사도행전 19 – KLB & NEN

Korean Living Bible

사도행전 19:1-41

에베소에서

1아볼로가 고린도에 있는 동안 바울은 윗 지방을 거쳐 에베소에 왔다. 바울 은 거기서 몇몇 신자들을 만나 물었다.

2“여러분은 믿을 때에 성령을 받았습니까?” “우리는 성령이 있다는 것도 듣지 못했습니다.”

3“그렇다면 여러분은 무슨 19:3 또는 ‘침례’ 세례를 받았습니까?” “요한의 세례입니다.”

4“요한은 회개의 세례를 주면서 사람들에게 자기 뒤에 오시는 분을 믿으라고 했는데 그분이 곧 예수님이십니다.”

5그들은 이 말을 듣고 주 예수님의 이름으로 세례를 받았다.

6바울이 그들에게 손을 얹자 성령이 내려 그들은 방언도 하고 예언도 했는데

7모두 열두 사람쯤 되었다.

8바울은 회당에 들어가 석 달 동안 담대하게 하나님의 나라에 대하여 말하고 사람들과 토론하며 그들을 설득하였다.

9그러나 어떤 사람들은 마음이 굳어 믿으려 하지 않고 오히려 공공연하게 19:9 원문에는 ‘도를’바울의 가르침을 비난하였다. 그래서 바울은 신자들을 데리고 그들을 떠나 날마다 두란노 학원에서 가르쳤다.

10이렇게 두 해를 계속하는 동안 19:10 곧, 소아시아의 서해안 지방아시아에 사는 유대인과 그리스 사람들이 모두 주님의 말씀을 듣게 되었다.

11하나님은 바울을 통해 희한한 기적들을 행하셨다.

12심지어 바울이 사용하던 손수건이나 앞치마를 가져다가 병든 사람에게 대기만 해도 병이 낫고 악한 귀신들이 나갔다.

13이때 몇몇 떠돌이 유대인 무당들도 주 예수님의 이름을 이용하여 귀신들을 쫓아내려고 하였다. 그들은 악한 귀신들에게 “바울이 전하는 예수의 이름으로 내가 너희에게 명령한다. 19:13 암시됨.나오너라” 하고 외쳤다.

14유대인의 대제사장 스게와의 일곱 아들들이 이런 짓을 하였다.

15그러자 악한 귀신이 “나는 예수님도 알고 바울도 아는데 도대체 너희는 누구냐?” 하고 대답하였다.

16그러고서 귀신 들린 사람이 그들에게 달려들어 모두 때려 눕히자 그들은 상처를 입고 벗은 몸으로 그 집에서 도망쳐 나왔다.

17에베소에 사는 유대인들과 그리스 사람들이 이 소문을 듣고 모두 두려워하며 주 예수님의 이름을 높이 찬양하였다.

18그리고 많은 신자들도 찾아와서 자기들이 행한 일을 공적으로 고백하였고

19많은 마술사들도 그들의 마술책을 모아 가지고 와서 사람들이 보는 데서 불태웠는데 그 책값은 무려 19:19 또는 ‘은오만’ (1드라크마는하루의품삯. 하루품삯 10,000원으로계산할경 50,000드라크마 5억원이된다.)50,000드라크마나 되었다.

20이렇게 해서 주님의 말씀은 힘 있게 계속 퍼져나갔다.

에베소의 소동

21그 후에 바울은 마케도니아와 아가야를 거쳐 예루살렘에 올라가기로 결심하고 “내가 거기 갔다가 후에 로마에도 가 봐야겠다” 고 하였다.

22바울은 자기를 돕는 사람 가운데 디모데와 에라스도 두 사람을 마케도니아로 보내고 그는 아시아에 얼마 동안 더 머물러 있었다.

23그 무렵 19:23 원 문에는 ‘이 도로 인하여’사도들이 전한 주님의 말씀 때문에 에베소에 큰 소란이 일어났다.

24거기에 데메드리오라는 은세공인이 있었는데 그는 은으로 아데미 여신의 모조 신전을 만들어 직공들에게 적지 않은 돈벌이를 하게 하였다.

25그가 하루는 직공들과 동업자들을 불러 놓고 이렇게 말하였다. “여러분, 우리는 이 사업으로 잘 살고 있습니다.

26그런데 바울이라는 사람이 사람의 손으로 만든 것은 신이 아니라면서 에베소뿐만 아니라 온 아시아에서 많은 사람들을 설득하여 그들의 마음을 돌려 놓은 것을 여러분도 보고 들었을 줄 압니다.

27이러다가는 우리 사업에 대한 명성을 잃을 위험이 있을 뿐만 아니라 위대한 여신 아데미의 신전도 무가치하게 될 위험이 있습니다. 그렇게 되면 아시아와 온 세계가 섬기는 아데미 여신의 위엄마저 사라져 버릴 것입니다.”

28그들은 이 말을 듣고 화가 머리 끝까지 치밀어 올라 “위대한 에베소의 여신 아데미여!” 하며 고래고래 소리쳤다.

29이 일로 그 도시가 온통 소란해졌으며 군중들이 바울과 같이 다니던 마케도니아 사람 가이오와 아리스다고를 잡아가지고 일제히 연극장으로 달려갔다.

30그때 바울이 군중들 앞에 나가려고 하자 신자들이 못 가게 말렸고

31또 아시아 지방의 로마 관리 중 바울의 몇몇 친구들도 사람을 보내 연극장에 들어가지 말라고 간곡히 말렸다.

32한편 군중들은 왜 모였는지조차 모르고 저마다 떠들어대서 연극장 안이 야단 법석이었다.

33그때 몇몇 유대인들이 알렉산더라는 사람을 군중들 앞에 내세웠다. 그래서 알렉산더가 모두 조용히 하라고 손짓을 하며 변명하려고 하였으나

34군중들은 그가 유대인이라는 것을 알고 일제히 “위대한 에베소의 여신 아데미여!” 하며 약 두 시간 동안이나 외쳐댔다.

35마침내 19:35 헬라어원문에는 ‘서기관’, 또는 ‘율법학자’ 로되어있다.서기장이 나와 군중들을 진정시키고 이렇게 말하였다. “에베소 시민 여러분, 우리 도시가 위대한 여신 아데미의 신전과 하늘에서 내려온 신상의 수호자가 된 것은 모든 사람이 다 아는 일이 아닙니까?

36이것은 부정할 수 없는 사실입니다. 그러므로 여러분은 진정하고 경솔하게 행동하지 마십시오.

37여러분이 끌고 온 이 사람들은 신전의 물건을 훔치지도 않았고 우리 여신을 모독하지도 않았습니다.

38그러므로 데메드리오와 또 함께 온 직공 여러분이 고소할 사람이 있으면 재판할 날도 있고 총독들도 있으니 거기에 가서 고소하도록 하고

39그 밖에 다른 문제가 있으면 합법적인 19:39 헬 ‘에클레시아’ (교회)모임에서 해결짓도록 하십시오.

40아무 이유도 없는 오늘의 이 소란 때문에 우리가 로마 정부로부터 문책당할 위험이 있습니다. 그렇게 된다면 이 불법 집회에 대하여 우리는 변명할 말이 없을 것입니다.”

41이렇게 말하고서 그는 군중들을 해산시켰다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 19:1-41

Paulo Huko Efeso

119:1 Mdo 18:1; 18:19Apolo alipokuwa huko Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso. Huko akawakuta wanafunzi kadhaa, 219:2 Yn 20:22; Mdo 2:38akawauliza, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?”

Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa kuna Roho Mtakatifu.” 319:3 Mdo 18:25Ndipo Paulo akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa ubatizo gani?” Wakajibu, “Kwa ubatizo wa Yohana.”

419:4 Yn 1:7; Mdo 13:24, 25Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohana ulikuwa wa toba, aliwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja baada yake, yaani, Yesu.” 519:5 Mdo 8:16; 2:38Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu. 619:6 Mdo 6:6; 8:17; 2:4; 10:46; Mk 16:17Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akawashukia, nao wakanena kwa lugha mpya na kutabiri. 7Walikuwa kama wanaume kumi na wawili.

819:8 Mdo 9:20; 1:3; 11:26Paulo akaingia katika sinagogi na kunena humo kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu, akijadiliana na watu na kuwashawishi katika mambo ya Ufalme wa Mungu. 919:9 Mdo 14:4; 9:2Lakini baadhi yao walikaidi. Walikataa kuamini, na wakakashifu ujumbe wake mbele ya umati wa watu. Basi Paulo aliachana nao. Akawachukua wanafunzi naye, akahojiana nao kila siku katika darasa la Tirano. 1019:10 Mdo 20:31Jambo hili likaendelea kwa muda wa miaka miwili, kiasi kwamba Wayahudi na Wayunani wote walioishi huko Asia wakawa wamesikia neno la Bwana.

Wana Wa Skewa Wajaribu Kutoa Pepo Mchafu

1119:11 Mdo 8:13Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kwa mkono wa Paulo, 1219:12 Mdo 5:15hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.

1319:13 Mt 12:27; Mk 9:38Basi baadhi ya Wayahudi wenye kutangatanga huku na huko wakitoa pepo wachafu wakajaribu kutumia jina la Bwana Yesu wale wenye pepo wakisema, “Kwa jina la Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo, nakuamuru utoke.” 1419:14 Mdo 23:29; 25:11, 19Wana saba wa Skewa, Myahudi aliyekuwa kiongozi wa makuhani, walikuwa wanafanya hivyo. 1519:15 Mk 1:34; Lk 4:41Lakini pepo mchafu akawajibu, “Yesu namjua na Paulo pia namjua, lakini ninyi ni nani?” 16Kisha yule mtu aliyekuwa na pepo mchafu akawarukia, akawashambulia vikali, akawashinda nguvu wote, wakatoka ndani ya ile nyumba wakikimbia wakiwa uchi na wenye majeraha.

1719:17 Mdo 18:19; 5:5, 11Habari hii ikajulikana kwa Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawajaa wote, nalo jina la Bwana Yesu likaheshimiwa sana. 1819:18 Mt 3:6Wengi wa wale waliokuwa wameamini wakati huu wakaja na kutubu waziwazi kuhusu matendo yao maovu. 19Idadi kubwa ya wale waliofanya mambo ya uganga wakaleta vitabu vyao na kuviteketeza kwa moto hadharani. Walipofanya hesabu ya thamani ya vitabu vilivyoteketezwa ilikuwa drakma 50,00019:19 Drakma ilikuwa ni sarafu ya fedha, thamani yake ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku moja. za fedha. 2019:20 Mdo 6:7; 12:24Hivyo neno la Bwana likaenea sana na kuwa na nguvu.

2119:21 Mdo 21:4, 12, 15; Rum 15:25; Mdo 16:9Baada ya mambo haya kutukia, Paulo akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.” 2219:22 Mdo 13:5; 16:1; Rum 16:23; 2Tim 4:20Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili, Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko Asia.

Ghasia Huko Efeso

2319:23 Mdo 9:2Wakati huo huo pakatokea dhiki kubwa kwa sababu ya Njia ile ya Bwana. 2419:24 Mdo 16:16, 19Mtu mmoja jina lake Demetrio mfua fedha aliyekuwa akitengeneza vinyago vya fedha vya Artemi na kuwapatia mafundi wake biashara kubwa, 2519:25 Mdo 16:16, 19, 20aliwaita pamoja watu wengine waliofanya kazi ya ufundi kama yake na kusema, “Enyi watu, mnajua ya kuwa utajiri wetu unatokana na biashara hii! 2619:26 Mdo 16:19; Za 115:4; 1Kor 8:4Pia ninyi mmeona na kusikia jinsi ambavyo si huku Efeso peke yake lakini ni karibu Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuvuta idadi kubwa ya watu kwa kusema kuwa miungu iliyotengenezwa na watu si miungu. 27Kwa hiyo kuna hatari si kwa kazi yetu kudharauliwa tu, bali pia hata hekalu la mungu mke Artemi, aliye mkuu, anayeabudiwa Asia yote na ulimwengu wote, litakuwa limepokonywa fahari yake ya kiungu.”

2819:28 Mdo 18; 19Waliposikia maneno haya, wakaghadhibika, wakaanza kupiga kelele, “Artemi wa Waefeso ni mkuu!” 2919:29 Rum 16:23; 1Kor 1:14; Kol 4:10; Flp 1:24; Mdo 16:9Mara mji wote ukajaa ghasia. Wakawakamata Gayo na Aristarko, watu wa Makedonia waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo, na watu wakakimbilia katika ukumbi wa michezo kama mtu mmoja. 30Paulo akataka kuingia katikati ya umati huo, lakini wanafunzi hawakumruhusu. 31Hata baadhi ya viongozi wa sehemu ile, waliokuwa rafiki zake Paulo, wakatuma watu wakitamani asiingie katika ule ukumbi.

3219:32 Mdo 21:34Ule umati ulikuwa na taharuki. Wengine walikuwa wakipiga kelele, hawa wakisema hili na wengine lile. Idadi kubwa ya watu hawakujua hata ni kwa nini walikuwa wamekusanyika huko. 3319:33 Mdo 12:17Wayahudi wakamsukumia Aleksanda mbele na baadhi ya watu kwenye ule umati wakampa maelekezo. Akawaashiria kwa mkono ili watulie aweze kujitetea mbele ya watu. 34Lakini walipotambua kwamba alikuwa Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa karibu muda wa saa mbili, wakisema, “Artemi wa Efeso ni mkuu!”

3519:35 Mdo 18:19Baadaye karani wa mji akaunyamazisha ule umati wa watu na kusema, “Enyi watu wa Efeso, je, ulimwengu wote haujui ya kuwa mji wa Efeso ndio unaotunza hekalu la Artemi aliye mkuu na ile sanamu yake iliyoanguka kutoka mbinguni? 36Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya hayakanushiki, inawapasa mnyamaze na wala msifanye lolote kwa haraka. 3719:37 Rum 2:22Kwa kuwa mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa kike. 3819:38 Mdo 13:7, 8, 12Basi, ikiwa Demetrio na mafundi wenzake wana jambo zito dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na wasaidizi wa mwakilishi wa mtawala. Wanaweza kufungua mashtaka. 39Lakini kama kuna jambo jingine lolote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe katika kusanyiko halali. 40Kama ilivyo sasa, tuko hatarini kushtakiwa kwa kufanya ghasia kwa sababu ya tukio la leo. Kwa kuwa hakuna sababu tutakayoweza kutoa kuhalalisha msukosuko huu.” 41Baada ya kusema haya akavunja mkutano.