라.

25여호와여, 우리를 구원하소서!

여호와여, 우리에게

성공을 주소서!

26여호와의 이름으로 오는 자가

복이 있으니

우리가 여호와의 집에서

너희를 축복하였다.

27여호와는 하나님이시다.

그가 우리에게 빛을 주셨다.

118:27 또는 ‘줄로 희생제물을 제단 뿔에 맬지어다’너희는 손에 나뭇가지를 들고

제단까지 축제 행렬을 벌여라.

28주는 나의 하나님이시니

내가 주께 감사드립니다.

주는 나의 하나님이시니

내가 주를 찬양합니다.

29여호와께 감사하라.

그는 선하시고

그의 사랑은 영원하다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 118:1-29

Zaburi 118

Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi

1118:1 1Nya 16:8; Ezr 3:11; 2Nya 7:3; 5:13Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;

upendo wake wadumu milele.

2118:2 Za 115:9; 106:1; 136:1-26Israeli na aseme sasa:

“Upendo wake wadumu milele.”

3118:3 Kut 30:30; Za 115:10Nyumba ya Aroni na iseme sasa:

“Upendo wake wadumu milele.”

4118:4 Za 115:11Wote wamchao Bwana na waseme sasa:

“Upendo wake wadumu milele.”

5118:5 Za 18:6; 31:7; 77:2; 120:1; 118:21; 34:4; 86:7; 116:1; 138:3Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana,

naye akanijibu kwa kuniweka huru.

6118:6 Kum 31:6; Ebr 13:5; Za 56:5Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa.

Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

7118:7 Kum 33:29; Ebr 13:6; Za 54:4Bwana yuko pamoja nami,

yeye ni msaidizi wangu.

Nitawatazama adui zangu

wakiwa wameshindwa.

8118:8 Yer 17:5, 7; Za 9:9; 62:8; 5:11; 37:3; 40:4; 108:12; Isa 25:4; 57:13; 2:22; 2Nya 32:7-8Ni bora kumkimbilia Bwana

kuliko kumtumainia mwanadamu.

9118:9 Za 146:3; Isa 30:2, 3Ni bora kumkimbilia Bwana

kuliko kuwatumainia wakuu.

10118:10 Za 37:9Mataifa yote yalinizunguka,

lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.

11118:11 Za 88:17; 3:6Walinizunguka pande zote,

lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.

12118:12 Mhu 7:6; Za 58:9; 37:9; Kum 1:44Walinizunguka kama kundi la nyuki,

lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo;

kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.

13118:13 Za 118:7; 86:17; 2Nya 18:31Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,

lakini Bwana alinisaidia.

14118:14 Kut 15:2; Za 62:2Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu,

yeye amefanyika wokovu wangu.

15118:15 Ay 8:21; Lk 1:51; Za 106:5; 89:13; 108:6; Kut 15:6Sauti za shangwe na ushindi

zinavuma hemani mwa wenye haki:

“Mkono wa kuume wa Bwana

umetenda mambo makuu!

16118:16 Kut 15:6Mkono wa kuume wa Bwana

umeinuliwa juu,

mkono wa kuume wa Bwana

umetenda mambo makuu!”

17118:17 Hab 1:12; Za 6:5; 64:9; 71:16; 73:28; Kum 32:3Sitakufa, bali nitaishi,

nami nitatangaza yale Bwana aliyoyatenda.

18118:18 Yer 31:18; Ebr 12:5; 1Kor 11:32; Za 86:13; Mit 3:11, 12Bwana ameniadhibu vikali,

lakini hakuniacha nife.

19118:19 Isa 26:2; Za 24:7; 100:4Nifungulie malango ya haki,

nami nitaingia na kumshukuru Bwana.

20118:20 Ufu 22:14; Za 122:1, 2; 15:1, 2; 24:3-4Hili ni lango la Bwana

ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.

21118:21 Za 118:5; 27:1Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,

umekuwa wokovu wangu.

22118:22 Mdo 4:11; Isa 8:14; 17:10; 19:13; 28:16; Mt 21:42; Lk 20:17; Zek 4:7; 10:4; Mk 12:10; 1Pet 2:7; Efe 2:20Jiwe walilolikataa waashi,

limekuwa jiwe kuu la pembeni.

23118:23 Ay 5:9; Mt 21:42; Mk 12:11Bwana ametenda hili,

nalo ni la kushangaza machoni petu.

24118:24 Za 70:4; 2Kor 6:2Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya,

tushangilie na kufurahi ndani yake.

25118:25 Za 28:9; 116:4Ee Bwana, tuokoe,

Ee Bwana, utujalie mafanikio.

26118:26 Zek 4:7; Mt 11:3; 21:9; 23:39; Mk 11:9; Lk 13:35; 19:38; Yn 12:13; Za 129:8Heri yule ajaye kwa jina la Bwana.

Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.

27118:27 Za 27:1; Mal 4:2; Isa 60:1; 58:10; 19:20; 1Fal 18:21; 1Pet 2:9; Mik 7:9; Law 23:40; Es 8:2; Kut 27:2Bwana ndiye Mungu,

naye ametuangazia nuru yake.

Mkiwa na matawi mkononi,

unganeni kwenye maandamano ya sikukuu

hadi kwenye pembe za madhabahu.

28118:28 Mwa 28:21; Za 16:2; 63:1; Isa 25:1; Kut 15:2Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,

wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.

29Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;

upendo wake wadumu milele.