詩篇 119 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 119:1-176

119

1主のおきてを完全に守る人は幸いです。

2主を探し求め、常にそのご意志に従う人は幸いです。

3そのような人は、悪と妥協することなく、

主の道をひたすら歩みます。

4あなたは、守るべき戒めを与えてくださいました。

5私はそのおきてから少しでもそれないでいたいと、

心から願っています。

6それができれば、いつも良心はすみきって、

恥じることもないでしょう。

7あなたに懲らしめられたら、

私はあなたに喜ばれる生活をして、

感謝の気持ちを表します。

8私はあなたに従います。

どうか私を見捨てず、

私が二度と罪の中に落ち込まないように

導いてください。

9どうすれば、若い人は身も心も

きよく保つことができるのでしょうか。

あなたのおことばを読み、その規範に従うことです。

10私は、あなたを見いだそうと、

あらゆる努力をしてきました。

どうか、御教えからはみ出さないよう守ってください。

11私はおことばを深く味わい、心にたくわえました。

それによって罪から遠ざかるためです。

12主よ、あなたの規範をお教えください。

13私はあなたのおことばを暗唱し、

14宝よりも大切にしました。

15あなたの戒めをかみしめて味わい、

心からの敬意をはらいます。

16あなたのおきては私の喜びであり、

常に忘れることがありません。

17私を長く生かして、

いつまでもお従いできるようにしてください。

18私の目を開いて、おことばの中に隠されている、

すばらしい祝福を見させてください。

19私はこの地上では旅人です。

あなたの命令が私の地図であり、道案内なのです。

20私はあなたの教えを、

どれほど切望していることでしょう。

21あなたは、言いつけを守らず、

思い上がった者たちをおしかりになります。

22彼らが、あなたにお従いする私を

さげすんだりしませんように。

23たとえ、町の名士らがそろって非難してきても、

私は、あなたのお定めになった道から

一歩もそれません。

24あなたのおきては私の光であり、相談相手です。

25私は失望のあまり、ちりの中にはいつくばっています。

おことばによって、生き返らせてください。

26私の考えを申し上げると、

あなたは答えてくださいました。

どうか、指示をお与えください。

27何をお望みなのか、私に教えてください。

そうすれば、私はあなたの奇跡を見ることができます。

28私は悲しみのあまり涙を流し、

すっかり滅入ってしまいました。

どうか、あなたのおことばによって

私を勇気づけ、奮い立たせてください。

29-30どうか、いっさいの過ちから守り、

そのような資格もない者ですが、

私があなたのおきてを守れるよう助けてください。

私はすでに、正しい道を歩もうと決心したからです。

31私はあなたの戒めを堅く守り、

力を尽くして忠実に従います。

主よ、どうか、さまざまな失敗からお守りください。

32あなたのお心に従いたいと思うように助けてください。

そうすれば私は、あなたのおきてに

さらに情熱を傾けることができるでしょう。

33-34主よ、どのように歩めばいいか教えてください。

あなたの教えのとおりにします。

いのちある限り、心を尽くしてお従いします。

35私に正しい道を歩ませてください。

私は、それがどれほど喜ばしいことか、

よく知っているのです。

36不正な利益を求めることなく、

従順の道を選び取らせてください。

37あなたのご計画以外のものに

目を奪われることがないようにしてください。

私の心を奮い立たせ、

ひたすらあなたを慕わせてください。

38お約束をもう一度保証してください。

私はあなたを信頼し、あがめていますから。

39なぜ私は、あなたに従うゆえのあざけりを

恐れるのでしょう。

あなたのおきてはみな正しく、良いものばかりです。

40私はあなたのおきてを守りたいと、

ひたすら願っています。

どうぞ私を生かしてください。

41-42救いの手を差し伸べてくださることが、

あなたからの約束でした。

どうか私を、あなたの恵みと愛でお救いください。

そうすれば、私をさげすむ者たちに

言い返すことばを持つことができます。

私はあなたの約束を信じているからです。

43どんなことがあっても、

あなたのおことばを忘れさせないでください。

それこそ、ただ一つの望みなのです。

44-46私はいつまでも、心から神にお従いします。

あなたのおきての中でこそ、

ほんとうの自由があるからです。

神のおきてを国王に告げれば、

彼らは関心と敬意を持って聞き入るでしょう。

47私はどれほどあなたのおきてを愛し、

ご命令に従うを喜んでいるでしょう。

48「さあ、早く来てください」と、

私はおきてを手招きします。

それを愛し、身も心もささげたいと

願っているからです。

49-50神に仕えている私への約束を、

お忘れにならないでください。

それこそ頼みの綱なのですから。

困難なとき、どれほど力づけられたかしれません。

全く息を吹き返す思いでした。

51おごり高ぶる者どもは、神に従う私をさげすみますが、

私は動揺しません。

52幼いころからずっと、

私はあなたに従おうと心がけてきました。

あなたのおことばによって、いつも慰められてきました。

53あなたの命令を無視する者たちに、

私は怒りを覚えます。

54あなたのおきては、

地上の人生の旅路にある私にとって、

喜びと歌の原動力なのですから。

55ああ主よ。

私は夜でもおきてを守り、あなたに思いをはせます。

56常にあなたに従うことが、

どれほど祝福であったことでしょう。

57主は私の大切なお方ですから、喜んでお従いします。

58私はひたすら祝福を求めています。

どうか、お約束どおり、私をあわれんでください。

59-60私は、知らないうちに誤った方向に

進んでいる自分に気づき、

あわてて引き返し、神のもとに駆け戻りました。

61悪者どもは、私の首に綱を巻き、

罪に引きずり込もうとしました。

しかし、私はあなたのおきてに守られています。

62真夜中に私は起きて、

こんなにすばらしいおきてを

授けてくださったお方に感謝します。

63主を信じて従う人は、だれでも私の兄弟です。

64ああ主よ。大地は恵みであふれています。

正しい道をお教えください。

65主よ。お約束のとおり、

私は十分に祝福を頂いています。

66どうか、知識だけでなく、

正しい判断力をも与えてください。

あなたの戒めは、案内の杖です。

67あなたに懲らしめられる前には、

私はよく迷い出ました。

これからは、おことばにはすべて従います。

68あなたは情け深く、いつも恵みを注いでくださいます。

どうか、従順にならせてください。

69思い上がった者どもは、

私について根も葉もないことを言いふらします。

しかし、私はただひたすら、神のおきてを守ります。

70彼らの良心は麻痺しています。

私は冷静に、あなたにお従いしています。

71-72あなたから懲らしめを受けたことは、

この上ない幸いでした。

私はそのおかげで、

おきてに目を向けることを学びました。

このおきてこそ、金や銀より価値あるものです。

73主よ。あなたは私をお造りになった方です。

ですから、おきてを第一にして歩むための

知恵をお授けください。

74あなたを信じて従っている人々は、

私を心から迎え入れてくれるでしょう。

私があなたのおことばを信頼しているからです。

75-77ああ主よ。私はあなたが正しい決定と罰を

下すお方であることを知っています。

どうか、お約束のとおり、優しく慰めてください。

あなたのあわれみで包んで、生かしてください。

あなたの教えこそ、私の喜びなのですから。

78思い上がっている者たちの高慢さを、

打ち砕いてください。

彼らは全くの偽りを並べ立てて

人を傷つける者たちです。

しかし私の関心は、あなたの戒めにあります。

79あなたに信頼し、従っている人々を、

もっと仲間に加えてください。

みなであなたの教えについて語り明かします。

80あなたの御心に添いたいと、

熱心に思わせてください。

そうすれば、わが身を恥じることもなくなりましょう。

81私はあなたの救いを待ち続けて、疲れてしまいました。

それでもなお、助けてくださるという

お約束に期待しています。

82約束どおりになる瞬間を見のがすまいと、

私の目は緊張し続けています。

いったいいつ、私を助け、慰めてくださるのですか。

83私は疲れ果て、

煙の中の革袋のようにしぼんでしまいました。

しかしなお、あなたのおきてを慕い求めます。

84いつになれば、

迫害してくる者どもに報復してくださるのですか。

85-86あなたの真実とおきてを目の敵にする、

この思い上がった連中は、

私を蹴落とそうと深い穴を掘ったのです。

彼らの偽りのおかげで、ひどい目に会わされました。

あなたは真実を愛されるお方なのですから、

どうか助けの手を伸べてください。

87私は、彼らに殺されそうになりました。

しかし、私は降伏せず、

あなたの教えを捨てたりもしませんでした。

88お願いですから、このいのちをお救いください。

そうすれば、こののちずっと、

あなたにお従いできるのです。

89ああ主よ。あなたのおことばは、

天にある、びくともしない岩のようです。

90-91あなたの真実は、

あなたの手でできた大地のように、

いつまでも存続します。

万物はご計画の完成を目ざして、

ご命令どおりに動くのです。

92あなたのおきてが、

心の底からわき上がる喜びになっていなかったら、

私は失望の果てに滅んでいたことでしょう。

93どんなことがあろうと、戒めだけは手放しません。

その教えによって、

喜びと健康を回復していただいたからです。

94あなたのものとなった私を、どうか救ってください。

私は、あなたのお望みにかなう生活をしようと

心がけてまいりました。

95悪者どもはいのちをねらって待ち伏せしますが、

私は静かに、あなたのお約束を思い巡らします。

96あなたのおことば以外に、完全なものはありません。

97どれほど私が、そのおことばを愛していることか。

一日中、そのことばかり思い巡らしているのです。

98それは、かた時も離れず道案内を務めてくれ、

敵にまさる知恵を授けてくれます。

99それどころか、

私は、教師と呼ばれる人たちよりも賢くなります。

それは私が一日中、

あなたのおことばを思って

暮らしているからです。

100さらにまた、私は、長年の経験を積んだ人々より

賢い知恵を頂くのです。

101私はあなたのおことばに従順でありたいと思い、

決して悪の道に足を踏み入れませんでした。

102-103あなたのおことばはみつより甘いので、

私はその教えから離れませんでした。

104あなたの戒めから受ける

真の知恵と理解力のおかげで、

私はまちがったすべての教えを

退けることができました。

105あなたのおことばは、

つまずかないように道を照らしてくれる明かりです。

106私はあなたのすばらしい教えに従います。

何度でもそう宣言します。

107私は敵の手に落ちて、

死と背中合わせになっています。

どうか、お約束どおり私を生かしてください。

108この、心からの感謝を受け入れ、

あなたの望みを私に悟らせてください。

109私は危うい状況で生きていますが、

あなたのおきてを手放したりはしません。

110悪者どもは、あなたに従う道に罠をしかけましたが、

私は、その道からそれようとは思いません。

111あなたのおきては、いつまでも私の宝です。

112死ぬまであなたに従うと、堅く決心しています。

113神に従おうかどうしようかと迷う

優柔不断な人々を、私は軽蔑します。

私は、あなたの教えを愛する心を貫きます。

114あなたは私の隠れ家、また盾です。

あなたのお約束だけが、私の望みです。

115悪事を企む者よ、私の前から消え去れ。

私が神の命令を守ることを妨げてはならない。

116神よ。

私を生かすと言われたお約束が果たされなかったなどと

言われることがないようにしてください。

117私を敵の手の届かない高い所で、

しっかり支えてください。

そうすれば、こののち、おきてを守ることができます。

118あなたのおきてを捨てる人はみな、

あなたに捨てられました。

彼らは結局、自分をあざむいただけでした。

119悪者どもは、神に捨てられる金かすにすぎません。

だからこそ、私は喜んであなたのおきてに従います。

120私はあなたの罰を恐れるあまり、震えています。

121どうか、私を敵のなぶりものにしないでください。

私は正しいことを行い、

いつも公平であったからです。

122私を豊かに祝福してください。

思い上がった者どもの攻撃から、

この身を守ってください。

123いつあなたがお約束を果たして、

救い出してくださるのかと、

一心に見つめてきた私の目は、

すっかりかすんでしまいました。

124主よ、優しく私を取り扱い、

このしもべに従順を学ばせてください。

125どうか、あなたにお仕えする身である私に、

すべての点であなたの規範に照らして考える知恵を、

お授けください。

126主よ、どうか今、行動を起こしてください。

悪者どもが、あなたのおきてを破りましたから。

127一方、私は、あなたの戒めを純金より慕っています。

128あなたのおきては、どれを取っても正しいのです。

この道以外に慕うべき道はありません。

129あなたのおきてはすばらしく、

私は何のためらいもなくそれを守ります。

130あなたのご計画が明らかにされると、

それは心の鈍い者にさえ理解できるのです。

131私は、あなたがどんな戒めを下さるか、

とても期待して待っています。

132あなたを愛する者にいつもかけてくださるあわれみを、

そばに来て、私にもかけてください。

133悪に打ち負かされることのないように、

どうか、そのおことばで導いてください。

134悪者どもの虐待から、救い出してください。

そうすれば、私はあなたにお従いすることができます。

135愛情のこもったまなざしを注ぎ、

すべてのおきてを教えてください。

136あなたのおきてが平気で破られる現状に、

私は涙をこぼしています。

137ああ主よ。あなたは公明正大で、

人を正しくさばいて罰を下されます。

138あなたの要求はみな正しく、

理にかなっているのです。

139私は、敵があなたのおきてを軽んじていることに

耐えられません。

140私はあなたのおことばを

くまなく調べ、吟味しました。

そのうえで、私はそれを愛しているのです。

141私は取るに足りない存在で、

人からさげすまれていますが、

戒めだけは大事に守っています。

142あなたの教えは完全なので、

あなたの正義は永遠に朽ちません。

143あなたの戒めは、

苦しみ悩んでいる私を慰めてくれます。

144公平そのもののおきてを、真に理解させてください。

そうすれば、私は生きることができます。

145ああ主よ、ひたすら祈り続ける私にお答えください。

私はあなたのおきてに従います。

146「どうか、お救いください。

あなたにお従いしていますから」と、私は叫びます。

147朝早く、日がのぼる前に私は祈り、

どんなにあなたを信頼しているかを示してきました。

148私は夜通し起きていて、お約束をかみしめます。

149愛と思いやりに満ちた主よ、私の声を聞き、

以前のように生かしてください。

150攻撃をしかける無法者が迫って来ました。

151しかし、主がそばにいてくださいます。

主の戒めはみな、真理なのです。

152あなたは決して変わることのないお方だと、

私は小さいころから知っています。

153悲しみの涙にくれる私を救い出してください。

私は、あなたの命令を忠実に守っているからです。

154私を救い出して、かねてからのお約束どおり、

再び胸を張って歩けるようにしてください。

155あなたのおきてを気にも留めない悪者どもは、

救いから遠ざかります。

156主よ、限りないあわれみを注いで、

どうか、再び私を生かしてください。

157おびただしい数の敵が、

何とかして私をあなたに背かせようとしています。

しかし、私はあなたの御心から、

一歩たりとも迷い出たりしませんでした。

158あなたのおことばに見向きもしない、

こんな裏切り者どもを、私は憎んでいます。

159主よ、私があなたの戒めをどんなに愛しているか、

わかってください。

どうか、あふれる恵みで、

私を生かしてください。

160あなたのおことばは真理そのものであり、

永遠にすたれません。

161この世の権力者は、いわれもない迫害を加えますが、

私の恐れるものはただ一つ、あなたのおことばだけです。

162私は、金鉱を見つけた人のように、

あなたのおことばを喜んでいます。

163私はどんなうそでも徹底して憎み、

あなたのおきてを心から愛します。

164このすばらしい教えを思い巡らし、

一日に七回、あなたをたたえます。

165この教えを愛する人は、平安な心を与えられ、

過ちを犯すこともありません。

166主よ。私は救いを待ち望み、

あなたの命令を守ってきました。

167あなたの戒めを何よりも愛し、慕い求めてきました。

168私がそれを追い求めたことを、あなたはご存じです。

私のすることはみな、知っていらっしゃるからです。

169ああ主よ、この祈りを聞き届け、

お約束の知恵をお授けください。

170どうか、お約束のとおり、救い出してください。

171おきてを学ばせてくださるあなたを、ほめたたえます。

172あなたの口から出る完全なことばを、

ほめ歌わずにはいられません。

173あなたの御心に従う道を選び取った私に、

いつでも助けの手を差し伸べてください。

174ああ主よ。私はあなたの救いを慕い求めてきたのです。

あなたの教えはこの上ない喜びです。

175生かし続けていただける限り、

私はあなたをほめたたえましょう。

どうか、おきてによって支えてください。

176羊のようにあてどもなくさまよう私を

捜し出してください。

私は、ご命令に背いたりしませんでしたから。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 119:1-176

Zaburi 119119:0 Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi 22 za alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T).

Sifa Za Sheria Ya Bwana

Kujifunza Sheria Ya Bwana

1119:1 Mwa 17:1; Za 1:2; 128:1; Kum 18:13; Mit 11:20Heri wale walio waadilifu katika njia zao,

wanaoenenda katika sheria ya Bwana.

2119:2 Za 40:16; 112:1; 119:146; Isa 56:2; Kum 10:12; Mit 9:7; 1Nya 16:11Heri wale wanaozishika shuhuda zake,

wamtafutao kwa moyo wao wote.

3119:3 Za 59:4; 128:1; Yn 3:9; 5:18; Yer 6:16; 7:23; Rum 7:16, 17Wasiofanya lolote lililo baya,

wanaoenenda katika njia zake.

4119:4 Za 103:18; 119:56; Kum 6:17Umetoa maagizo yako

ili tuyatii kwa ukamilifu.

5119:5 Law 19:37; Yer 31:33; 2Kor 3:5; Rum 7:22, 23Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara

katika kuyatii maagizo yako!

6119:6 Za 119:46, 80, 117; Ay 22:26; 1Yn 2:28Hivyo mimi sitaaibishwa

ninapozingatia amri zako zote.

7119:7 Kum 4:8119:7 Za 90:13; 103:13; 119:47Nitakusifu kwa moyo mnyofu

ninapojifunza sheria zako za haki.

8119:8 Za 38:21Nitayatii maagizo yako;

usiniache kabisa.

Kutii Sheria Ya Bwana

9119:9 Za 119:65, 169; 39:1; Mit 1:4, 10Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?

Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.

10119:10 Za 119:21, 118; 9:1; 2Nya 15:15Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,

usiniache niende mbali na amri zako.

11119:11 Isa 63:13; Mit 3:23; Za 119:133, 165; 18:22-23; Kum 6:6; Lk 2:19; Ay 22:22Nimelificha neno lako moyoni mwangu

ili nisikutende dhambi.

12119:12 Isa 63:13; Lk 2:19Sifa ni zako, Ee Bwana,

nifundishe maagizo yako.

13119:13 Za 119:72Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote

zinazotoka katika kinywa chako.

14119:14 Za 119:111Ninafurahia kufuata sheria zako

kama mtu afurahiaye mali nyingi.

15119:15 Za 119:97, 148; 1:2Ninatafakari maagizo yako

na kuziangalia njia zako.

16119:16 Za 112:1Ninafurahia maagizo yako,

wala sitalipuuza neno lako.

Furaha Katika Sheria Ya Bwana

17119:17 Za 13:6; 116:7; 119:67; 103:20Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi;

nitalitii neno lako.

18Yafungue macho yangu nipate kuona

mambo ya ajabu katika sheria yako.

19119:19 Mwa 23:4; Ebr 11:13Mimi ni mgeni duniani,

usinifiche amri zako.

20119:20 Za 84:2; 119:131; 42:2; 63:1; Isa 26:9Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa

juu ya sheria zako wakati wote.

21119:21 Za 119:10, 51; 5:5; Ay 30:1; Yer 20:7; 50:32; Kum 27:26; Dan 4:37; Mal 3:15Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa

waendao mbali na amri zako.

22119:22 Za 39:8; 119:2Niondolee dharau na dhihaka,

kwa kuwa ninazishika sheria zako.

23Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia,

mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

24Sheria zako ni furaha yangu,

nazo ni washauri wangu.

Kuamua Kuitii Sheria Ya Bwana

25119:25 Za 44:25; 143:11; 119:9, 50, 107Nimelazwa chini mavumbini,

yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

26119:26 Za 25:4; 27:11; 86:11; 1Fal 8:36Nilikueleza njia zangu ukanijibu,

nifundishe sheria zako.

27119:27 Za 105:2; 145:5Nijulishe mafundisho ya mausia yako,

nami nitatafakari maajabu yako.

28119:28 Za 119:9; 116:3; 18:1; 6:7; Yer 45:3; Isa 51:11; 40:29; 41:10Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni,

uniimarishe sawasawa na neno lako.

29119:29 Za 26:4; Hes 6:25; Mit 30:8; Ebr 8:10Niepushe na njia za udanganyifu,

kwa neema unifundishe sheria zako.

30119:30 Yos 24:22; Za 26:3; 108:1Nimechagua njia ya kweli,

nimekaza moyo wangu katika sheria zako.

31119:31 Kum 10:20Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana,

usiniache niaibishwe.

32119:32 1Fal 4:29; Isa 60:5; 2Kor 6:11Nakimbilia katika njia ya maagizo yako,

kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.

Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria

33119:33 Za 119:12Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako,

nami nitayashika mpaka mwisho.

34119:34 Za 119:27, 69, 73, 144, 169; Mit 2:6; Ay 32:8; Yak 1:5; Kum 6:25; Dan 2:21Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako

na kuitii kwa moyo wangu wote.

35119:35 Za 119:32; 1:2; 25:4, 5Niongoze kwenye njia ya amri zako,

kwa kuwa huko napata furaha.

36119:36 Yos 24:23; Ebr 13:5; Mk 7:21; 12:15; Eze 33:31; 1Tim 6:10Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako,

na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.

37119:37 Za 119:9, 25; 71:20; Ay 31:1Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

38119:38 Hes 23:19; 2Sam 7:25Mtimizie mtumishi wako ahadi yako,

ili upate kuogopwa.

39119:39 Za 119:22; 69:9; 89:51; Isa 25:8; 51:7; 54:4Niondolee aibu ninayoiogopa,

kwa kuwa sheria zako ni njema.

40119:40 Za 119:20, 25, 149, 154Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako!

Hifadhi maisha yangu katika haki yako.

Kuitumainia Sheria Ya Bwana

41119:41 Za 6:4; 119:76, 116, 154, 170Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie,

wokovu wako sawasawa na ahadi yako,

42119:42 Mit 27:11; Za 42:10ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki,

kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

43119:43 Za 119:74, 81, 114, 147; 1Fal 17:24Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.

44119:44 Za 119:33, 34, 55; Kum 6:25Nitaitii amri yako daima,

naam, milele na milele.

45119:45 Za 119:94, 155; Yn 8:32, 36; Rum 8:2Nitatembea nikiwa huru,

kwa kuwa nimejifunza mausia yako.

46119:46 Mt 10:18; Mdo 26:1, 2; Za 119:6Nitasema sheria zako mbele za wafalme

wala sitaaibishwa,

47119:47 Za 119:77, 97, 127, 143, 159, 163, 165kwa kuwa ninazifurahia amri zako

kwa sababu ninazipenda.

48119:48 Mwa 24:63Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,

nami ninatafakari juu ya maagizo yako.

Matumaini Katika Sheria Ya Bwana

49119:49 Za 119:9, 43Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,

kwa sababu umenipa tumaini.

50119:50 Za 119:25; 27:13; Yer 15:16; Rum 5:3-5; Ebr 6:17-19Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:

Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.

51119:51 Za 119:21; Ay 16:10; 17:2; 23:11; Yer 20:7Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka,

hata hivyo sitaiacha sheria yako.

52119:52 Za 103:18Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani,

nazo zinanifariji.

53119:53 Kut 32:19; 33:4; Za 89:30; Ezr 9:3Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu,

ambao wameacha sheria yako.

54119:54 Za 119:172; 101:1; 138:5Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu

popote ninapoishi.

55119:55 Za 119:44, 62, 72; 1:2; 42:8; 63:6; 77:2; Isa 26:9; Mdo 16:25Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,

nami nitatii sheria yako.

56119:56 Za 119:4, 100, 134; Hes 15:40Hili limekuwa zoezi langu:

nami ninayatii mausia yako.

Kujitolea Katika Sheria Ya Bwana

57119:57 Kum 32:9; Yer 51:19; Za 119:17, 67, 101; Mao 3:24Ee Bwana, wewe ni fungu langu,

nimeahidi kuyatii maneno yako.

58119:58 Kum 4:29; Ezr 9:8; 1Nya 16:11; Za 34:4; 119:41; Mwa 43:29Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote,

nihurumie sawasawa na ahadi yako.

59119:59 Yoe 2:13; Lk 15:17; Yos 24:14, 15Nimezifikiri njia zangu

na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.

60119:60 Za 119:115Nitafanya haraka bila kuchelewa

kuzitii amri zako.

61119:61 Za 119:83, 109, 153, 176Hata waovu wanifunge kwa kamba,

sitasahau sheria yako.

62119:62 Za 119:55; 119:7; Mdo 16:25Usiku wa manane ninaamka kukushukuru

kwa sababu ya sheria zako za haki.

63119:63 Za 15:4; 101:6, 7; 103:11; 119:56; 111:10Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,

kwa wote wanaofuata mausia yako.

64119:64 Za 33:5; 119:12, 108Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako,

nifundishe maagizo yako.

Thamani Ya Sheria Ya Bwana

65119:65 Isa 50:2; 59:1; Za 119:9, 17; 125:4; Mik 2:7Mtendee wema mtumishi wako

Ee Bwana, sawasawa na neno lako.

66119:66 Za 51:6Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri,

kwa kuwa ninaamini amri zako.

67119:67 Za 116:10; 95:10; 119:17; Ebr 12:11; Yer 8:4; 31:18; Kum 32:15; Ufu 3:19Kabla sijapata shida nilipotea njia,

lakini sasa ninalitii neno lako.

68119:68 Za 100:5; 106:1; 107:1; 135:3; Kut 18:20; 34:6; Mt 19:17Wewe ni mwema, unalotenda ni jema,

nifundishe maagizo yako.

69119:69 Ay 13:4; Za 109:2Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo,

nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

70119:70 Mdo 28:27; Za 17:10; Isa 29:13Mioyo yao ni katili na migumu,

bali mimi napendezwa na sheria yako.

71119:71 Za 119:67, 75; Ebr 12:10Ilikuwa vyema mimi kupata shida

ili nipate kujifunza maagizo yako.

72119:72 Ay 28:17; Za 19:10; Mt 8:10Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu

kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.

Haki Ya Sheria Ya Bwana

73119:73 Mwa 1:27; Ay 4:17; 10:8; Za 139:13-16; 100:3; 138:8Mikono yako ilinifanya na kuniumba,

nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

74119:74 Za 34:2; 119:9; 130:5Wakuchao wafurahie wanaponiona,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.

75119:75 Za 89:30, 31; 119:7, 138, 172; Ebr 12:5-11Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,

katika uaminifu wako umeniadhibu.

76119:76 Za 6:4; 119:41Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu,

sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.

77Huruma yako na inijie ili nipate kuishi,

kwa kuwa naifurahia sheria yako.

78119:78 Za 119:51; 35:19; 119:86, 161; 25:3; Yer 50:32Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu,

lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.

79119:79 Za 119:27, 125Wale wakuchao na wanigeukie mimi,

hao ambao wanazielewa sheria zako.

80119:80 Za 119:1; 119:6; 1Fal 8:61; Mwa 26:5Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako,

ili nisiaibishwe.

Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

81119:81 Za 119:20, 43, 123; 84:2; 73:26Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako,

lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.

82119:82 Mao 2:11; Za 6:7; 69:3; 119:41, 123Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako;

ninasema, “Utanifajiri lini?”

83119:83 Za 119:61; 119:84; Ay 30:30; Ufu 6:10; Yer 12:3; 15:15; 20:11; Za 39:4; 6:3; 119:51; 7:6Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi,

bado sijasahau maagizo yako.

84Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?

Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

85119:85 Za 35:7; 119:51; 57:6; Yer 18:20, 22Wenye majivuno wananichimbia mashimo,

kinyume na sheria yako.

86119:86 Za 109:26; 7:1-5; 35:19; 119:78, 138Amri zako zote ni za kuaminika;

unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

87119:87 Isa 1:4, 28; 59:13; 58:2; Za 119:150Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia,

lakini sijaacha mausia yako.

88119:88 Za 41:2; 119:2, 100, 124, 129, 134, 168; 51:1; 109:26Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako,

nami nitatii sheria za kinywa chako.

Imani Katika Sheria Ya Bwana

89119:89 Za 119:111, 144; 111:8; Isa 51:6; Mt 5:18; 1Pet 1:25Ee Bwana, neno lako ni la milele,

linasimama imara mbinguni.

90119:90 Za 36:5; 45:17; 148:6; Ay 8:19Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,

umeiumba dunia, nayo inadumu.

91119:91 Yer 33:25; 31:35; Za 148:6; 104:2-4; Mwa 8:22Sheria zako zinadumu hadi leo,

kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

92119:92 Za 37:4, 5; 112:1; 119:50, 67; Rum 15:4Kama nisingefurahia sheria yako,

ningeangamia katika taabu zangu.

93119:93 Za 119:83; 103:5Sitasahau mausia yako kamwe,

kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.

94119:94 Za 119:45, 146; 54:1; 116:4; Yer 17:14; 31:18; 42:11; Hos 2:7, 16Uniokoe, kwa maana mimi ni wako,

kwa kuwa nimetafuta mausia yako.

95119:95 Za 69:4; 119:99Waovu wanangojea kuniangamiza,

bali mimi ninatafakari sheria zako.

96119:96 Za 19:7; Isa 40:8; Mt 5:18Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo,

lakini amri zako hazina mpaka.

Kuipenda Sheria Ya Bwana

97119:97 Za 1:2; 119:15, 47Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.

Ninaitafakari mchana kutwa.

98119:98 2Tim 3:17; Kum 4:6, 8; 19:7; Isa 48:17Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,

kwa kuwa nimezishika daima.

99119:99 2Tim 3:15; Za 119:15Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,

kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

100119:100 Ay 12:12; 32:7; Za 119:56; Kum 6:17Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,

kwa kuwa ninayatii mausia yako.

101119:101 Mit 1:15; 2Kor 7:1; Za 119:57Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya,

ili niweze kutii neno lako.

102119:102 Kum 17:20; 4:5Sijaziacha sheria zako,

kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.

103119:103 Mit 24:13, 14; 8:11; Za 19:10Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu,

matamu kuliko asali katika kinywa changu!

104119:104 Za 111:10; 119:7Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,

kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya Bwana

105119:105 Mit 6:23; 20:27; 2Pet 1:19; Za 119:130Neno lako ni taa ya miguu yangu

na mwanga katika njia yangu.

106119:106 Neh 10:29; Za 119:7Nimeapa na nimethibitisha,

kwamba nitafuata sheria zako za haki.

107119:107 Za 119:25Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana,

sawasawa na neno lako.

108119:108 Za 51:15; 109:30; 63:5; 119:64; 71:8; Ebr 13:15; Hos 14:2Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu,

nifundishe sheria zako.

109119:109 Amu 12:3; Za 119:61; Ay 13:14Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote,

sitasahau sheria yako.

110119:110 Za 25:15; 64:5; 119:10; Isa 8:14; Amo 3:5Waovu wamenitegea mtego,

lakini sijayakiuka maagizo yako.

111119:111 Kum 33:4; Za 119:14, 162Sheria zako ni urithi wangu milele,

naam ni furaha ya moyo wangu.

112119:112 Za 108:1; 119:33Nimekusudia moyoni mwangu

kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.

Usalama Ndani Ya Sheria Ya Bwana

113119:113 1Fal 18:21; Yak 1:8; 4:8; Za 119:47Ninachukia watu wa nia mbili,

lakini ninapenda sheria yako.

114119:114 Za 18:2; 119:43; 32:7; Mwa 15:1Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu,

nimeweka tumaini langu katika neno lako.

115119:115 Za 6:8; Mt 7:23Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya,

ili niweze kushika amri za Mungu wangu!

116119:116 Za 18:35; 41:3; 55:22; 119:41; Isa 46:4; Rum 5:5; 9:33Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi;

usiache matumaini yangu yakavunjwa.

117119:117 Isa 41:10; 46:4; Za 34:4; 119:6; 71:6; Yn 10:28; Rum 14:4Nitegemeze, nami nitaokolewa,

nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

118119:118 Za 119:10Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako,

kwa maana udanganyifu wao ni bure.

119119:119 Isa 1:22, 25; Eze 18:19; Za 119:47Waovu wa nchi unawatupa kama takataka,

kwa hivyo nazipenda sheria zako.

120119:120 Ay 4:14Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe,

ninaziogopa sheria zako.

Kuitii Sheria Ya Bwana

121119:121 2Sam 8:15; Ay 27:6Nimetenda yaliyo haki na sawa,

usiniache mikononi mwa watesi wangu.

122119:122 Ay 17:3Mhakikishie mtumishi wako usalama,

usiache wenye kiburi wanionee.

123119:123 Isa 38:14; Za 119:81, 82Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako,

na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

124119:124 Za 119:12, 88; 25:7Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako

na unifundishe maagizo yako.

125119:125 Za 116:16; 119:79Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu

ili niweze kuelewa sheria zako.

126119:126 Hes 15:31Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia,

kwa kuwa sheria yako inavunjwa.

127119:127 Efe 3:8; Za 19:10; 119:47; Ay 3:21; Mit 3:13, 18; 8:11Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu,

naam, zaidi ya dhahabu safi,

128119:128 Za 19:8; 31:6; 119:104, 163; Mit 13:5na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili,

nachukia kila njia potovu.

Shauku Ya Kuitii Sheria Ya Bwana

129119:129 Za 119:18, 22, 88Sheria zako ni za ajabu,

hivyo ninazitii.

130119:130 Za 119:105; 19:7, 10; Mit 1:4; 2Pet 1:19Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,

kunampa mjinga ufahamu.

131119:131 Za 42:1; 119:20Nimefungua kinywa changu na kuhema,

nikitamani amri zako.

132119:132 2Sam 24:14; Kut 4:31; Za 6:4; 9:13; 5:11; 106:4; 1Sam 1:11Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote

wale wanaolipenda jina lako.

133119:133 Kum 6:12; Za 119:9, 11, 122; Rum 6:16Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako,

usiache dhambi yoyote initawale.

134119:134 Lk 1:74; Za 119:56, 88, 122Niokoe na uonevu wa wanadamu,

ili niweze kutii mausia yako.

135119:135 Hes 6:25; Za 4:6; 80:3; 4:6; 119:12Mwangazie mtumishi wako uso wako

na unifundishe amri zako.

136119:136 Yer 9:1; 9:1, 18; 13:17; 14:17; Mao 1:16; 3:48; Isa 22:4; 42:24; Eze 9:4; Za 6:6; 119:158; 106:25Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu,

kwa kuwa sheria yako haifuatwi.

Haki Ya Sheria Ya Bwana

137119:137 Kut 9:27; Ezr 9:15; Neh 9:13, 33; Yer 12:1; Dan 9:7Ee Bwana, wewe ni mwenye haki,

sheria zako ni sahihi.

138119:138 Za 119:75, 86; 19:7Sheria ulizoziweka ni za haki,

ni za kuaminika kikamilifu.

139119:139 Za 69:9; Yn 2:17Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu

wanayapuuza maneno yako.

140119:140 Yos 23:14; Za 12:6; 119:47Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu,

mtumishi wako anazipenda.

141119:141 Za 22:6; 119:61, 134; Mit 15:16; Amo 7:2; Lk 6:20; 2Kor 8:9; Yak 2:5Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa,

sisahau mausia yako.

142119:142 Za 119:151, 160; 19:7, 9; Yn 17:17; Efe 1:3Haki yako ni ya milele,

na sheria yako ni kweli.

143119:143 Za 119:24, 47Shida na dhiki zimenipata,

lakini amri zako ni furaha yangu.

144119:144 Za 119:34Sheria zako ni sahihi milele,

hunipa ufahamu ili nipate kuishi.

Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

145119:145 Za 119:10, 22, 55Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote,

nami nitayatii maagizo yako.

146119:146 Za 119:94Ninakuita; niokoe

nami nitazishika sheria zako.

147119:147 Za 3:3; 57:8; 108:2Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;

nimeweka tumaini langu katika neno lako.

148119:148 Za 63:6; 63:1, 6Sikufumba macho yangu usiku kucha,

ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.

149119:149 Za 27:7; 124; 119:40Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako,

Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.

150119:150 Za 37:7Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami,

lakini wako mbali na sheria yako.

151119:151 Flp 4:5; Za 34:18; 119:142; 145:18Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu,

na amri zako zote ni za kweli.

152119:152 Za 119:7, 73, 89; 111:8; Lk 21:33Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako

kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.

Maombi Kwa Ajili Ya Msaada

153119:153 Za 13:3; 3:7; 44:17; Mao 5:1Yaangalie mateso yangu, uniokoe,

kwa kuwa sijasahau sheria yako.

154119:154 Za 119:24, 41; 35:1; 1Sam 24:15; Yer 50:34; Mik 7:9Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

155119:155 Za 119:94, 118; Ay 5:4Wokovu uko mbali na waovu,

kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

156119:156 Neh 9:27; Yak 5:11; Za 119:25, 149Ee Bwana, huruma zako ni kuu,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.

157119:157 Za 7:1; 44:18Adui wanaonitesa ni wengi,

lakini mimi sitaziacha sheria zako.

158119:158 Za 119:104, 136; Kut 32:19Ninawatazama wasioamini kwa chuki,

kwa kuwa hawalitii neno lako.

159119:159 Za 119:25; 41:2Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako;

Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.

160119:160 Za 119:89; 111:8Maneno yako yote ni kweli,

sheria zako zote za haki ni za milele.

Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya Bwana

161119:161 Za 119:23, 122, 157; 119:120; 1Sam 24:14-15Watawala wamenitesa bila sababu,

lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.

162119:162 Za 119:25; 41:2Nafurahia ahadi zako

kama mtu aliyepata mateka mengi.

163Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo,

lakini napenda sheria yako.

164119:164 Za 119:111; 1Sam 30:16; Isa 9:3; 53:12Ninakusifu mara saba kwa siku,

kwa ajili ya sheria zako za haki.

165119:165 Za 119:11; 37:11; 37:24; Isa 26:3, 12; 27:5; 32:17; 57:19; 66:12; 1Yn 2:10; Mit 3:2Wanaopenda sheria yako wana amani tele,

wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

166119:166 Za 119:81Ee Bwana, ninangojea wokovu wako,

nami ninafuata amri zako,

167119:167 Za 119:47Ninazitii sheria zako,

kwa sababu ninazipenda mno.

168119:168 Za 139:3; Ay 10:4; 23:10; Mit 5:21Nimetii mausia yako na sheria zako,

kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.

Kuomba Msaada

169119:169 Ay 16:18; Za 119:9, 34Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako,

nipe ufahamu sawasawa na neno lako.

170119:170 1Fal 8:30; 2Nya 6:24; Za 28:2; 140:6; 143:1; 3:7; 22:20; 59:1; 119:41Maombi yangu na yafike mbele zako,

niokoe sawasawa na ahadi yako.

171119:171 Za 51:15; 63:3; 94:12; Isa 2:3; Mik 4:2Midomo yangu na ibubujike sifa,

kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.

172119:172 Za 51:14; 119:7, 75Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,

kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

173119:173 Za 37:24; 73:23; Isa 41:10; Lk 10:42; Yos 24:22; Mit 1:29Mkono wako uwe tayari kunisaidia,

kwa kuwa nimechagua mausia yako.

174119:174 Za 119:16, 24, 166Ee Bwana, ninatamani wokovu wako,

na sheria yako ni furaha yangu.

175119:175 Za 119:116, 159; Isa 55:3Nijalie kuishi ili nipate kukusifu,

na sheria zako zinitegemeze.

176119:176 Za 119:10; 95:10; Yer 50:17; Eze 34:11; Lk 15:4Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.

Mtafute mtumishi wako,

kwa kuwa sijasahau amri zako.