스가랴 9 – KLB & NEN

Korean Living Bible

스가랴 9:1-17

이스라엘의 인접국들에 대한 심판

1여호와께서 하드락 땅과 다마스커스에 형벌의 말씀을 선언하셨다. 이것은 여호와의 눈이 이스라엘뿐만 아니라 온 인류를 지켜 보고 계시기 때문이다.

2하드락에 인접한 하맛에도 여호와의 형벌이 내릴 것이며 두로와 시돈이 지혜로울지라도 그들에게 형벌이 내릴 것이다.

3두로는 자기를 위해 요새를 만들고 은을 티끌같이, 금을 거리의 진흙같이 쌓았다.

4그러나 주께서 그의 모든 소유를 빼앗을 것이며 그 부를 바다에 던질 것이므로 그가 소멸될 것이다.

5아스글론이 이것을 보고 두려워하며 가사가 괴로워 몸부림칠 것이요 에그론도 그 기대가 무너졌으므로 두려워 떨 것이다. 가사에는 왕이 끊어지고 아스글론에는 주민이 없을 것이며

6아스돗에는 혼합 민족이 살 것이다. 여호와께서 말씀하신다. “내가 블레셋 사람의 교만을 꺾어 버리고

7그들의 입에서 피를 제하며 그 이 사이에서 우상의 제물을 끄집어내겠다. 9:7 또는 ‘그도 남아서 우리 하나님께로 돌아와서’살아 남은 자들이 내 백성의 일부가 되어 유다의 지도자처럼 될 것이며 에그론은 여부스 사람같이 될 것이다.

8내가 내 집 주변에 진을 쳐서 적군을 막아 그리로 왕래하지 못하게 하겠다. 폭군이 다시는 내 백성을 괴롭히지 못할 것이다. 나는 내 백성이 당하는 고통을 목격하였다.”

앞으로 오실 시온의 왕

9시온 사람들아, 크게 기뻐하라. 예루살렘 사람들아, 기쁨으로 외쳐라. 보라, 너희 왕이 너희에게 나아간다. 그는 의로우신 분이며 구원을 베푸시는 분이시다! 그가 겸손하여 나귀를 탔으니 어린 나귀, 곧 나귀 새끼이다.

10여호와께서 말씀하신다. “내가 에브라임에서 전차를 없애고 예루살렘에서 말을 제거하며 전투용 활을 꺾어 버리겠다. 9:10 원문에는 ‘그가’너희 왕이 온 세상에 평화를 전할 것이요 바다에서 바다까지 다스릴 것이며 유프라테스강에서부터 땅 끝까지 다스릴 것이다.

11“내가 너희와 피로 맺은 계약을 생각해서 너희 갇힌 자들을 물 없는 구덩이에서 구출하겠다.

12희망을 가진 포로들아, 너희는 너희 요새로 돌아오너라. 내가 지금 너희에게 말하지만 9:12 암시됨.너희가 당한 고통에 대해서 내가 두 배의 축복으로 갚아 주겠다.

13내가 유다를 내 활처럼 사용하고 에브라임을 내 화살처럼 사용할 것이며 시온 사람들을 내 칼처럼 사용하여 그리스 사람을 치게 하겠다.”

14여호와께서 그들 위에 나타나셔서 그 화살을 번개같이 쏘아대실 것이며 주 여호와께서 나팔을 부시고 남방의 폭풍을 타고 나아가실 것이다.

159:15 본절은원문의뜻이분명치않다.전능하신 여호와께서 자기 백성을 보호하실 것이다. 그들이 자기 원수들을 멸망시키고 발로 짓밟고 술 취한 사람처럼 함성을 지르며 그 원수들을 무자비하게 죽일 것이니 그들의 피가 제물의 피처럼 흘러 제단 모퉁이를 적시듯 땅을 적실 것이다.

16그 날에 그들의 하나님 여호와께서 목자가 자기 양떼를 구출하듯 자기 백성을 구원하실 것이므로 그들이 면류관의 보석처럼 여호와의 땅에서 빛날 것이다.

17그들의 매력과 아름다움이 얼마나 크겠는가! 9:17 또는 ‘소년은곡식으로강건하며처녀는새포도주로그러하리로 다’곡식과 새 포도주가 풍부하므로 젊은 남녀가 다 건강할 것이다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 9:1-17

Hukumu Juu Ya Adui Za Israeli

1Neno:

9:1 Isa 17:1; Amo 1:5; Za 145:15Neno la Bwana liko kinyume na nchi ya Hadraki

na Dameski itakuwa mahali pa kupumzika,

kwa kuwa macho ya watu na ya kabila zote

za Israeli yako kwa Bwana,

29:2 Yer 49:23; Eze 28:1-19; Mwa 10:15; Amo 1:9; Oba 1:20pia juu ya Hamathi inayopakana nayo,

juu ya Tiro na Sidoni,

ingawa wana ujuzi mwingi sana.

39:3 Ay 27:16; Eze 28:4Tiro amejijengea ngome imara,

amelundika fedha kama mavumbi

na dhahabu kama taka za mitaani.

49:4 Isa 23:1, 11; Yer 25:22; Eze 26:3-5; 27:32-36; 28:18Lakini Bwana atamwondolea mali zake

na kuuangamiza uwezo wake wa baharini,

naye atateketezwa kwa moto.

59:5 Yer 47:5; Sef 2:5; Mdo 8:26Ashkeloni ataona hili na kuogopa;

Gaza atagaagaa kwa maumivu makali,

pia Ekroni, kwa sababu

matumaini yake yatanyauka.

Gaza atampoteza mfalme wake

na Ashkeloni ataachwa pweke.

69:6 Isa 14:30Wageni watakalia mji wa Ashdodi,

nami nitakatilia mbali kiburi cha Wafilisti.

79:7 Ay 25:2; Yoe 3:4; Sef 2:4; Yer 47:1Nitaondoa damu vinywani mwao,

chakula kile walichokatazwa kati ya meno yao.

Mabaki yao yatakuwa mali ya Mungu wetu,

nao watakuwa viongozi katika Yuda,

naye Ekroni atakuwa kama Wayebusi.

89:8 Isa 26:1; 52:1; 54:14; Zek 14:21; Yoe 3:17; Kum 33:27; Za 34:7; Kut 3:7Lakini nitailinda nyumba yangu

dhidi ya majeshi ya wanyangʼanyi.

Kamwe mdhalimu hatashambulia watu wangu tena,

kwa maana sasa ninawachunga.

Kuja Kwa Mfalme Wa Sayuni

99:9 Isa 62:11; 9:6-7; 43:3-11; 1Fal 1:39; Za 24:7; 149:2; Mik 4:8; Yer 23:5-6; Sef 3:14-15; Zek 2:10; Mwa 49:11; Mt 21:5; 1Fal 1:33; Yn 12:15; 1:49; Lk 19:38; Mdo 22:14; 1Pet 3:18Shangilia sana, ee Binti Sayuni!

Piga kelele, Binti Yerusalemu!

Tazama, Mfalme wako anakuja kwako,

ni mwenye haki, naye ana wokovu,

ni mpole, naye amepanda punda,

mwana-punda, mtoto wa punda.

109:10 Mik 4:3; 5:10; Hos 1:7; 2:18; Zek 10:4; Isa 2:4; Za 72:8; Isa 11:10; Efe 2:14; Kol 1:20-21; Za 2:8; Isa 9:6-7; Mik 5:4; Ufu 11:15Nitaondoa magari ya vita kutoka Efraimu

na farasi wa vita kutoka Yerusalemu,

nao upinde wa vita utavunjwa.

Atatangaza amani kwa mataifa.

Utawala wake utaenea kutoka bahari hadi bahari,

na kutoka Mto Frati hadi mwisho wa dunia.

119:11 Kut 24:8; Mt 26:28; Lk 22:20; Isa 10:4; 42:7; Yer 38:6; Isa 61:1Kwako wewe, kwa sababu ya damu ya Agano langu nawe,

nitawaacha huru wafungwa wako

watoke kwenye shimo lisilo na maji.

129:12 Yoe 3:16; Isa 40:2; Kum 21:17Rudieni ngome yenu, enyi wafungwa wa tumaini;

hata sasa ninatangaza kwamba

nitawarejesheeni maradufu.

139:13 2Sam 22:25; Isa 49:2; Yoe 3:6; Yer 51:20Nitampinda Yuda kama nipindavyo upinde wangu,

nitamfanya Efraimu mshale wangu.

Nitawainua wana wako, ee Sayuni,

dhidi ya wana wako, ee Uyunani,

na kukufanya kama upanga wa shujaa wa vita.

Bwana Atatokea

14Kisha Bwana atawatokea;

mshale wake utamulika

kama umeme wa radi.

Bwana Mwenyezi atapiga tarumbeta,

naye atatembea katika tufani za kusini,

159:15 Isa 31:5; 37:35; Zek 12:8; 10:7; 14:3, 20; Kut 27:2; Law 4:25na Bwana Mwenye Nguvu Zote atawalinda.

Wataangamiza na kushinda

kwa mawe ya kutupa kwa kombeo.

Watakunywa na kunguruma kama waliolewa mvinyo;

watajaa kama bakuli linalotumika kunyunyizia

kwenye pembe za madhabahu.

169:16 Isa 10:20; Yer 31:11; Eze 37:23; Mal 3:17; Isa 11:12Bwana Mungu wao atawaokoa siku hiyo

kama kundi la watu wake.

Watangʼara katika nchi yake

kama vito vya thamani kwenye taji.

17Jinsi gani watavutia na kuwa wazuri!

Nafaka itawastawisha vijana wanaume,

nayo divai mpya vijana wanawake.