사무엘상 2 – KLB & NEN

Korean Living Bible

사무엘상 2:1-36

한나의 기도

1한나는 이렇게 기도하였다.

“여호와께서 내 마음을

기쁨으로 채우셨습니다.

여호와께서 나를 축복하시고

높여 주셨으므로 내가 원수들에게

뽐낼 수 있게 되었습니다.

주께서 나를 구해 주셨으니

나는 정말 기쁩니다.

2여호와처럼 거룩하신 이는

아무도 없습니다.

주밖에는 다른 신이 없고,

우리 하나님 같은

2:2 또는 ‘반석’보호자도 없습니다.

3“교만한 자들아,

너무 잘난 체하지 말아라.

거만한 자들아,

너무 우쭐대지 말아라.

여호와는 모든 것을

다 아시는 하나님이시다.

그가 너희 행위를 판단하시리라.

4용사의 활이 꺾이고

연약한 자가 강해졌구나.

5한때 배불리 먹던 자들은

이제 굶주리게 되었고,

지금까지 굶주리던 자들은

이제 주리지 않게 되었다.

자식을 낳지 못하던 자는

일곱을 낳았고

자녀를 많이 둔 자는

자식 없는 신세가 되었네.

6여호와는 죽이기도 하시고

살리기도 하시며,

사람을 2:6 또는 ‘음부’저 세상에 보내기도 하시고

다시 돌아오게도 하신다.

7여호와는 가난하게도 하시고

부하게도 하시며,

낮추기도 하시고 높이기도 하신다.

8그는 가난한 자를

티끌 가운데서 일으키시고

잿더미 가운데서도 일으켜

그들을 귀족처럼 대우하시고

영광의 자리에 앉게 하시는구나.

땅의 기초는 여호와의 것이다.

여호와께서

세계를 그 위에 세우셨네.

9“여호와는 성도들의 발걸음을

지키실 것이나,

악인은 어둠 속에서

말없이 사라지게 하시리라.

사람이 자기 힘만으로는

승리하지 못하는 법.

10여호와를 대적하는 자는

산산이 깨어질 것이니

그가 하늘의 벼락으로

그들을 치시리라.

여호와는 온 세계를 심판하시고

자기가 택한 왕에게 힘을 주시며

2:10 또는 ‘자기의 기름 부음을 받은 자의 뿔을 높이시리로다’기름 부어 세운 자에게

큰 영광을 주시리라.”

11그 후에 엘가나는 라마의 자기 집으로 돌아가고 어린 사무엘은 실로에 머물러 제사장 엘리 밑에서 여호와를 섬겼다.

엘리의 악한 아들들

12엘리의 아들들은 불량배였다. 그들은 여호와를 두렵게 여기지 않았고

13제사법에 관한 규정도 무시하였다. 사람들이 제사를 드리고 고기를 삶으면 그들은 하인을 보내 세 발 달린 쇠갈고리로

14고기 삶는 솥이나 냄비나 가마에 마구 찔러 넣어 갈고리에 걸려 나오는 것은 무엇이든지 가져오게 하였다. 그들은 실로에 제사 드리러 오는 모든 이스라엘 사람들에게 이런 무례한 짓을 하였다.

15이뿐 아니라 그 하인은 단에 제물의 기름을 태우기도 전에 와서 제사장은 삶은 고기를 원치 않는다고 하면서 제사장이 구워 먹을 날고기를 달라고 강요하였다.

16이때 만일 제사 드리는 사람이 “아직 기름을 단에 태우지도 않았는데 그럴 수는 없소. 기름을 태우고 나면 마음대로 가져가도록 하시오” 하면 그 하인은 “안 된다. 지금 당장 내놓아라. 그렇지 않으면 강제로 빼앗아 가겠다” 하고 으름장을 놓기가 일쑤였다.

17엘리의 아들들이 짓는 이 죄가 여호와께서 보시기에 매우 컸던 것은 그들이 여호와께 드리는 백성들의 제사를 멸시하였기 때문이었다.

실로에서 섬기는 사무엘

18사무엘은 아직 어렸지만 제사장처럼 고운 모시 2:18 앞판과뒷판으로된앞치마비슷한제사장의예복.에봇을 입고 여호와를 섬겼다.

19해마다 그의 어머니는 자기 남편과 함께 제사를 드리러 올 때 작은 겉옷을 만들어 가지고 와서 사무엘에게 입혀 주었다.

20그들이 집으로 돌아가기 전에 언제나 엘리는 엘가나와 한나에게 축복하고 그들이 여호와께 바친 이 아이를 대신할 다른 자녀를 그들에게 주도록 하나님께 기도하였다.

21그래서 여호와께서는 한나에게 복을 내리셔서 세 아들과 두 딸을 더 주셨으며 한편 사무엘도 여호와 앞에서 무럭무럭 자라고 있었다.

엘리 집안에 대한 예언

22이제 엘리는 나이가 많아 늙은 노인이 되었다. 그가 자기 주변에서 일어나는 모든 일과 자기 아들들이 성막 입구에서 일을 돕고 있는 젊은 여자들을 유혹하여 그들과 잠자리를 같이했다는 소문을 듣고

23자기 아들들을 불러 그들에게 말하였다. “너희가 어째서 이런 짓을 하였느냐? 나는 너희 악한 소행에 대해서 다 듣고 있다.

24내 아들들아, 너희가 이래서 되겠느냐? 내게 들리는 소문이 좋지 않다.

25사람이 사람에게 범죄하면 2:25 또는 ‘재판관’하나님이 그를 위해 중재하시지만 사람이 여호와께 범죄하면 누가 그를 위해 중재하겠느냐?” 그러나 그들은 자기 아버지의 권면을 듣고도 그 말에 귀를 기울이지 않았다. 이것은 여호와께서 이미 그들을 죽이기로 작정하셨기 때문이었다.

26어린 사무엘은 점점 자라면서 여호와와 사람들에게 더욱 총애를 받았다.

27어느 날 한 예언자가 엘리에게 와서 다음과 같은 여호와의 말씀을 전해 주었다. “너희 조상들이 이집트에서 노예 생활을 할 때 내가 그들에게 나타나지 않았느냐?

28내가 이스라엘 모든 지파 중에서 특별히 너의 조상 아론을 택하여 나의 제사장으로 삼고 그로 내 단에 제물을 드리게 하며 향을 피우게 하고 나를 섬길 때에 에봇을 입게 하지 않았느냐? 그리고 내가 그 희생의 제물을 너희 제사장들에게 주어 먹게 하였다.

29그런데 어째서 너희는 나에게 가져오는 다른 제물까지 그렇게 탐하느냐? 어째서 너는 나보다 너의 아들들을 더 소중히 여기느냐? 너희가 내 백성이 드리는 제물 중에서 가장 좋은 것으로 자신을 살찌게 하는구나!

30그러므로 이스라엘의 하나님 나 여호와가 말한다. 내가 전에 레위 자손인 너의 집안이 언제나 제사장으로 나를 섬기게 하겠다고 약속하였으나 이제 나는 절대로 그렇게 하지 않겠다. 나는 누구든지 나를 소중히 여기는 자를 소중히 여기고 나를 멸시하는 자를 멸시할 것이다.

31이제 내가 너의 가정과 집안의 젊은 사람들을 쳐서 제 명대로 살지 못하게 하고 네 집안에 노인이 하나도 없게 하겠다.

32내가 이스라엘 백성에게 준 복을 보고 너와 너의 가족은 부러워할 것이며 너희는 환난을 당하고 네 집안에는 영영 노인이 없을 것이다.

33또 살아 남는 자가 있어도 그가 네 눈을 멀게 하고 네 마음을 슬프게 할 것이며 너의 모든 자손들은 젊어서 죽게 될 것이다.

34그리고 홉니와 비느하스가 한날에 죽는 것을 보면 너는 내가 말한 것이 사실임을 알게 될 것이다.

35나는 나를 섬기고 내가 원하는 것을 행하는 충실한 제사장을 세울 것이다. 나는 그의 후손들을 축복할 것이며 그들은 내가 세운 왕 앞에서 항상 제사장으로 섬길 것이다.

36그때 네 후손 중에 살아 남은 자들은 그에게 찾아가서 돈과 먹을 것을 구걸하며 엎드려 ‘나에게도 제사장의 직분을 맡겨 먹는 것이라도 충분히 먹게 해 주십시오’ 하고 말할 것이다.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 2:1-36

Maombi Ya Hana

12:1 Lk 1:46-55; Za 13:5; 33:21; 18:2; 89:17; 148:4; 6:8; Hes 10:35; Zek 10:7; Flp 4:6Kisha Hana akaomba na kusema:

“Moyo wangu wamshangilia Bwana,

katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu.

Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu,

kwa kuwa naufurahia wokovu wako.

22:2 Kut 15:11; 8:10; 33:22; Law 11:44; Isa 40:25; 46:5; Mwa 49:25; Kum 32:37; 2Sam 22:2-32; 23:2-3; Za 31:3; 71:3“Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana,

hakuna mwingine zaidi yako;

hakuna Mwamba kama Mungu wetu.

32:3 Za 17:10; 31:18; 73:8; 75:4; 94:4; Yos 22:22; 1Sam 16:7; 1Fal 8:39; 1Nya 28:9; 2Nya 6:30; Mit 15:11; 24:11-12; Yer 11:20; 17:16“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo

wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi,

kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye,

na kwa yeye matendo hupimwa.

42:4 2Sam 1:27; Za 37:15; 46:9; 76:3; Ay 17:9; Isa 40:31; 41:1; 52:1; 57:10“Pinde za mashujaa zimevunjika,

lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.

52:5 Lk 1:53; Za 113:9; Isa 54:1; Yer 15:9; Gal 4:27Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe

ili kupata chakula,

lakini wale waliokuwa na njaa

hawana njaa tena.

Mwanamke yule aliyekuwa tasa

amezaa watoto saba,

lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi

amedhoofika.

62:6 Kum 32:39; Ay 5:18; Hos 6:1; Yn 5:25-29; 11:25, 26; Ufu 1:18Bwana huua na huleta uhai,

hushusha chini mpaka kaburini2:6 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. na hufufua.

72:7 Kum 8:18; Ay 5:11; 40:12; Za 75:7; Isa 2:12; 13:11; 22:19; Dan 4:37; Za 75:8Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha,

hushusha na hukweza.

82:8 Za 113:7-8; 72:12; 107:41; 145:14; 146:8; 104:5; Mit 8:29; Mt 23:12; 2Sam 7:8; Ay 36:7; 15:7; 38:4; Isa 22:23; 40:12; Yer 10:12; Eze 21:26; Yak 2:5; 1Fal 16:2Humwinua maskini kutoka mavumbini

na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu;

huwaketisha pamoja na wakuu

na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima.

“Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana;

juu yake ameuweka ulimwengu.

92:9 Za 91:12; 121:3; Mit 3:26; 2:8; Ay 10:22; 37:4-5; 38:1; Za 18:13; 29:3; 96:13; 98:9; 18:1; 21:1; 59:16; 89:24; Kum 33:17; Lk 1:69; Isa 66:6; 5:30; 8:22; 59:9; 60:2; Yer 13:16; Amo 5:18-20; Sef 1:14-15; Mt 8:12; 25:31-32; 1Sam 17:47; 2Sam 22:14Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake,

lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza.

“Si kwa nguvu mtu hushinda;

102:10 Za 96:13wale wampingao Bwana

wataharibiwa kabisa.

Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni;

Bwana ataihukumu miisho ya dunia.

“Atampa nguvu mfalme wake,

na kuitukuza pembe

ya mpakwa mafuta wake.”

112:11 Yos 18:25; Hes 16:9; 1Sam 3:1; 2:18Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.

Wana Waovu Wa Eli

122:12 Yer 2:8; 9:6; Kum 13:13; Rum 1:28Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana. 132:13 Kum 18:3; Law 7:29-36; 1Sam 2:12Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake. 142:14 Hes 15:30; Isa 22:14; Yer 7:16; Ebr 10:26-31Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo. 15Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”

162:16 Law 3:3, 14-16; 7:29-34Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”

172:17 Hes 14:11; Yer 7:21; Eze 22:26; Mal 2:7-9; 1Sam 2:22; Rut 1:17; Mt 26:63Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.

182:18 1Sam 22:18; 23:9; 2Sam 6:14; 1Nya 15:27; Mwa 18:25; 1Sam 16:10-12; Ay 1:21; 2:10; Za 39:9Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani. 192:19 1Sam 1:3; Mwa 18:25; 1Sam 18:14; 2Tim 4:22; 1Sam 9:6Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka. 202:20 1Sam 1:27; Lk 2:34; Amu 20:1Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani. 212:21 Mwa 21:1; Amu 13:24; Lk 1:80; 2:40Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.

222:22 Kut 38:8Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania. 23Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu. 24Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana. 252:25 Kut 4:21; 32:10; Yos 11:20; Hes 11:2; 1Sam 3:14; 1Fal 13:6; Ay 9:33; Za 106:30; Isa 1:18; 22:14; Yer 15:1; Ebr 10:26Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.

262:26 Amu 13:24; Lk 2:52; Mit 3:4; Mdo 2:47; Rum 14:18Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.

Unabii Dhidi Ya Nyumba Ya Eli

272:27 Kum 33:1; Amu 13:6; Kut 4:14-16; 1Fal 13:1Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao? 282:28 Kut 28:1; 30:7; 1Sam 22:18; 23:6-9; 30:7; Law 7:35-36; 8:7-8Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli. 292:29 Kum 12:5; Mt 10:37Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’

302:30 Kut 29:19; Za 50:23; 91:15; Mit 8; 17; Isa 53:3; Neh 3:6; Mal 2:9; Yer 18:10; 1Nya 15:2; Za 18:20; 91:14; Yn 5:44; 12:26; 1Pet 1:7; Hes 11:20“Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa. 312:31 1Sam 4:11-18; 22:16-20Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee 322:32 1Sam 4:3; 22:17-20; Yer 7:12-14; 1Fal 2:26-27; Zek 8:4nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee. 332:33 Yer 29:32; Mal 2:12Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.

342:34 Kum 13:4; 1Sam 4:11; 1Fal 13:3“ ‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja. 352:35 1Nya 16:39; 29:22; 2Sam 8:17; 20:25; 1Fal 2:35; 4:4; Eze 44:15-16; 1Sam 10:1; 16:13; 2Sam 2:4; 12:7; 23:1; 1Fal 1:34; Za 89:20Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima. 362:36 Eze 44:10-14; 1Sam 3:12; 1Fal 2:27Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.” ’ ”