민수기 14 – KLB & NEN

Korean Living Bible

민수기 14:1-45

가나안 땅에 들어가기를 거절하는 이스라엘 백성

1그러자 모든 백성이 밤새도록 통곡하고

2모세와 아론을 원망하며 이렇게 말하였다. “우리가 이집트에서나 광야에서 죽었으면 좋았을 텐데!

3무엇 때문에 여호와가 우리를 이 땅으로 인도하여 칼날에 죽게 하시는가? 우리 아내와 자식들이 다 잡혀갈 바에야 차라리 이집트로 돌아가는 것이 낫지 않겠는가!”

4그리고 그들은 “자, 지도자를 뽑아 세우고 이집트로 돌아가자!” 하고 서로 외쳐댔다.

5그러자 모세와 아론이 모든 백성 앞에서 땅에 엎드렸다.

6그때 땅을 탐지하러 갔던 눈의 아들 여호수아와 여분네의 아들 갈렙이 옷을 찢으며

7모든 백성에게 말하였다. “우리가 탐지한 땅은 아주 좋은 땅입니다.

8여호와께서 우리를 좋게 여기신다면 우리를 그 곳으로 인도하여 14:8 원문에는 ‘젖과 꿀이 흐르는 땅’기름지고 비옥한 그 땅을 우리에게 주실 것입니다.

9여러분, 여호와를 거역하지 마십시오. 그 땅 사람들은 우리 밥에 지나지 않습니다. 그들을 조금도 두려워하지 마십시오. 그들의 보호자는 떠났고 여호와께서는 우리와 함께 계십니다. 그러니 조금도 두려워하지 마십시오!”

10그러나 군중들은 그들을 돌로 쳐 죽이려고 위협하였다. 그러자 갑자기 여호와의 영광의 광채가 성막 위에 나타났다.

11그리고 여호와께서 모세에게 말씀하셨다. “언제까지 이 사람들이 나를 멸시할 작정이냐? 내가 그들 가운데 그렇게 많은 기적을 행했는데도 언제까지 그들이 나를 믿지 않을 작정이냐?

12내가 무서운 전염병으로 그들을 쳐서 죽이고 너를 통하여 그들보다 더 크고 강한 나라를 세우겠다.”

백성을 위해 기도하는 모세

13그때 모세가 여호와께 이렇게 말하였다. “주께서는 이 백성을 이집트에서 주의 능력으로 인도해 내셨습니다. 만일 주께서 그렇게 하시면 이집트 사람들이 그 소문을 듣고

14그것을 이 땅에 사는 사람들에게 말할 것입니다. 이 곳 사람들도 여호와께서 우리와 함께하시고 구름이 우리 위에 머물 때 주께서 분명하게 나타나셨으며 낮에는 구름 기둥으로, 밤에는 불 기둥으로 우리를 인도하신 일을 이미 들어서 잘 알고 있습니다.

15그런데 주께서 이 백성을 다 죽이신다면 주의 명성에 대하여 들은 나라들이

16‘여호와가 이 백성을 약속한 땅으로 인도할 수 없기 때문에 광야에서 그들을 죽였다’ 고 말할 것입니다.

17이제 주께서 말씀하신 대로 주의 능력을 나타내소서.

18주께서는 쉽게 노하시지 않고 사랑과 자비가 많아서 죄와 잘못을 용서하시지만 그렇다고 범죄한 자를 벌하지 않은 채 그대로 두지는 않을 것이며 그 죄에 대하여 자손 삼사 대까지 벌할 것이라고 말씀하셨습니다.

19주께서 이 백성을 이집트에서부터 지금까지 용서해 주신 것처럼 주의 변함없는 크신 사랑으로 이들을 용서해 주소서.”

20그러자 여호와께서 대답하셨다. “좋다. 네 말대로 내가 그들을 용서해 주겠다.

21그러나 분명히 말해 두지만 내가 살아 있고 온 세상이 내 영광으로 가득 차 있는 한

22이들 중 한 사람도 그 땅에 들어가지 못할 것이다. 그들은 내 영광을 보고 또 이집트와 광야에서 행한 기적들을 보고서도 나를 열 번이나 시험하고 나에게 순종하지 않았다.

23그러므로 그들은 내가 그들의 조상들에게 약속한 땅을 절대로 보지 못할 것이며 나를 멸시한 자도 그 땅을 보지 못할 것이다.

24그러나 내 종 갈렙만은 그들과 다른 정신을 가지고 전적으로 나를 따랐으므로 그가 탐지한 땅으로 내가 그를 인도하겠다. 그의 후손들이 그 땅을 차지할 것이다.

25그 땅 계곡에는 지금 아말렉족과 가나안족이 살고 있다. 그러므로 너희는 내일 돌아서 홍해로 가는 길을 따라 광야로 들어가거라.”

원망한 백성들에게 형벌을 선언함

26여호와께서 모세와 아론에게 말씀하셨다.

27“이 악한 백성이 언제까지 나에게 불평할 것인가? 나는 이들이 원망하는 소리를 다 들었다.

28너희는 그들에게 내가 이렇게 말한다고 일러 주어라. ‘내가 분명히 말하지만 내가 살아 있는 한 너희 말대로 해 주겠다.

29-30너희는 이 광야에서 쓰러져 죽을 것이 다. 너희가 나에게 불평하였으므로 여분네의 아들 갈렙과 눈의 아들 여호수아를 제외하고 나를 원망한 20세 이상의 사람들은 내가 약속한 땅에 하나도 들어가지 못할 것이다.

31너희는 너희 자녀들이 사로잡혀갈 것이라고 말했으나 나는 그들을 인도하여 너희가 거절한 땅으로 들어가 살게 하겠다.

32그러나 너희는 이 광야에서 쓰러져 죽을 것이다.

33그리고 나를 불신한 너희 죄 때문에 너희 자녀들은 너희가 한 사람도 남지 않고 다 죽을 때까지 광야에서 40년 동안 방황할 것이다.

34너희는 그 땅을 탐지하는 데 소요된 40일의 하루를 년으로 계산하여 40년 동안 너희 죄의 대가를 받을 것이다. 그러면 너희가 나를 거절한 결과가 어떤 것임을 알게 될 것이다.’

35“나 여호와가 분명히 말하지만 함께 모여 나를 거역하는 이 악한 백성에게 내가 말한 것을 반드시 행하겠다. 그들은 이 광야에서 다 죽어 없어질 것이다.”

36-37모세의 지시를 받아 땅을 탐지하고 돌아와 허위 보고로 백성들을 충동하여 모세를 원망하게 만든 그 정찰대원들은 여호와의 재앙을 받아 죽었다.

38그러나 그 땅을 탐지하러 갔던 사람들 중에 눈의 아들 여호수아와 여분네의 아들 갈렙만은 살아 남았다.

39모세가 하나님의 말씀을 백성들에게 전하자 그들은 몹시 슬퍼하였다.

40다음날 아침 일찍 그들은 산간 지대를 향해 올라가면서 “우리가 여호와께 죄를 지었습니다. 여호와께서 약속하신 땅으로 우리가 올라가겠습니다” 하였으나

41모세는 그들에게 이렇게 말하였다. “왜 여러분은 여호와의 명령에 불순종합니까? 여러분은 성공하지 못할 것입니다.

42올라가지 마십시오. 여호와께서 여러분과 함께 계시지 않으므로 여러분은 원수들에게 패할 것입니다.

43여러분 앞에는 아말렉족과 가나안족이 있습니다. 여러분이 여호와를 저버렸기 때문에 여호와께서 여러분과 함께하지 않으실 것입니다. 그래서 여러분은 칼날에 쓰러질 것입니다.”

44여호와의 법궤와 모세가 진영을 떠나지 않았는데도 그들은 산간 지대로 올라갔다.

45그러자 그 곳에 사는 아말렉족과 가나안족이 내려와 그들을 공격하여 대파시키고 호르마까지 추격하였다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 14:1-45

Watu Wanaasi

114:1 Mwa 27:38; Kut 33:4; Hes 25:6; Kum 1:45; Amu 20:23-26; 2Sam 3:32; Ay 31:29Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu. 214:2 Kut 16:3; 15:24; Ebr 3:16; Hes 11:1; 16:13; 20:4; 21:5Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa! 314:3 Kut 5:21; Kum 1:39; Mwa 34:29; Za 109:11; Isa 33:4; Eze 7:21; 25:7; 26:5; Mdo 7:39Kwa nini Bwana anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?” 414:4 Neh 9:17; Mdo 7:36; Ebr 11:15Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

514:5 Law 9:24; 19:2; Hes 16:4, 22, 45; 20:6; Yos 5:12; Eze 1:28; 2Sam 14:4; 1Nya 21:16Ndipo Mose na Aroni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli lililokusanyika hapo. 614:6 Hes 11:28; Mwa 37:29-34; Amu 11:35; 2Sam 13:31; 1Fal 19:1; Ezr 9:3; Es 4:1; Mk 14:63Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu wale waliokwenda kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao, 714:7 Hes 13:27; Kum 1:25wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli, wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na kuipeleleza ni nzuri sana sana. 814:8 Kum 1:21; 7:8; 10:15; Za 18:19; 22:8; 37:23; 41:11; 56:9; 147:11; Mit 11:20; Isa 62:4; Mal 2:17; Hes 13:27Ikiwa Bwana anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye atatupa nchi hiyo. 914:9 Kum 1:21, 26; 7:18; 9:7; 20:1; Mwa 21:22; 26:24; 2Nya 13:12; 32:7; Za 118:6; Hag 2:4; 1:13; Yer 15:20; 41:18; 42:11; 46:28Ila tu msimwasi Bwana. Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, lakini Bwana yupo pamoja nasi. Msiwaogope.”

1014:10 Kut 17:4; 24:16; Law 9:24Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa Bwana ukaonekana katika Hema la Kukutania kwa Waisraeli wote. 1114:11 Kut 3:20; 4:17; 10:1; 23:21; Hes 15:31; 16:30; 1Sam 2:17; Yn 3:25; Eze 31:14; Mal 1:13; Kum 1:32; Za 78:22; 106:24Bwana akamwambia Mose, “Watu hawa watanidharau mpaka lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao? 1214:12 Kut 5:3; 33:10; Kum 9:14; 29:20; 32:26; Za 109:13Nitawapiga kwa tauni na kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.”

1314:13 Kut 32:11; Za 106:23Mose akamwambia Bwana, “Ndipo Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni mwao. 1414:14 Kut 13:21; 15:14; 33:16; Hes 5:3; 16:3; Yos 2:9; Kum 5:4; 34:10Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba wewe, Ee Bwana, upo pamoja na watu hawa, na kuwa wewe, Ee Bwana, umeonekana uso kwa uso, nalo wingu lako hukaa juu yao. Tena wewe unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na kwa nguzo ya moto usiku. 15Ikiwa utawaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema, 1614:16 Hes 11:12; Kut 32:12; Yos 7:7Bwana alishindwa kuwaingiza watu hawa katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo; hivyo akawaua jangwani.’

17“Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema: 1814:18 Kut 20:5-6; 34:6; Za 145:8; Yon 4:2; Yak 5:11Bwana si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’ 1914:19 Kut 34:9; 1Fal 8:34; Za 85:2; 103:3; 10:6; 65; 78:38Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”

2014:20 Kut 34:6; Za 99:8; 106:23; Mik 7:18-20Bwana akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba. 2114:21 Hes 14:28; Kum 32:40; Amu 8:19; Rut 3:13; 1Sam 14:39; 19:6; Isa 6:3; 40:5; 49:18; Yer 4:2; Eze 5:11; Law 9:6; Za 72:19; Hab 2:14Hata hivyo, kwa hakika kama niishivyo, na kwa hakika kama utukufu wa Bwana uijazavyo dunia yote, 2214:22 Kut 14:11; 17:7; 32:1; Za 81:7; 1Kor 10:5hakuna hata mmoja wa watu hawa ambao waliuona utukufu wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Misri na huko jangwani, lakini ambaye hakunitii na akanijaribu mara hizi kumi, 2314:23 Kut 33:1; Hes 32:11; Kum 1:34; Ebr 3:18; Za 95:11; 106:26hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona. 2414:24 Hes 13:6; 26:65; 32:12; Kum 1:36; Yos 14:8, 14; Za 25:13; 37:9-11Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi. 2514:25 Mwa 14:7; 10:18; Kum 1:40; Kut 23:31; Hes 21:4; 1Fal 9:26Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani wanaishi katika mabonde, kesho geukeni mwelekee jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya Shamu.”14:25 Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.

2614:26 Kut 16:12; Kum 1:34-35Bwana akamwambia Mose na Aroni: 2714:27 Kut 16:28; Mt 17:17; Mk 9:19; Kut 16:12; 1Kor 10:10“Jumuiya hii ovu itanungʼunika dhidi yangu hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa Waisraeli wanaonungʼunika. 2814:28 Hes 33:56; Ebr 3:17Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema Bwana, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema: 2914:29 Hes 1:45; 26:65; 32:13; 1Kor 10:5; Ebr 3:17; Yud 5; Kut 30:12Kila mmoja wenu mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na amenungʼunika dhidi yangu, miili yenu itaanguka katika jangwa hili. 3014:30 Kut 6:8; Kum 32:40; Neh 9:15; Za 106:26; Eze 20:5; 36:7; Hes 13:6; 11:28Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni. 3114:31 Law 26:43Lakini watoto wenu ambao mlisema watachukuliwa kama mateka, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo ninyi mmeikataa. 3214:32 1Kor 10:5Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili. 3314:33 Kut 16:35; Mdo 13:18; Ebr 3:9Watoto wenu watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa mwisho ulale katika jangwa hili. 3414:34 Hes 13:25; 14:32, 33; Za 95:10; Eze 4:6; Za 77:8; Ebr 4:1Kwa miaka arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa ajili ya dhambi zenu, na kujua jinsi ilivyo vibaya kunifanya mimi kuwa adui yenu.’ 3514:35 Hes 23:19Mimi Bwana nimesema, na hakika nitafanya mambo haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana na mwisho wao katika jangwa hili; hapa ndipo watafia.”

3614:36 Hes 13:4-16, 32Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na kuifanya jumuiya nzima kunungʼunika dhidi ya Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi: 3714:37 Hes 13:32; 16:49; 25:9; 26:1; 31:16; 1Kor 10:10; Ebr 3:17; Kum 4:3watu hawa waliohusika kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka kwa tauni mbele za Bwana. 3814:38 Hes 13:4-16; Yos 14:6Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

3914:39 Kut 33:4; Mit 19:3; Mt 8:12; Ebr 12:17Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu. 4014:40 Hes 13:17; Kut 9:27; Kum 1:41Mapema asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea kwenye nchi ya vilima virefu, wakasema, “Tumetenda dhambi. Tutakwea mpaka mahali Bwana alipotuahidi.”

4114:41 2Nya 24:20; Ay 9:4; Isa 59:1, 2; Yer 2:37Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii amri ya Bwana? Jambo hili halitafanikiwa! 4214:42 Kum 1:42Msipande juu, kwa kuwa Bwana hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu, 4314:43 Amu 1:19; 6:16; 3:13; Hes 13:29; Mwa 39:23; Kum 21:8; Yos 6:27; 1Sam 3:19; 18:14; 2Nya 1:1kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha Bwana, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”

4414:44 Kum 1:43; Hes 31:6Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose hakutoka kambini wala Sanduku la Agano la Bwana. 4514:45 Hes 21:3; Kum 1:44; Yos 12:14; 15:30; 19:4; Amu 1:17; 1Sam 30:30; 1Nya 4:30Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakateremka na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi Horma.