詩篇 91 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 91:1-16

91

1私たちは、

どんなものにもまさる神によってかくまわれ、

この全能のお方のふところに住んでいます。

2私は宣言します。

「神こそ私の避難所、また安全地帯です。

この神への信頼を失うことはありません。」

3主はどのような罠からもあなたを救い出し、

いのちを損なう病からも守ってくださいます。

4主の翼の下に、あなたはかくまわれるのです。

また、主の変わることのない約束が、

あなたのよろいとなるのです。

5ですから、もう暗闇を恐れることはありません。

真昼の襲撃にもおののくことはありません。

6暗闇に乗じてはびこる疫病も、

明け方を襲う災害も恐れるに足りません。

7たとえ千人がそばに倒れ、

一万人の死体があたりを埋め尽くそうと、

悪い者が私に触れることはありません。

8私はただ、悪者が罰せられるのを

眺めていればよいのです。

9私には、主という避難所があります。

私はこのお方を、

すべての神々にまさる神として選びました。

10ですから、災難に見舞われたり、

病にかかったりするはずがありません。

11神が御使いたちに言いつけて、

行く先々で守ってくださるからです。

12山道でも、石につまずかないように、

手で支えてくださいます。

13ライオンに出くわそうと、毒蛇を踏もうと、

恐れずに踏みにじることができるのです。

14主はこう言っておられます。

「わたしを愛する者を、救い出そう。

わたしを信頼する者を偉大な人物にしよう。

15その者が呼べば答えてやり、

苦しんでいる時にはそばにいる。

その者を救い出し、誉れを与えよう。

16わたしは彼を救って、充実した人生を送らせよう。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 91:1-16

Zaburi 91

Mungu Mlinzi Wetu

191:1 Kut 33:2; Isa 49:2; Mao 4:20; Za 63:7Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.91:1 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

291:2 Za 9:9; 91:9; 2Sam 22:2, 3Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”

391:3 Za 124:7; Mit 6:5; 1Fal 8:37Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

na maradhi ya kuambukiza ya kuua.

491:4 Za 61:4; 17:8; 35:2; Rum 2:12; Kum 32:10; Isa 27:3; 31:5; Zek 12:8Atakufunika kwa manyoya yake,

chini ya mbawa zake utapata kimbilio,

uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.

591:5 Ay 5:21; 5:19; Mit 3:23; Isa 43:2Hutaogopa vitisho vya usiku,

wala mshale urukao mchana,

6wala maradhi ya kuambukiza

yanayonyemelea gizani,

wala tauni iharibuyo adhuhuri.

7Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

kumi elfu mkono wako wa kuume,

lakini haitakukaribia wewe.

891:8 Za 37:34; 58:10; Mal 1:5Utatazama tu kwa macho yako

na kuona adhabu ya waovu.

9Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,

1091:10 Mit 1:33; 12:21; 2The 3:3; 2Pet 2:9basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

hakuna maafa yataikaribia hema yako.

1191:11 Mwa 32:1; Ebr 1:14; Lk 4:10; Za 34:7; Mt 4:6Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

wakulinde katika njia zako zote.

1291:12 Lk 1:10, 11; Ay 5:23; Mt 4:6; Za 37:24Mikononi mwao watakuinua,

ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.

1391:13 Dan 6:22; Lk 10:19Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

1491:14 1Sam 2:30; Yn 12:26; Ay 22:27; Za 18:3; Yer 33:3; Zek 13:9; Ebr 5:7Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.

1591:15 Za 43:2; 1Sam 2:30Ataniita, nami nitamjibu;

nitakuwa pamoja naye katika taabu,

nitamwokoa na kumheshimu.

1691:16 Kum 6:2; Za 21:4; 50:23Kwa siku nyingi nitamshibisha

na kumwonyesha wokovu wangu.”