詩篇 32 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 32:1-11

32

1-2罪を赦された人は、どれほど幸せなことでしょう。

罪がすっかり消された喜びは、

どれほど大きいことでしょう。

罪を告白し、その記録を消し去ってもらった人は、

どれほど解放感を味わうことでしょう。

3私には、罪を認めたくない時がありました。

しかし、私はかえってみじめになり、

くる日もくる日も挫折感にとらわれて過ごしました。

4神の御手が、いつも重くのしかかっていました。

私の力は、強烈な日ざしの照りつける

水たまりのように干上がりました。

5とうとう私は、自分の罪を

神の前にさらけ出さざるをえませんでした。

「何もかも主にお話ししよう」と決心したのです。

すると、あなたは赦してくださいました。

私の罪は跡形もなく消えたのです。

6私は神を信じる人々に、

自分の罪に気づいたら、まだ赦される間に

神に告白しなさいと、大声で忠告します。

そうすれば、その人はさばきを免れるのです。

7この人生に、どんな嵐が吹き寄せようと、

私は神のもとに避難します。

そこでは勝利の歌が響き、

苦しみに巻き込まれることがないからです。

8主はこう言われます。

わたしはあなたを教え、最善の人生へと導こう。

助言を与えて、一歩一歩を見守ろう。

9くつわをはめなければ言うことを聞かない、

馬やらばのようになってはいけない。

10悪者どもは次々と悲しみに見舞われますが、

主に信頼する人は無限の愛に包まれます。

11ですから、神のものとなっている人々は喜びなさい。

神に従おうとする人々は、

喜びの声を上げなさい。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 32:1-11

Zaburi 32

Furaha Ya Msamaha

Zaburi ya Daudi. Funzo.

132:1 Za 85:2; 103:3; Rum 4:6Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,

ambaye dhambi zake zimefunikwa.

232:2 Rum 4:7-8; 5:13; Yn 1:47; Ufu 14:5; 2Kor 1:12; Law 17:4Heri mtu yule ambaye Bwana

hamhesabii dhambi,

na ambaye rohoni mwake

hamna udanganyifu.

332:3 Ay 31:34; 31:10; 3:24; Za 6:6Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa

kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.

432:4 1Sam 5:6; Ay 9:34; Za 38:2; 39:10; 22:15Usiku na mchana

mkono wako ulinilemea,

nguvu zangu zilinyonywa

kama vile katika joto la kiangazi.

532:5 Ay 31:33; Mit 28:13; Lk 15:18; Za 103:12; Law 26:40; Yn 1:9Kisha nilikujulisha dhambi yangu

wala sikuficha uovu wangu.

Nilisema, “Nitaungama

makosa yangu kwa Bwana.”

Ndipo uliponisamehe

hatia ya dhambi yangu.

632:6 Za 69:13; Yn 7:34; Isa 55:6; Za 69:1; 43:2; Kut 15:10; 1Tim 1:16Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe

wakati unapopatikana,

hakika maji makuu yatakapofurika

hayatamfikia yeye.

732:7 Za 9:9; Amu 9:35; 5:1; Mit 18:10; Isa 4:6; Mt 23:37; Kol 3:3Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,

utaniepusha na taabu

na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.

832:8 Za 25:8; 34:11; 33:18; Isa 48:17Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;

nitakushauri na kukuangalia.

932:9 Ay 30:11; 39:10; Yak 3:3Usiwe kama farasi au nyumbu

wasio na akili,

ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu

la sivyo hawatakukaribia.

1032:10 Rum 2:9; Za 4:5; Mit 16:20; Yer 17:7; Mit 13:21; 16:20Mtu mwovu ana taabu nyingi,

bali upendo usio na kikomo wa Bwana

unamzunguka mtu anayemtumaini.

1132:11 Za 64:10Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki!

Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!