레위기 11 – KLB & NEN

Korean Living Bible

레위기 11:1-47

깨끗한 것과 부정한 것

1여호와께서 모세와 아론을 통해 이스라엘 백성에게 이렇게 말씀하셨다.

2“육지에 사는 짐승 가운데

3발굽이 갈라지고 새김질하는 것은 너희가 먹을 수 있으나

4-7그 중에서도 먹지 못할 것이 있다. 새김 질은 하지만 굽이 갈라지지 않은 낙타와 오소리와 토끼와 그리고 굽은 갈라졌으나 새김질을 하지 못하는 돼지를 먹어서는 안 된다.

8이런 짐승들은 다 부정하므로 먹지도 말고 그 사체를 만지지도 말아라.

9“그리고 물 속에 사는 고기 중에서 지느러미와 비늘이 있는 것은 너희가 무엇이든지 먹을 수 있다.

10그러나 지느러미와 비늘이 없는 것을 먹어서는 안 된다.

11이것들은 부정한 것이므로 그 고기를 먹지도 말고 죽은 것을 만지지도 말아라.

12내가 다시 말하지만 물 속에 사는 고기 중에서 지느러미와 비늘이 없는 것은 절대로 먹어서는 안 된다.

13-19“새 중에서 너희가 먹을 수 없는 것은 독수리, 솔개, 물수리, 매 종류와 까마귀 종류, 타조, 쏙독새, 갈매기, 새매 종류, 올빼미, 가마우지, 부엉이, 따오기, 사다새, 학, 황새, 왜가리, 오디새, 박쥐이다. 이것들은 부정하므로 먹어서는 안 된다.

20“그리고 날개를 가지고도 네 발로 기어다니는 곤충은 부정하다.

21그러나 날개 달린 곤충 중에서도 땅에서 뛸 수 있는 것은 예외이다.

22그 중에 메뚜기 종류와 베짱이 종류와 귀뚜라미 종류와 여치 종류는 너희가 먹을 수 있다.

23그러나 날개가 달려 있으면서도 네 발로 기어다니는 곤충은 다 부정하므로 너희가 먹어서는 안 된다.

24이런 종류의 죽은 곤충을 만지는 자는 누구든지 저녁까지 부정할 것이다.

25그러므로 그는 즉시 입었던 옷을 벗어 빨고 11:25 또는 ‘저녁까지 부정하리라’저녁까지 외부와의 접촉을 금해야 한다.

26“짐승 가운데 굽이 있어도 완전히 갈라지지 않은 것이나 새김질을 하지 않는 것의 사체에 접촉하는 자는 부정할 것이다.

27네 발로 다니는 짐승 중에서 발톱을 가진 동물의 사체를 만지는 자는 저녁까지 부정할 것이다.

28그 사체를 옮기는 자는 옷을 벗어 빨아야 한다. 그러나 저녁까지는 여전히 부정할 것이다.

29-30“땅에 기어다니는 길짐승 가운데 너희 에게 부정한 것은 족제비와 각종 쥐와 도마뱀 종류와 육지 악어와 카멜레온이다.

31이것들은 부정하므로 그 사체를 만지는 자는 저녁까지 부정할 것이다.

32그리고 이런 길짐승의 사체가 어떤 물건에 떨어지면 그것이 나무 그릇이든 옷이든 가죽이든 자루든 무엇이든지 부정해질 것이다. 그러므로 그런 것에 닿은 물건은 물에 담가 두어라. 저녁까지 부정하다가 그 후에 깨끗해질 것이다.

33만일 그런 사체가 어떤 질그릇에 떨어지면 그 속에 있는 것이 다 부정하게 될 것이다. 너희는 그 그릇을 깨뜨려 버려야 한다.

34그런 그릇의 물이 어떤 음식에 떨어지면 그 음식이 부정하게 될 것이며 그 그릇에 담겨 있는 음료수도 다 부정해질 것이다.

35이런 길짐승의 사체에 접촉하는 물건은 무엇이든지 부정하게 된다. 그러므로 그런 것이 닿은 질그릇은 그것이 화로든 난로든 깨뜨려 버려라.

36그러나 그런 사체가 샘이나 웅덩이에 떨어졌을 때 물 자체는 부정해지지 않지만 그것을 건져내는 자는 부정해질 것이다.

37그리고 그런 사체가 밭에 심을 종자에 떨어졌을 경우에는 그것이 부정해지지 않지만

38만일 그 씨가 물에 젖어 있을 때 그 위에 이런 것들이 떨어지면 그 씨가 부정하게 될 것이다.

39“너희가 먹을 수 있는 짐승이라도 그것이 죽었을 경우에 누구든지 그 사체에 접촉하면 저녁까지 부정할 것이다.

40그리고 죽은 짐승을 먹거나 옮기는 자는 입었던 옷을 빨아야 한다. 그러나 그는 여전히 저녁까지 부정할 것이다.

41“땅에 기어다니는 것은 다 부정하다. 너희는 그런 것을 먹지 말아라.

42배로 밀어 다니든, 네 발이나 많은 발로 기어다니든 땅에 기는 것은 다 부정하므로 먹어서는 안 된다.

43너희는 이런 것들을 먹거나 접촉하여 자신을 더럽히지 말아라.

44“나는 너희 하나님 여호와이다. 내가 거룩하니 너희도 자신을 정결하게 하여 거룩하게 하라. 너희는 땅에 기어다니는 이런 부정한 길짐승으로 자신을 더럽혀서는 안 된다.

45나는 너희 하나님이 되려고 너희를 이집트에서 인도해 낸 여호와이다. 내가 거룩하니 너희도 거룩하여라.”

46이것은 짐승과 새와 물 속에 사는 것과 땅에 기어다니는 것에 관한 규정으로

47깨끗한 것과 부정한 것, 먹을 것과 먹지 못할 것을 구별해 놓은 것이다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 11:1-47

Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi

(Kumbukumbu 14:3-21)

1Bwana akawaambia Mose na Aroni, 211:2 Mdo 10:12-14; Kum 14:4; Eze 4:4; Mt 15:11; Rum 14:2; 1Kor 8:8; Kol 2:16; Ebr 9:10“Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: 3Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.

4“ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu. 5Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 611:6 1Tim 4:4-5Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 711:7 Isa 65:4; 66:3, 17Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu. 811:8 Isa 52:11; Law 5:2; Ebr 9:10; Mt 15:11, 20; Mdo 10:14-15; 15:29; Rum 14:14-17; 1Kor 8:8Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

9“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba. 1011:10 Law 7:18; Kum 14:3Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu. 1111:11 Law 5:2Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo. 12Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

1311:13 Kum 14:12; Rum 14:1-23“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu, 1411:14 Mwa 1:11mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi, 1511:15 Mwa 8:7aina zote za kunguru, 16mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga, 17bundi, mnandi, bundi mkubwa, 1811:18 Isa 13:21; 14:23; 34:11-14; Sef 2:14mumbi, mwari, nderi, 1911:19 Zek 5:9; Mwa 1:11; Isa 2:20korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

2011:20 Mdo 10:14; 11:22; Mt 3:4; Mk 1:6“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu. 21Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi. 22Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi. 23Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

Wanyama Ambao Ni Najisi

2411:24 Law 5:2; 13:3; 14:46; 15:5; 22:6; Hes 19:7, 19; Amu 6:5; Yer 46:23; Nah 3:17“ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2511:25 Kut 19:10; Law 13:6, 34; 14:8; 15:5; 16:26; Hes 8:7; 19:7-8; 31:24Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

26“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi. 27Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2811:28 Ebr 9:10; 11:29; Isa 66:17; Ebr 9:10; Isa 66:17Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.

29“ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa, 3011:30 Za 58:8; Isa 2:20guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga. 31Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 3211:32 Law 15:12; Hes 19:18; 31:20Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena. 3311:33 Law 6:28; 15:12Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho. 34Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi. 35Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi. 36Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi. 37Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi. 38Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

3911:39 Law 17:15; 22:4, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31; Hes 19:11“ ‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni. 4011:40 Law 14:8; 17:15; 22:8; Eze 44:31; Ebr 9:10Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

41“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe. 42Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo. 4311:43 Law 20:5; 22:5Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. 4411:44 Kut 6:2, 7; 19:10; 20:2; 22:31; 31:13; Isa 43:3; 51:15; Eze 20:5; Law 19:2; 20:7; Hes 15:40; Yos 3:5; 7:13; 24:19; 1Nya 15:12; 2Nya 29:5; 35:6; Kum 14:2; 1Sam 2:2; Ay 6:10; Za 99:3; Efe 1:4; 1The 4:7; 1Pet 1:15-16Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi. 4511:45 Law 25:38, 55; Mwa 17:7; Kut 6:7; 19:6; 1Pet 1:16; Rum 14:17; 1Kor 6:11Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.

46“ ‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi. 4711:47 Law 10:10; Yer 15:19; Eze 22:26; 44:23Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ”