시편 104 – KLB & NEN

Korean Living Bible

시편 104:1-35

창조자 하나님을 찬양하라

1내 영혼아,

여호와를 찬양하라!

여호와 나의 하나님이시여,

주는 아주 위대하셔서

위엄과 영광의 옷을 입으셨습니다.

2주께서 옷을 입듯이

빛을 두르시고

하늘을 천막처럼 치시며

3창공의 물 위에 주의 집을 세우시고

구름을 수레로 이용하시며

바람 날개를 타시고

4바람을 주의 사자로 삼으시고

불꽃을 주의 종으로 삼으셨습니다.

5주께서는 땅의 기초를

굳게 세우셔서

그것이 요동하지 않게 하셨습니다.

6주께서 옷을 입히시듯이

땅을 바다로 덮으셨으므로

물이 산 위로 올라왔습니다.

7주의 책망에 물이 도망하고

우뢰 같은 주의 명령 소리에

물이 달아나

8주께서 정한 곳으로 돌아갔으며

산은 오르고

골짜기는 내려갔습니다.

9주께서 물의 경계를 정하셔서

넘치지 못하게 하시고

다시 돌아와

땅을 덮지 못하게 하셨습니다.

10그가 골짜기에서 샘물이 솟아나와

산 사이로 흐르게 하셔서

11들짐승에게 물을 주시니

들나귀가 갈증을 풀며

12공중의 새들이

물가에 보금자리를 만들고

나뭇가지에서 노래하는구나.

13그가 산에 비를 내리시므로

땅에 열매가 가득하다.

14그는 가축을 위해

풀이 자라게 하시고

사람이 먹을 채소가 자라게 하시며

땅에서 곡식이 나게 하시고

15사람의 마음을

기쁘게 하는 포도주와

사람의 얼굴에

윤기가 흐르게 하는 기름과

사람에게 힘을 주는 식물을 주셨다.

16여호와의 나무들이

물을 충분히 흡수하여 잘 자라니

그가 심은 레바논의 백향목에

17새들이 보금자리를 만들고

황새가 잣나무에 집을 짓는구나.

18높은 산은 들염소가 사는 곳이며

바위산은 너구리의 피난처이다.

19달은 계절을 구분하고

해는 지는 곳을 안다.

20그가 흑암을 보내 밤이 되게 하시니

숲속의 모든 짐승들이

기어나오는구나.

21젊은 사자가 먹이를 찾아

으르렁거리며

하나님께 양식을 구하다가

22해가 돋으면 슬그머니 물러나

굴에 가서 눕고

23사람은 그때 나와 일을 하며

저녁까지 수고한다.

24여호와여, 주는 정말

많은 일을 하셨습니다.

주의 지혜로

그 모든 것을 만드셨으니

땅에는 주의 피조물로

가득 찼습니다.

25크고 넓은 바다가 있고

그 안에는 크고 작은 생물들이

수없이 많으며

26배들이 항해하고

주께서 창조하신 104:26 또는 ‘악어가’바다 괴물이

그 속에서 놉니다.

27이 모든 것들이 주께서 제때에

먹이 주시기를 기다립니다.

28주께서 먹이를 주시면

그들이 그것을 먹고

주께서 손을 펴시면

그들이 좋은 것으로 만족하다가

29주께서 낯을 숨기시면

그들이 두려워하고

주께서 그들의 호흡을

뺏어 가시면

그들은 죽어

본래의 흙으로 돌아갑니다.

30주께서 104:30 또는 ‘호흡을’주의 영을 보내시므로

새로운 생명이 탄생하여

지면을 새롭게 합니다.

31여호와의 영광이

영원히 지속되며

여호와께서 그 행하신 일로

기뻐하시기를 원하노라.

32그가 땅을 보시자 땅이 떨고

산에 접촉하시자

산이 연기를 내는구나.

33내가 일평생 여호와께 노래하며

내가 사는 날 동안

내 하나님을 찬양하리라.

34여호와는

내 기쁨의 원천이시니

그가 나의 이 모든 생각을

기쁘게 여기시기를 원하노라.

35그러나 죄인은 땅에서 소멸되고

다시는 악인이 없기를 바라노라.

내 영혼아, 여호와를 찬양하고

여호와를 찬양하라!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 104:1-35

Zaburi 104

Kumsifu Muumba

1104:1 Za 103:22; Ay 40:10Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana,

umejivika utukufu na enzi.

2104:2 Yer 43:12; 51:15; 1Tim 6:16; Ay 9:8; 37:18; Isa 44:24; 49:18, 22; 42:5; 40:22; Zek 12:1; Za 18:12; 19:4Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi,

amezitandaza mbingu kama hema

3104:3 Amo 9:6; Za 18:10; 24:2; Kum 33:26; Isa 19:1; Nah 1:3; 2Fal 12:11na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji.

Huyafanya mawingu kuwa gari lake,

na hupanda kwenye mbawa za upepo.

4104:4 Za 148:8; Mwa 3:24; 2Fal 2:11; Ebr 1:7Huzifanya pepo kuwa wajumbe104:4 Au: malaika. wake,

miali ya moto watumishi wake.

5104:5 Kut 31:17; Ay 26:7; Za 24:1, 2; 121:2; 102:25; 1Sam 2:8Ameiweka dunia kwenye misingi yake,

haiwezi kamwe kuondoshwa.

6104:6 Mwa 7:19; 1:2; 2Pet 3:6Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,

maji yalisimama juu ya milima.

7104:7 Za 18:15; 29:3; Kut 9:23Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,

kwa sauti ya radi yako yakatoroka,

8104:8 Za 33:7; Ay 38:10yakapanda milima, yakateremka mabondeni,

hadi mahali pale ulipoyakusudia.

9104:9 Yer 5:22; Za 16:6; 33:7; Ay 26:10; Mwa 1:9; 9:11Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,

kamwe hayataifunika dunia tena.

10104:10 Za 107:33; Isa 41:16Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni,

hutiririka kati ya milima.

11104:11 Za 104:13; Mwa 16:12; Isa 32:14; Yer 14:6Huwapa maji wanyama wote wa kondeni,

punda-mwitu huzima kiu yao.

12104:12 Za 104:17; Mt 8:20; 13:32Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji,

huimba katikati ya matawi.

13104:13 Za 135:7; 147:8; Yer 10:13Huinyeshea milima kutoka orofa zake,

dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.

14104:14 Ay 38:27; 28:5; Mwa 1:30; Za 147:8; 136:25Huyafanya majani ya mifugo yaote,

na mimea kwa watu kulima,

wajipatie chakula kutoka ardhini:

15104:15 Mwa 14:18; Amu 9:13; Za 23:5; 92:10; Lk 7:46; Kum 8:3; Mit 31:6, 7; Yer 12:12; Mk 14:23; Mhu 10:19; Yn 2:9, 10divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu,

mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake,

na mkate wa kutia mwili nguvu.

16104:16 Mwa 1:11; Za 29:5; 72:16; Hes 24:6Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri,

mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.

17104:17 Za 104:12Humo ndege hufanya viota vyao,

korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.

18104:18 Mit 30:26; Kum 14:5Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu,

majabali ni kimbilio la pelele.

19104:19 Mwa 1:14; Za 19:6; Ay 38:12Mwezi hugawanya majira,

na jua hutambua wakati wake wa kutua.

20104:20 Isa 45:7; Amo 5:8; Za 74:16; 50:10Unaleta giza, kunakuwa usiku,

wanyama wote wa mwituni huzurura.

21104:21 Amo 3:4; Za 145:15; Mt 6:26; Yoe 1:20Simba hunguruma kwa mawindo yao,

na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.

22104:22 Za 37:8Jua huchomoza, nao huondoka,

hurudi na kulala katika mapango yao.

23104:23 Mwa 3:19; Amu 19:16Kisha mwanadamu huenda kazini mwake,

katika kazi yake mpaka jioni.

24104:24 Mwa 1:31; 1:20-22; Za 40:5; 24:1; 50:10, 11Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi!

Kwa hekima ulizifanya zote,

dunia imejaa viumbe vyako.

25104:25 Za 69:34; Eze 47:10Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele,

imejaa viumbe visivyo na idadi,

vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.

26104:26 Za 107:23; Eze 27:9; Yon 1:3; Ay 41:1; 40:20; Mwa 1:21Huko meli huenda na kurudi,

pia Lewiathani,104:26 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. uliyemuumba acheze ndani yake.

27104:27 Ay 36:31; Za 147:9; 145:15; Rum 11:36Hawa wote wanakutazamia wewe,

uwape chakula chao kwa wakati wake.

28104:28 Isa 58:11; Za 103:5; 145:16Wakati unapowapa,

wanakikusanya,

unapofumbua mkono wako,

wao wanashibishwa mema.

29104:29 Kum 31:17; Ay 7:21; Mhu 12:7Unapoficha uso wako,

wanapata hofu,

unapoondoa pumzi yao,

wanakufa na kurudi mavumbini.

30104:30 Mwa 1:2; Isa 32:15Unapopeleka Roho wako,

wanaumbwa,

nawe huufanya upya uso wa dunia.

31104:31 Kut 40:35; Rum 11:36; Mwa 1:4; Za 8:1Utukufu wa Bwana na udumu milele,

Bwana na azifurahie kazi zake:

32104:32 Kut 19:18; Hab 3:10; Za 97:4; 144:5yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka,

aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.

33104:33 Kut 15:1; Za 108:1Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote;

nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.

34104:34 Za 2:11; 9:2; 32:11Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye,

ninapofurahi katika Bwana.

35104:35 Ay 7:10; Za 28:6; 37:38; 105:45; 106:48Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia

na waovu wasiwepo tena.

Ee nafsi yangu, msifu Bwana.

Msifuni Bwana.104:35 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.