61
1ああ神よ、この声を聞き、この祈りに答えてください。
2どこからでも、たとえ地の果てからでも、
私は大声で、「助けてください」と叫びます。
落胆して心がくずおれるとき、
堅固な大岩に避難させてください。
3あなたは私の隠れ家、敵を寄せつけない高い塔です。
4私はいつまでもあなたの天幕で暮らします。
あなたの御翼の陰に身を潜めていれば、
何も心配はありません。
5ああ神よ。
いつも神をほめたたえて過ごすという私の誓いを、
あなたはお聞きになりました。
それで私は、神を信じて従う者のために
用意された祝福を頂いたのです。
6神は私のいのちを延ばし、
何世代もの人々の人生を凝縮したような、
充実した年月を送らせてくださるでしょう。
7しかも、いつまでも主のそばで暮らせるのです。
どうかあなたの慈愛と真実で、
私をしっかり支えてください。
8そうすれば、私はいつも神をほめたたえるという
誓いを果たすことができるのです。
Zaburi 61
Kuomba Ulinzi
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.
161:1 Za 64:1; 4:1; 86:6Ee Mungu, sikia kilio changu,
usikilize maombi yangu.
261:2 Za 6:2; 18:2; 31:2; 94:22; 1Tim 2:8Kutoka miisho ya dunia ninakuita,
ninaita huku moyo wangu unadhoofika;
uniongoze kwenye mwamba
ule ulio juu kuliko mimi.
361:3 Za 9:9; 46:1; 62:7; 59:9; Mit 18:10Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,
ngome imara dhidi ya adui.
461:4 Kum 32:11; Mt 23:37; Ufu 3:12; Za 15:1; 23:6Natamani kukaa hemani mwako milele,
na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
561:5 Hes 30:2; Kut 6:3; Neh 1:11; Mt 6:9; Za 56:12; 102:15; Isa 59:19; 1Kor 3:21-23; Kum 33:9Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,
umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
661:6 1Fal 3:14; Za 21:4Mwongezee mfalme siku za maisha yake,
miaka yake kwa vizazi vingi.
761:7 Za 40:11; 41:12; Lk 22:69; Efe 1:20; Kol 3:1; Lk 1:32Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;
amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
861:8 Kut 15:1; Hes 30:2; Kum 23:21; Za 7:17; 30:4; 56:12Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako
na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.