詩篇 96 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 96:1-13

96

1世界中どこででも、

主に新しい歌をささげましょう。

2賛美の声を上げましょう。

日ごと、だれかに、神の救いを人々に知らせましょう。

3栄光に輝く主を世界中に伝え、

神のお働きを話して聞かせましょう。

4主は、ことばで言い表せないほど偉大で、

大いにほめたたえられるべきお方です。

他の神々には目もくれず、

このお方だけを礼拝しなさい。

5他国の神々は、人が作った偶像にすぎません。

しかし私たちの主は、天を造られたお方です。

6栄誉と威光が神を包み、

力と美が宮に立ちこめています。

7世界の国々よ、

主だけに栄光と力があることを認めなさい。

8主にふさわしい栄誉をささげ、

供え物を携えて来て礼拝しなさい。

9きよい生活を守ることによって主を礼拝しなさい。

全地は神の前で震えおののきなさい。

10諸国民に、主の支配が行き渡ると告げなさい。

神の権威はいつまでも落ちることなく、

主はすべての国を公平にさばかれるのです。

11天は喜び、地は小躍りしなさい。

見渡す限りの海は、

鳴りとどろいて神の栄光を伝えなさい。

12青々とした野原を見て、ほめたたえなさい。

草の一本一本が、主の偉大さを物語っているのです。

森の木々も、こずえを鳴らして賛美しなさい。

13主は世界をさばくために来てくださり、

公平で真実なさばきを下されます。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 96:1-13

Zaburi 96

Mungu Mfalme Mkuu

(1 Nyakati 16:23-33)

196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;

mwimbieni Bwana dunia yote.

296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;

tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

lakini Bwana aliziumba mbingu.

696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;

nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

leteni sadaka na mje katika nyua zake.

996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;

dunia yote na itetemeke mbele zake.

1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”

Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

atawahukumu watu kwa uadilifu.

1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,

anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu dunia kwa haki,

na mataifa katika kweli yake.