雅歌 1 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

雅歌 1:1-17

1

1ソロモン王が作ったこの歌は、ほかのどんな歌よりすばらしいものです。

おとめ

2もっともっと口づけしてください。

あなたの愛はぶどう酒より甘く、

3あなたの香油は、なんとすてきな香りでしょう。

名前もとても魅力的です。

若い娘たちが夢中になるのもむりはありません。

4私を連れて行ってください。

さあ、走って行きましょう。」

おとめ

「王は私を、宮殿に連れて行ってくれました。

私たちは幸せでいっぱいです。

あなたの愛はぶどう酒にもまさります。

若い娘たちが夢中になるのも当然です。」

おとめ

5エルサレムの娘さん、

私はケダルの天幕(荒野のアラビヤ人が住む黒いテント)

のように、日焼けして黒いのです。

でも、きれいでしょう。」

ソロモン王

「いや、あなたは私の絹の天幕のように愛らしい。」

おとめ

6町の娘さん、そんなに見つめないでください。

私の肌はとても黒いのです。

兄にしかられ、

強い日照りのぶどう園の番をさせられたので、

すっかり日焼けしてしまったのです。」

おとめ

7私の愛する方、どうか教えてください。

今日は、羊の群れをどこへ連れて行くのですか。

お昼には、どこにいらっしゃるのですか。

私は、あなたの仲間に混じって

流れ者のようにうろつきたくありません。

いつもおそばにいたいのです。」

ソロモン王

8世界で一番美しい女よ、

それなら、群れのあとについて行って

羊飼いのテントを探しあて、

そこで、あなたの羊と子羊の世話をしなさい。

9愛する人よ。

あなたはかわいい子馬のようだ。

10頬にかかる髪の毛が、とてもすてきだ。

宝石をちりばめた首飾りをつけた首には

気品が漂っている。

11あなたのために、

金のイヤリングと銀の首飾りを作ってあげよう。」

おとめ

12ベッドに横になった王は、

私のつけている香水の香りにうっとりしています。

13私の愛するお方は、

私の乳房の間にある、没薬の匂い袋のようです。」

ソロモン王

14私の愛する人は、エン・ゲディ(死海西岸のオアシス)

の植物園にある花束のようだ。

15愛する人よ。あなたはなんと美しいのだろう。

どう言ったらいいかわからないほどだ。

目は鳩のように優しく、

16草の上に身を横たえる姿は、

なんと美しく、麗しいのだろう。

17その上に、杉や糸杉が影を落としている。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 1:1-17

11:1 1Fal 4:32; Za 45Wimbo ulio bora wa Solomoni.

Shairi La Kwanza

Mpendwa

21:2 Wim 8:6; Mwa 14:18; Amu 9:13; Wim 4:10Unibusu kwa busu la kinywa chako,

kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.

31:3 Es 2:12; Za 45:8-14; Mhu 7:1Manukato yako yananukia vizuri,

jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa.

Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!

41:4 Yer 31:3; Flp 3:12; Wim 2:3Nichukue twende nawe, na tufanye haraka!

Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake.

Marafiki

Tunakushangilia na kukufurahia,

tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai.

Mpendwa

Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!

51:5 Wim 2:14; 2:7; 5:16; 4:3; Mwa 25:13Mimi ni mweusi, lakini napendeza,

enyi binti za Yerusalemu,

mweusi kama mahema ya Kedari,

kama mapazia ya hema la Solomoni.

61:6 Za 69:8; Wim 7:12; 8:12; 2:15Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi,

kwa sababu nimefanywa mweusi na jua.

Wana wa mama yangu walinikasirikia

na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu.

Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.

71:7 Wim 3:1-4; Isa 13:20; Mwa 24:65Niambie, wewe ambaye ninakupenda,

unalisha wapi kundi lako la kondoo

na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri.

Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela

karibu na makundi ya rafiki zako?

Marafiki

81:8 Wim 5:9; 6:1Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote,

fuata nyayo za kondoo,

na kulisha wana-mbuzi wako

karibu na hema za wachungaji.

Mpenzi

91:9 Wim 2:2; 2Nya 1:16-17Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike

aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.

101:10 Eze 16:11; Isa 61:10; Wim 5:13Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli,

shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.

11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,

vyenye kupambwa kwa fedha.

Mpendwa

121:12 Wim 4:11-14Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,

manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.

131:13 Mwa 37:25Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane

kati ya matiti yangu.

141:14 Wim 4:13; 1Sam 23:291:14 2Nya 20:2; Wim 2:3; 5:8Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina

kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.

Mpenzi

151:15 Wim 4:7; 7:6; Za 74:19; Yer 48:28Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!

Tazama jinsi ulivyo mzuri!

Macho yako ni kama ya hua.

Mpendwa

16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!

Ee, tazama jinsi unavyopendeza!

Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.

Mpenzi

171:17 1Fal 6:9Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,

na mapao yetu ni miberoshi.