詩篇 36 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 36:1-12

36

1罪は悪者どもの心に巣くい、

いつも悪事へとけしかけます。

彼らには、神を恐れて

悪事から遠ざかろうとする気持ちなどありません。

2それどころか、知らないふりをして押し通せば、

どんな不正行為も隠し続けることができ、

捕まることはないと、自分に言い聞かせています。

3彼らのことばにはみな裏があり、

一かけらの真実もありません。

知恵や善行とは無縁の連中です。

4夜通し悪事を企む彼らには、

悪事から遠ざかろうという気持ちなど、

みじんもないのです。

5ああ主よ。あなたの揺るがぬ愛は天のように高く、

あなたの真実は雲にまで達します。

6あなたの正義は神の山のように不動で、その判断は、

満ち潮の海のように知恵であふれています。

神は人にも獣にも心をお配りになります。

7ああ神よ。

尽きることのない愛を、心から感謝します。

あらゆる人が御翼の陰に身を隠します。

8その人々はあなたの祝福を豊かに受けて養われ、

喜びの川の水を心ゆくまで飲ませていただけるのです。

9あなたはいのちの泉です。

私たちはあなたの光を反映しているにすぎません。

10あなたを信じる人々に、

変わらない愛を注いでください。

どうか、お心にかなった生き方をしようとする人々を

お救いください。

11あの高慢な連中が私を踏みにじるのを、

許さないでください。

私が不正を行う者たちの手で、

もてあそばれることがないようにしてください。

12ごらんください。

彼らは投げ倒され、二度と立ち上がれません。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 36:1-12

Zaburi 36

Uovu Wa Mwanadamu

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.

136:1 Ay 21:16; 23:15; Yer 2:19; 36:16, 24; Rum 3:18; Mit 8:13; Mwa 20:11; Mhu 12:3Kuna neno moyoni mwangu

kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.

Hakuna hofu ya Mungu

mbele ya macho yake.

236:2 Kum 29:19Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.

336:3 Yer 4:22; 13:23; Za 10:7; 5:6, 9; 43:1; 144:8, 11; 94:8; Ay 5:13; Isa 44:20; Amo 3:10Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

436:4 Mik 2:1; Rum 12:9; Isa 65:2; Za 52:3Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

hujitia katika njia ya dhambi

na hakatai lililo baya.

536:5 Za 89:1; 119:90; 108:4; 57:10; 89:2; 71:19; 103:11Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,

uaminifu wako hadi kwenye anga.

636:6 Za 5:8; 68:15; Mwa 1:2; Za 104:14; 7:11; 145:9; Neh 9:6; Rum 11:33; Ay 7:20; 11:8Haki yako ni kama milima mikubwa,

hukumu zako ni kama kilindi kikuu.

Ee Bwana, wewe huwahifadhi

mwanadamu na mnyama.

736:7 Za 6:4; 17:8; 57:1; 91:4; Rut 2:12Upendo wako usiokoma

ni wa thamani mno!

Watu wakuu na wadogo

hujificha uvulini wa mbawa zako.

836:8 Za 65:4; 23:2; 63:5; Yer 31:12, 14; Ufu 22:1; Isa 25:6; Ay 20:17Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.

936:9 Isa 12:3; 2:5; 9:2; 60:1, 19; Yer 2:13; Zek 13:1; Yn 1:4; 4:10, 14; Ufu 21:6; Mdo 26:18; Efe 5:8; Kol 1:13; 1Pet 2:9; Mit 10:11; 16:22; Za 87:7; 4:6; 27:1; 76:4; 104:2Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

katika nuru yako twaona nuru.

1036:10 Yer 31:3; 9:24; 22:16; Za 7:10; 11:2; 94:15; 125:4Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

1136:11 Za 71:4; 140:4Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

wala mkono wa mwovu usinifukuze.

1236:12 Za 18:38Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

wametupwa chini, hawawezi kuinuka!