詩篇 128 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 128:1-6

128

1主を恐れかしこみ、信じて従う人に、

祝福がありますように。

2その人へのほうびは、繁栄と幸福です。

3あなたの妻は、家庭の中で、満足して暮らしています。

食卓に集まる子どもたちも、

オリーブの若木のように生き生きとしています。

4これこそ、主を信頼する人たちの姿です。

5主が天から祝福と喜びを注いでくださいますように。

6あなたが長生きし、

孫の誕生を喜ぶことができますように。

神がイスラエルを祝福してくださいますように。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 128:1-6

Zaburi 128

Thawabu Ya Kumtii Bwana

Wimbo wa kwenda juu.

1128:1 Za 103:11; 119:1-3Heri ni wale wote wamchao Bwana,

waendao katika njia zake.

2128:2 Za 58:11; 109:11; Isa 3:10; Mwa 39:3; Mit 10:22Utakula matunda ya kazi yako;

baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

3128:3 Mwa 49:22; Ay 29:5; Mit 5:15; Eze 19:10; Za 52:8; 144:12Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao

ndani ya nyumba yako;

wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni

kuizunguka meza yako.

4128:4 Za 1:1; 112:1Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa

mtu amchaye Bwana.

5128:5 Za 122:9; 134:3Bwana na akubariki kutoka Sayuni

siku zote za maisha yako,

na uone mafanikio ya Yerusalemu,

6128:6 Mwa 50:23; 48:11; Za 125:5nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.

Amani iwe juu ya Israeli.