26
1私に対する告発をすべて却下してください、主よ。
私はいつもおきてを守ろうと心がけ、
迷うことなく主に信頼してきましたから。
2きびしく調べて、お確かめください。
ああ主よ、動機も愛情も探ってください。
3私は、主の恵み深さと真実を
理想として歩んできました。
4私は、裏表のあるずるい人間とはつき合いません。
彼らは不誠実で、偽善的です。
5私は、罪人のたまり場を嫌悪します。
そこに出入りしません。
6私は手を洗って身の潔白を証明し、
それから祭壇に行き、
7感謝の歌を歌い、主の奇跡を人々に語り聞かせます。
8主よ。私はあなたの家を愛しています。
光り輝くその宮を。
主ご自身から照り渡る、
目もくらむばかりの輝きに満ちた宮を。
9-10どうか、私を低俗な罪人たちと
いっしょにしないでください。
また、罪もない者を罠にかけ、
わいろを取る連中といっしょにしないでください。
11私はそんな人間ではありません。
ああ主よ。正しいことだけを行うために、
狭くてまっすぐな道を歩もうとしてきたのです。
どうか、私をあわれんでお救いください。
12主は、私がつまずいたり、倒れたりしないよう
守ってくださるので、
私は人々の前で、主をほめたたえます。
Zaburi 26
Maombi Ya Mtu Mwema
Zaburi ya Daudi.
126:1 1Sam 24:15; Isa 12:2; 25:9; Mit 20:7; Yer 17:7; Za 15:2; 22:4; 40:4; 2Fal 20:3; Dan 3:28; Ebr 10:23Ee Bwana, nithibitishe katika haki,
maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;
nimemtumainia Bwana
bila kusitasita.
226:2 Za 7:9; 66:10; Kum 6:6; Eze 11:5; Yer 22:20; 20:12Ee Bwana, unijaribu, unipime,
uuchunguze moyo wangu
na mawazo yangu;
326:3 1Fal 2:4; Za 6:4; 40:11; 43:3; 86:11; 119:30kwa maana upendo wako
uko mbele yangu daima,
nami natembea siku zote
katika kweli yako.
426:4 Za 1:1; 28:3; Mt 6:226:4 Amo 9:6; Zek 10:1Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
wala siandamani na wanafiki,
526:5 Za 139:21ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
626:6 Za 73:13; Mt 27:24Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
726:7 Isa 42:12; 60:6; Yos 3:5; Za 9:1nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
826:8 Za 96:6; 122:6; Isa 66:10; 2Nya 7:1; Kut 29:43Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,
mahali ambapo utukufu wako hukaa.
926:9 Za 5:6; 28:3; 55:23; 139:19; Mit 29:10Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,
wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
1026:10 Za 21:11; Isa 1:23; Ay 36:18; Eze 22:12ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,
ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
1126:11 Za 31:5; 69:18; 119:134; Tit 2:14Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;
nikomboe na unihurumie.
1226:12 Za 22:25; 27:11; Ay 36:18; Lk 6:17; Isa 26:7; 40:3-4; 45:13; Zek 4:7Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;
katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.