느헤미야 7 – KLB & NEN

Korean Living Bible

느헤미야 7:1-73

1성벽 건축 공사를 마치고 성문을 단 다음에 나는 성전 문지기와 성가대원과 레위 사람들에게 업무를 할당하고

2내 동생 하나니와 요새의 지휘관 하나냐에게 예루살렘을 다스릴 책임을 맡게 하였다. 하나냐는 그 누구보다도 성실하고 하나님을 두려워하는 사람이었다.

3그리고 나는 그들에게 해가 높이 떠오를 때까지는 예루살렘 성문을 열지 말며 문지기가 문을 지키고 있을 때 성문을 닫고 빗장을 지르도록 지시하였다. 나는 또 그들에게 예루살렘 주민들 가운데 경계병을 세워 각자 자기 초소와 자기 집 앞을 경계하게 하라고 지시하였다.

귀환자들의 명단

4예루살렘은 크고 넓은 성이었으나 거기에 사는 사람이 많지 않아 아직 집을 많이 짓지 않았다.

5그래서 하나님이 내 마음을 감동시키셔서 백성들과 지도자들을 모아 각 집안별로 등록하도록 하셨다. 그때 나는 차 귀환자들의 명단을 발견했는데 거기에는 이렇게 적혀 있었다:

6바빌로니아의 느부갓네살왕에게 포로로 잡혀갔던 수많은 사람들이 예루살렘과 유다와 그들의 각 성으로 돌아왔다.

7이들과 함께 온 지도자들은 스룹바벨, 예수아, 느헤미야, 아사랴, 라아먀, 나하마니, 모르드개, 빌산, 미스베렛, 비그왜, 느훔, 바아나였다. 그리고 이 귀환자들의 인원을 각 자손별로 나열하면 다음과 같다:

8바로스 자손 2,172명,

9스바댜 자손 372명,

10아라 자손 652명,

11예수아와 요압 계통의 바핫 – 모압 자손 2,818명,

12엘람 자손 1,254명,

13삿두 자손 845명,

14삭개 자손 760명,

15빈누이 자손 648명,

16브배 자손 628명,

17아스갓 자손 2,322명,

18아도니감 자손 667명,

19비그왜 자손 2,067명,

20아딘 자손 655명,

21히스기야 계통의 아델 자손 98명,

22하숨 자손 328명,

23베새 자손 324명,

24하립 자손 112명,

25기브온 사람 95명,

26베들레헴과 느도바 사람 188명,

27아나돗 사람 128명,

28벧 – 아스마 사람 42명,

29기럇 – 여아림과 그비라와 브에롯 사람 743명,

30라마와 게바 사람 621명,

31믹마스 사람 122명,

32벧엘과 아이 사람 123명,

33느보 사람 52명,

34다른 엘람 사람 1,254명,

35하림 사람 320명,

36여리고 사람 345명,

37로드와 하딧과 오노 사람 721명,

38스나아 사람 3,930명,

39제사장 중에서는 예수아 계통의 여다야 자손 973명,

40임멜 자손 1,052명,

41바스훌 자손 1,247명,

42하림 자손 1,017명,

43레위 사람 중에서는 호다위야 계통의 예수아와 갓미엘 자손 74명,

44성가대원인 아삽 자손 148명,

45살룸과 아델과 달몬과 악굽과 하디다와 소배의 자손인 성전 문지기 138명이었다.

46그리고 7:46 원문에는 ‘느디님 사람들’성전 봉사자들은 시하, 하수바, 답바옷,

47게로스, 시아, 바돈,

48르바나, 하가바, 살매,

49하난, 깃델, 가할,

50르아야, 르신, 느고다,

51갓삼, 웃사, 바세아,

52베새, 므우님, 7:52 또는 ‘느비스심’느부심,

53박북, 하그바, 할훌,

547:54 또는 ‘바슬릿’바슬룻, 므히다, 하르사,

55바르고스, 시스라, 데마,

56느시야, 하디바 – 이상 모든 사람들의 자손들이었다.

57솔로몬왕 신하들의 자손들 중에서 돌아온 사람들은 소대 자손, 소베렛 자손, 브리다 자손,

58야알라 자손, 다르곤 자손, 깃델 자손,

59스바댜 자손, 핫딜 자손, 보게렛 – 하스바임 자손, 7:59 또는 ‘아미’아몬 자손들이었다.

60이와 같이 성전 봉사자들과 솔로몬왕 신하들의 자손들 중에서 돌아온 사람들은 모두 392명이었다.

61이때 페르시아의 델 – 멜라, 델 – 하르사, 그룹, 7:61 또는 ‘앗단’앗돈, 임멜 지방에서 예루살렘으로 돌아온 다른 집단도 있었으나 그들이 실제로 이스라엘 자손이라는 확실한 증거가 없었다.

62이들은 들라야와 도비야와 느고다 자손들로 모두 642명이었다.

63그리고 제사장들 중에서 호바야 자손과 학고스 자손, 그리고 길르앗 사람 바르실래의 딸과 결혼하여 처갓집 이름을 딴 바르실래의 자손들도 예루살렘으로 돌아왔는데

64그들도 족보에서 그 신원이 밝혀지지 않았다. 그래서 이들은 부정한 자로 취급을 받아 제사장 직분을 수행하지 못했으며

65유다 지도자는 제사장이 7:65 어떤문제에대해서대제사장이가부간에하나님의뜻을물어보고자사용했던두가지도구.우림과 둠밈으로 하나님의 판결을 물어 그들이 실제로 제사장인지 아닌지 밝혀낼 때까지는 제사장이 먹는 거룩한 음식을 먹지 말라고 명령하였다.

66-67이상과 같이 유다로 돌아온 사람들은 노예 7,337명과 남녀 성가대원 7:66-67 스2:64-65에는 ‘200명’245명 외에 42,360명이었다.

68-69또 그들은 말 736마리, 노새 245마리, 낙타 435마리, 당나귀 6,720마리도 함께 끌고 왔다.

70그리고 많은 사람들이 성전을 재건하기 위해서 예물을 바쳤다. 그들의 지도자들이 바친 것은 금 7:70 히 ‘1,000 다릭’8.4킬로그램과 대접 50개와 제사장복 530벌이었고

71족장들이 바친 것은 7:71 히 ‘금 20,000다릭, 은 2,200미나’금 168킬로그램과 은 약 1,256킬로그램이었으며

72그 밖에 백성들이 바친 것은 7:72 히 ‘금 20,000다릭, 은 2,000미나’금 168킬로그램과 은 1,142킬로그램과 제사장복 67벌이었다.

73이렇게 해서 제사장, 레위 사람, 성전 문지기, 성가대원, 그 밖의 모든 백성들이 각자 자기 성에 정착하였다.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 7:1-73

17:1 1Nya 26:12-19; Neh 6:1; 8:9; Za 68:25Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa. 27:2 Neh 10:23; 2:8; Mit 26:24; 1Fal 18:37:2 Neh 7:3Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine. 3Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”

Orodha Ya Waliorudi Toka Uhamishoni

(Ezra 2:1-70)

47:4 Mit 1:10; Neh 11:1Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu. 57:5 Mit 2:6; Rum 11:36; 1Kor 4:7; 2Kor 8:16; Yak 1:17; Ezr 2:1-70Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:

67:6 Ezr 2:1-10; 2Nya 36:20Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 77:7 1Nya 3:19; Ezr 2:2wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana):

Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:

87:8 Ay 13:4; Dan 11:27wazao wa Paroshi 2,1729wazao wa Shefatia 37210wazao wa Ara 65211wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,81812wazao wa Elamu 1,25413wazao wa Zatu 84514wazao wa Zakai 76015wazao wa Binui 64816wazao wa Bebai 62817wazao wa Azgadi 2,32218wazao wa Adonikamu 66719wazao wa Bigwai 2,067207:20 Ezr 8:6wazao wa Adini 65521wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9822wazao wa Hashumu 32823wazao wa Besai 32424wazao wa Harifu 11225wazao wa Gibeoni 95

267:26 2Sam 23:28; Mwa 35:6; Rut 2; 4watu wa Bethlehemu na Netofa 188277:27 Yos 21:18; Ezr 2:23watu wa Anathothi 12828watu wa Beth-Azmawethi 42297:29 Yos 18:25-26watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 74330watu wa Rama na Geba 621317:31 1Sam 13:2; Isa 10:27watu wa Mikmashi 122327:32 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 12333watu wa Nebo 5234wazao wa Elamu 1,25435wazao wa Harimu 320367:36 Neh 3:2wazao wa Yeriko 345377:37 1Nya 8:12wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 72138wazao wa Senaa 3,930

397:39 1Nya 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973407:40 1Nya 24:14wazao wa Imeri 1,052417:41 1Nya 9:12; 24:9wazao wa Pashuri 1,247427:42 1Nya 24:8; Ezr 10:31wazao wa Harimu 1,017

43Walawi:

wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74

447:44 Neh 11:23Waimbaji:

wazao wa Asafu 148

457:45 1Nya 9:17Mabawabu wa malango:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138

467:46 Neh 3:26Watumishi wa Hekalu:7:46 Yaani Wanethini (pia 7:60, 73).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

47wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,

48wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,

49wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,

50wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,

51wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,

52wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,

53wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

54wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

55wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

56wazao wa Nesia na Hatifa.

577:57 Mwa 9:25, 26; 1Fal 5:13, 14; 2Nya 2:17, 18Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,

58wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

59wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.

607:60 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

617:61 Ezr 2:59Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

62wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642

637:63 2Sam 17:27; 19:31-34; 1Fal 2:7; Ezr 2:61Na kutoka miongoni mwa makuhani:

wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

64Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 657:65 Kut 28:30; Neh 8:9; Hes 7:89; 27:18-21Kwa hiyo, mtawala7:65 Au Tirshatha: jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini ya Ufalme wa Uajemi (pia 7:70). aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.7:65 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

66Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 67tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245. 68Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245 69ngamia 435 na punda 6,720.

707:70 Neh 8:9; 10:1Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,0007:70 Darkoni 1,000 za dhahabu ni sawa na uzito wa kilo 8.6. za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani. 717:71 1Nya 29:7; Ezr 2:69Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu,7:71 Darkoni 20,000 za dhahabu ni sawa na kilo 172. na mane 2,2007:71 Mane 2,200 za fedha ni sawa na kilo 1,300. za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.

727:72 Ay 34:10; Kut 25:2Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.

737:73 Za 34:20; Neh 11:20; Kut 23:14-17; Law 23:24-44; Ezr 3:1Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe.

Ezra Asoma Sheria

Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,